Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Umemaliza kila kitu demu sio yule na mchizi alibugi ila alikuwa kashaoa kashazaa nae hana la kufanya. Ajabu Mzee Nyange yuko karibu sana angemuuliza vizuri yaliyomkuta mpaka akaenda kuoa Mercy. Ule ukoo sio
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks
 
Ukileta ujuaji utapigwa tu .

Hizo harakati zenu za ki feminism pelekeni Beijing ukumbuni .

Hapa ukileta mdoma Kama kasuku ni kisago ,kipondo heavy
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilichonisikitisha kwenye hii video ni watoto masikini wlivyokuwa wanahangaika sijui ndiyo wazazi wao wanagombana na hawana uwezo wa kuamua haya mambo ya familia yanaumizaga sana watoto
Nakumbuka wakati fulani binti yangu alishuhudia nikipata kipigo toka kwa baba yake (alikuwa na miaka minne) alimchukia sana baba yake na alimtamkia live "baba nakuchukia sana, sikupendi umempiga mama yangu" hata tulipoondoka alikuwa anagoma kupokea simu za baba yake.

Watoto pia wanaumia
 
Bottom line hili group la dada wa mjini wanaoshinda Hyatt, serena, Mara Arusha tour wote wale si wanawake wazuri wa kuolewa.

Yupo jamaa anaitwa Chumu naye alioa group hilohilo yaliyomkuta mchizi kaanza moja mali yote kagawana na mke wake. Na mke namuona na Mh fulani wanatangaza utalii mpaka Israel. Hawa mademu ukiingia kichwa kichwa ukaoa ukimaliza miaka kumi bahati. Maana yake wengine waliolewa mpaka na wazungu ndoa zingavunjika. Midege isiyoliwa ile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unamhonga,unampenda,unampetipeti,ili upate faida gani labda, pussy au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yamewahi kukukuta nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pumbavuuu na huyo binti ningemuunganisha na mama ake wote vibao pumbavuuu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo jamaa naye boya kweli wanawake kama hao ni wa kupiga na kusepa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezo si pesa tu
Its also Mental capabilities
hahaaaa[emoji3][emoji3][emoji3],kuwa na mchepuko kumbe kunahitaji mental capabilities [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],upo sawa kabisa wanaume wenye mwanamke mpya wana mental capabilities ndogo,yaani uanaume wao haujakamilika kwasababu mwanaume kamili hawezi akawa na mwanamke mmoja,you dig??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…