Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mungu akubariki mkuu kwa kusema ukweli, wanawake wengi sana wanatesa wanaume tena wanachepuka mpaka mchepuko wake analeta dharau kwa mume lakini hili jamii haisemi, kuna yule mtanzania aliua mke huko Marekani sababu mke alirudi kalewa na kumletea dharau, alifanya vibaya sana kuua lakini hakuna kitu kinaamsha hasira ya mwanaume kama kudharauliwa na mkewe tena mbele ya jamii na watoto ndio maana biblia imeandika wake watiini waume zenu. Ila sasa wengi wanachukulia upande mmoja tu kuwa mwanaume kwa sababu ana nguvu basi anaonea.

Kwahiyo mtu akikukosea nawe unatenda kosa? Self control yako iko wapi?

Kwahiyo mkeo akiondoka nyumbani akatekeleza watoto na wewe utatafta pa kwenda uwaache?

Yani unajustify makosa yako kwa sababu ya makosa ya binadamu mwingine? Huna Akili ya kujisimamia wewe?
 
Nikiangalia comments za "wanaume"(siwezi kuwa na uhakika cz ni ID feki) kwenye huu uzi nasema Mungu Alhamdulillah. Kwanza kwa kutokuwa mwanaume, pili kwa kutopata mwanaume wa kunishushia kipigo hadi hapa nilipofika.

In short kupiga mwanamke kwa wanaume wa Tanzania sio kosa. Kosa analo mwanamke kwamba alisababisha vipi apigwe. Kwa kipigo hiki, huyu Mihayo anaweza kubaka, anaweza kuua na vyote vibaya hapa duniani. HANA HURUMA HATA CHEMBE!

Ilikuwa short break karibuni muendelee kumfanyia Nackitia character assasination na kujustify matendo ya mwanaume anayempiga mkewe mambata na kumgaragaza chini watoto wake wawili wakishuhudia kisha anaenda public na kusema yeye ndo alikuwa victim kwenye ndoa yake.
Kwa experience yangu ndogo, kuna wanaume ambao kupiga ni hulka yao ambao hawa ni nadra sana kukutana nao yaani katika mtaa mzima wanaweza wasifike watatu

Kuna wengine unakuta amewekeza kwa mtu mmoja, wapole na very faithful halafu unakuta mwanamke anatumia hiyo chance kumnyanyasa maana huwaona mabwege. Hawa mazoba siku wakichoka huwa hawatabiriki reactions zao. Ukisoma comments za watu wanaomjua utaona aliangukia katika group la pili. Alifanya vibaya lakini kwa upande wa pili ni victim pia
 
HATA IWEJE HAKUNA UHALALI WOWOTE WA KUMPIGA MWANAMKE, KAMA MMESHINDWANA KUBALI YAISHE ENDELEA NA MAISHA YAKO, HATA KAMA AMELALA NA MTU MWINGINE NA UKAMMFUMANIA, HATA UKIMPIGA HAITABADILISHA CHOCHOTE, UKWELI UTABAKI PALE PALE KWAMBA AMESHALALA NA MWINGINE, HUTAWEZA KUBADILISHA HUO UKWELI
 
Unaongelea kupigwa mbele ya watoto wake tu?Ongelea pia demu/mke kurudi usiku wa manane akiwa bwax huku akshushwa kwenye gari na mchepuko wake na watoto wake wakiona.

Mzee baba ulibugi big tym kuoa demu anaeshinda pale hyatt anachokifanya hata hakieleweki,ila kwny kichapo nakupa kongole nyingi saana.






dodge

Sijasema huyo Nacky ni mtakatifu. Issue hapa ni mwanaume kumpiga mwanamke. Yani hili la huyu jamaa kumbonda mkewe mbona mnalikwepesha kwepesha kwa hoja za makosa ya mke.

Kwamba nanyi mkichepuka na kutufanyia dharau tuwakodishie wakina Mwarabu Fighter wawabonde maana nguvu hatuna?
 
Kwahiyo mtu akikukosea nawe unatenda kosa? Self control yako iko wapi?

Kwahiyo mkeo akiondoka nyumbani akatekeleza watoto na wewe utatafta pa kwenda uwaache?

Yani unajustify makosa yako kwa sababu ya makosa ya binadamu mwingine? Huna Akili ya kujisimamia wewe?
Mkuu wote ni binadamu na wote tuna damu na nyama, usitende kosa kumuumiza mwingine kila mmoja ana ustahamilivu wake, kama mumeo hakufai ondoka usije kwake kujiegesha upate hadhi ya mke wakati hutimizi wajibu wako, acha wanyukwe kwa sababu kwanza ni wanafiki wanataka ulimwengu uwaone tofauti na walivyo pili wanumiza wengine, unyukwe ujirekebishe au uondoke au uondolewe. Mbona vipoko wanachapwa watoto kwani ni mzazi kashindwa kujisimamia?
 
Watoto wanahuzunisha sana yaani ningekuwa mimi kwa jinsi walivyokuwa wanahangaika nguvu za kuendelea kuhangaika na huyo mke zingeisha.

Ila huyo jamaa aliyekuwa nyuma hata kutoa msaada na yeye akachapa mwendo badala ya kuamulia hawa watu ndiyo yakitokea madhara huwa wanakuwa kimbelembele kuongea wakati hawakusaidia kwa lolote
Jamaa ni kijana mtunza bustani, maboss wanapigana ukute naye anamuogopa kama nini angeweza kweli? Jamaa lenyewe lilivyo katili apati ata uruma juu ya watoto wanavoangaika afu kama anawarudia tena anawafokea masikini vitoto amani imepotea, akuna wa kuwafariji dah ms*en*ge*
 
Kwa experience yangu ndogo, kuna wanaume ambao kupiga ni hulka yao ambao hawa ni nadra sana kukutana nao yaani katika mtaa mzima wanaweza wasifike watatu

Kuna wengine unakuta amewekeza kwa mtu mmoja, wapole na very faithful halafu unakuta mwanamke anatumia hiyo chance kumnyanyasa maana huwaona mabwege. Hawa mazoba siku wakichoka huwa hawatabiriki reactions zao. Ukisoma comments za watu wanaomjua utaona aliangukia katika group la pili. Alifanya vibaya lakini kwa upande wa pili ni victim pia

Akili za kuambiwa changanya na zako. Angalia video hadi mwisho, huyu mwanamke si mara ya kwanza kupigwa. Unajua kwanini?

Anajua kabisa tabia za mpigaji wake. Ndo maana alipokuwa anaondoka alimfuata nyuma sababu anamjua akishacalm down so anajua kabisa hapa “session” imeisha. Halafu mpigaji wa mara moja angeacha watoto walipoanza kulia na kurandaranda hapo ila wala hajali anawafokea.

Halafu ukitenda kosa hata kama umekuwa provoked vipi huwezi kuwa victim. Ndo maana kuna kitu kiitwacho “SELF CONTROL”. Uanaume ni pamoja na kutoyumbishwa na mkeo na maneno yake na ndicho vitabu vya dini vilichomaanisha kusema “ishi na mwanamke kwa akili” au mnadhani ni kuweza tu kuficha michepuko na kujitetea ukikutwa na SMS za mahaba?
 
Said it well,siungi magomvi ya kupigana kwa wanandoa ila wanawake wengi wanaopigwa ukifuatilia kwa makini utagunudua kuwa kilichomponza ni mdomo wake kutoutumia vizuri,ukimkuta mwanume anakwambia mimi siwezi kumpiga mke wangu ujue huyo hajakutana na mwanamke mwenye maneno ya hovyo,ni ngumu kwakweli kuvumilia,inahitaji sana kumuomba Mungu akupe hekima hasa inapotokea kuwa umegundua mkeo ni wa aina hiyo......
Sure Mimi nakiri nilishapiga mwanamke kutokana na mdomo wake
 
Kwamba nanyi mkichepuka na kutufanyia dharau tuwakodishie wakina Mwarabu Fighter wawabonde maana nguvu hatuna
Haswaaa! Maana sasa naona baadhi ya watu wanahalalisha kua kupiga ndio suluhisho
 
Mwanaume akikuambia ooh mke wangu nilimuacha alikuwa Malaya usimuamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan wanaume awafai ata jina la mbwa maana mbwa ana huruma unalala ndani ye yuko nje anakulinda.....ukute uyo kaka ni malaya shetani afuati labda ikatokea tu mwanamke akapata asira akachepuka siku moja ama katoka na mtu tu wakapata dinner ndo ikawa ivo
 
Kwahiyo mtu akikukosea nawe unatenda kosa? Self control yako iko wapi?

Kwahiyo mkeo akiondoka nyumbani akatekeleza watoto na wewe utatafta pa kwenda uwaache?

Yani unajustify makosa yako kwa sababu ya makosa ya binadamu mwingine? Huna Akili ya kujisimamia wewe?
Zurie,naamini haumaanishi ulichoandika hapa.
 
HATA IWEJE HAKUNA UHALALI WOWOTE WA KUMPIGA MWANAMKE, KAMA MMESHINDWANA KUBALI YAISHE ENDELEA NA MAISHA YAKO, HATA KAMA AMELALA NA MTU MWINGINE NA UKAMMFUMANIA, HATA UKIMPIGA HAITABADILISHA CHOCHOTE, UKWELI UTABAKI PALE PALE KWAMBA AMESHALALA NA MWINGINE, HUTAWEZA KUBADILISHA HUO UKWELI
Unadhani wale wanaofungwa kwa kuua adhabu zao zinarudisha marehemu waliokufa ???




Sent using Jamii Forums mobile app
 
HATA IWEJE HAKUNA UHALALI WOWOTE WA KUMPIGA MWANAMKE, KAMA MMESHINDWANA KUBALI YAISHE ENDELEA NA MAISHA YAKO, HATA KAMA AMELALA NA MTU MWINGINE NA UKAMMFUMANIA, HATA UKIMPIGA HAITABADILISHA CHOCHOTE, UKWELI UTABAKI PALE PALE KWAMBA AMESHALALA NA MWINGINE, HUTAWEZA KUBADILISHA HUO UKWELI
Ndiyo lakini inapunguza machungu kwa hawa kaka zetu.
 
Sema nini bro mbona bwana mihayo ni tapeli no. 1....waulizeni crdb naomba toeni info za utapeli wa mihayo... na mbona mshkaji tulikua tunakula nae anamkejeli mkewe mpaka tukawa tunawaza huyu bro kwanini alioa...vibaya zaidi na yeye alikuwa na wanawake kede kede wengine tulikua tunamhifadhi..mbona ye hajapigwa

Swali la kujiuliza kwanini nacky apigwe vile na kwanini clip itolewe sasa hivi

Mihayo VS Nacky. Mume alishinda kesi ya madai iliyofunguliwa na Nacky mkewe aliamuriwa amlipe mamilioni mia kadhaa kwa usumbufu na matatizo aliyoyasabisha. Demu alikuwa anataka mali ambazo zimemilikishwa watoto wao.

Demu kwa sasa hali ya kifedha yuko vibaya ndio maana kavujisha hii clip ili umma umuonee huruma.

Sababu ya huyu dada kupigwa ni kufumaniwa akitembea na rafiki wa karibu wa mumewe. Ambaye ni baller hapa town huyu jamaa. Vijana wa Tigo wanajua hii story.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siungi mkono tabia ya watu wazima kupigana ila wanawake wana midomo sana. Wengi wanapigwa kutokana na midomo yao, mwanamke hakubali kushuka anachonga mdomo tu. Na inafahamika sisi wanaume midomo yetu ni ngumi na mateke.

Hakuna sababu ya kumpiga mwanamke lakini kila mwanamke anayepigwa kuna chanzo.
Wanaume wengi busara zenu ni nguvu akili hamtumii.....ila ujue mwanamke akiamua awe mtulivu na mdomo wake usikukere pamoja na mabaya yako anaweza kukuua anakuchekea
 
Nimeona video ikisambaa mitandaoni ikionyesha mtu anaetajwa anaitwa Mihayo akimpiga ex wife kipigo cha mbwa mwizi.

Nikawa interested kumjua maana watu vile wanamzungumzia ni kama mtu fulani wa maana sana hapa mjini.

View attachment 1322727
Mihayo Wilmore

View attachment 1322748
Mtalaka wa Mihayo, Nackitia Nyange(Mtoto wa Anne Kilango Malecela)

Nilikaenda msikiliza kweye podcast ya men men men ambayo kwa sasa imefutwa baada ya video kusambaa jamaa anamtuhumu mkewe kwamba alimpitisha kwenye maisha yenye mateso na maumivu mpaka akamwachia mali zote akaanza upya.

Kwa wanaomfahamu huyu jamaa ni nani haswa? Na huo mgogoro na mkewe waliotengana ulihusisha nini haswa?

Kitu ambacho nimeona familia ya Mzee Malecela ndio wanaongoza mashambulizi, kwa nini sasa na sio 2015 alipompiga mkewe?

Huyo mwanamke anastahili hicho kipigo, kwa kumuangalia tu utagundua kwamba ana kiburi saana, ukishaona mwanamke anavaa suruali, ana manywele hayo ujue hapo ni kichwa maji, hakuna adabu, hakuna usikivu, kiburi, jeuri, mdomo mrefu, mbishi,
Angalia picha vizuri utaona, hata baada ya kuwa amepigwa lakini alionesha ukaidi wakati anarudi ndani, kuna uwezekano mkubwa sana alikuwa anatukana jamaa, na jamaa alikuwa ameshachoka kupiga, yawezekana kabisa inatokana na malezi, (ona mama yake alivyo), Mwanamke aliyefunzwa vema akikosea kwa mumewe mara moja anaomba msamaha, akipigwa anatulia chini (mwanaume huwezi kuendelea kumpiga mwanamke kama ameonesha utii amekaa chini), unaona huyo alivyokuwa anajibu kwa kutumia miguu yake, na mara zote mwanaume mpaka akifikia hatua ya kumpiga mwanamke ujue ni kwamba atakuwa alishasema mpaka akachoka.



View attachment 1321512
 
Yaan wanaume awafai ata jina la mbwa maana mbwa ana huruma unalala ndani ye yuko nje anakulinda.....ukute uyo kaka ni malaya shetani afuati labda ikatokea tu mwanamke akapata asira akachepuka siku moja ama katoka na mtu tu wakapata dinner ndo ikawa ivo
Umalaya tu.Wewe mke wa mtu unaenda dinner na mwanaume mwingine asiyejulikana na mumeo unaitaka ndoa kweli?
 
Nimeshuudia wanawake wa 5 wakipigwa live huyu hajapigwa jamani kapapaswa nyie kuna wanaume wanabonda aisee, kati ya hao watano kuna mmoja nilishindwa kuvumilia angeuwawa nikavaana na mumewe mpaka leo nina ngeu kwenye jicho sababu ya kuokoa asipasuliwe bandama mi pia na hasira ila siwezi kupiga mwanamke, yani mtu anakupa utamu unampiga?! Uuajiii??!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ya watu huwa ni magumu sana
siwezi tia neno maana mimi mwenyewe nishawahi mpasua mwanamke mmoja na kila siku namuomba Mungu nisije nikamgusa mtoto wa watu tena

Hiyo Video jamaa kampapasa tu hiyo mwanamke
Halafu kwanini hakuingia kwenye DVR afute hiyo clip wakati alijua kuna CCTV?

Hizi ndoa zina mambo mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom