Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Sure,kama uwezo huo upo na itakupunguzia machungu fanyeni tu.
Sijasema huyo Nacky ni mtakatifu. Issue hapa ni mwanaume kumpiga mwanamke. Yani hili la huyu jamaa kumbonda mkewe mbona mnalikwepesha kwepesha kwa hoja za makosa ya mke.

Kwamba nanyi mkichepuka na kutufanyia dharau tuwakodishie wakina Mwarabu Fighter wawabonde maana nguvu hatuna?

dodge
 
Huyu jamaa hana undugu na jaji mihayo.

Huyu ni mnyamwezi wa Tabora na Black American. Ana uraia wa marekani sababu Baba yake marehemu alikuwa ni African American. Dogo kapiga shule Mtoni na yuko super smart kichwani. Ana maadili pia ya kiafrika na heshima na mtu wa watu sana hajisikii.

Yuko njema cribs tatu nne za maana, Mandinga ndio kama yote ya maana halagu janki mdogo. Ana proffessional network ya kufa mtu duniani. Yukovizuri Us embassy inamtambua na inampa fursa sana kama kijana smart

Sent using Jamii Forums mobile app

Unamsifia sana kama vile ndiwe yeye
Wife beater ni wife beater hata kama angekuwaje duniani ni viongozi wa dunia ana doa la kuwa mpiga wanawake kinyama. Mbele ya their kids ni unyama.

Shame on him as alikuwa anamlipa Mange kumchafua mkewe then, now Mange kamfichua. Mange na wife wake used to be close buddies, walipogombana akaona chance nzuri kumchafua.
 
Na vitu kama hivi hutovisikia. Ushaambiwa ni mtu safi aliyekuwa provoked na umalaya wa mke. Wanaume hawanaga huruma kwenye vitu kama hivi mpaka anayepigwa awe mwanaye au dada yake na awe amepigwa hadi kukutwa na umauti.
Mkuu Zurie, Natamani tukubaliane kwamba huyo mwanamke kwa muoekano wake tu, anastahili kipigo, kwa sababu masikio yake naamini yameziba, mwanamke msikivu hapigwi, sisemi wanawake wote wapigwe.
 
Nilijifunza kitu kimoja. Sitakuja piga mwanamke tena maisha yangu yote. Najua wana maudhi watu hawa wakati mwingine... lakini beating a defenseless woman like that? Not again in my life. I did it once and never shall it happen again.

Mwanamke humpigi kwa hoja kua ni defenseless

Then unageuka unapiga mtoto,ambae ni even defenseless than anybody

Mkuu kuna emotions zinakupeleka sio bure!

Mwanamke anafinywa akae sawa

Oa then uje utoe mrejesho hapa
 
Sijasema huyo Nacky ni mtakatifu. Issue hapa ni mwanaume kumpiga mwanamke. Yani hili la huyu jamaa kumbonda mkewe mbona mnalikwepesha kwepesha kwa hoja za makosa ya mke.

Kwamba nanyi mkichepuka na kutufanyia dharau tuwakodishie wakina Mwarabu Fighter wawabonde maana nguvu hatuna?
Unaona sasa mawazo yako yalivyo, yaani kwa mfano mimi ndio mumeo nimekukosea, eti unikodishie watu waje kuni attack !!, ukae umejiandaa, nikipona ujiandae kwa shuruba
 
Sijasema huyo Nacky ni mtakatifu. Issue hapa ni mwanaume kumpiga mwanamke. Yani hili la huyu jamaa kumbonda mkewe mbona mnalikwepesha kwepesha kwa hoja za makosa ya mke.

Kwamba nanyi mkichepuka na kutufanyia dharau tuwakodishie wakina Mwarabu Fighter wawabonde maana nguvu hatuna?

Eti issue ni “kumpiga mwanamke” na sio “kumpiga mtoto” au “kumpiga mwanaume”

Wengine wote sio issue bali issue ni “mwanamke”?

Yall are delusional mongooses!
 
Siku zote wanaume huwa tu wagumu sana wa kulia na kulalamika hadharani. Tunatunza sumu nyiiingi moyoni siku tukielemewa linakuja tukio moja tu ambalo linafuta mabaya yote ya upande wa pili na hukumu inakuja hapo hapo; wakatili, wanyanyasaji, wanyama, hawana huruma nk. Ila kiuhalisia hakuna kiumbe mvumilivu na mwenye subira kama mwanaume na hii hutuponza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume hujawah kua mjinga wa kupiga bila sababu.



Kwa video ya 2015 kuonekana sasa..


Niwazi kua Demu alikosea..NA kwasababu uwajibishaji unatofautina...


BASI NICHUKUE NAFASI HII KUUNGANA NA MIHAYO !!!!! .......Broooo wanajaribu kukushusha, NEVER GIVE UP ...... USICHEKE NA MBWA !!!
 
Ukiona hivyo Sahv ashapigika kiuchumi
Sahv anatafuta huruma

Ova
Mwanaume hujawah kua mjinga wa kupiga bila sababu.



Kwa video ya 2015 kuonekana sasa..


Niwazi kua Demu alikosea..NA kwasababu uwajibishaji unatofautina...


BASI NICHUKUE NAFASI HII KUUNGANA NA MIHAYO !!!!! .......Broooo wanajaribu kukushusha, NEVER GIVE UP ...... USICHEKE NA MBWA !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume hujawah kua mjinga wa kupiga bila sababu.



Kwa video ya 2015 kuonekana sasa..


Niwazi kua Demu alikosea..NA kwasababu uwajibishaji unatofautina...


BASI NICHUKUE NAFASI HII KUUNGANA NA MIHAYO !!!!! .......Broooo wanajaribu kukushusha, NEVER GIVE UP ...... USICHEKE NA MBWA !!!
Unaumwa wewe

upigaji huu afu anaenda kusema alisurvive toxic relationship?..wkt he seems to be the toxic one here
 
'Akili za kuambiwa changanya na zako. Angalia video hadi mwisho, huyu mwanamke si mara ya kwanza kupigwa. Unajua kwanini?

Anajua kabisa tabia za mpigaji wake. Ndo maana alipokuwa anaondoka alimfuata nyuma sababu anamjua akishacalm down so anajua kabisa hapa “session” imeisha.'

Hahah kweli wabongo tuna vipaji maalumu kutoka kwa Mungu, yaani umeangalia hio video isiyo na sauti na ukacheki hizo movement za huyo dada ukajua kabisa hio sio mara ya kwanza kupigwa?hahah tuna vipaji maalumu bongo.

dodge
Hivi Mungu alipokupa utashi wa kung'amua mambo alikuwa hana akili? Kama hutaki shughulisha akili yako unategemea utofautishwe na ng'ombe kwa kusimama kwa miguu miwili pekee?

Haya ni mara ya kwanza kupigwa! Turudi kwenye mada...
 
Back
Top Bottom