Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Umemaliza kila kitu demu sio yule na mchizi alibugi ila alikuwa kashaoa kashazaa nae hana la kufanya. Ajabu Mzee Nyange yuko karibu sana angemuuliza vizuri yaliyomkuta mpaka akaenda kuoa Mercy. Ule ukoo sio
Oh yeah?

Kama ni interview huyo Mihayo katoa his own story walao hajamtaja huyo dada,yeye alijuaje ni yeye mpaka afanye retaliation ya kibwege namna hii?

Huyo dada nae kahojiwa,katema upupu kama retalitation na mavideo katoa!

Fair enough!

Huyo mwanamke anaenda nyumbani kwa huyo Mihayo kuangalia watoto kwa ruhusa ya nani wakati mwenye nyumba hamtaki kumuona nyumbani kwake?

Unaenda kuvamia mageti ya watu kivipi?

Huyo mwanamke asubiri watoto wawe dropped nje kwake ndio awaone huko kwake na sio kwa huyo baba!

Hilo limwanamke libishi na linapenda shari kwa kwenda nyumbani kwa adui yake hiyo ni kosa!

Plus,hayo matoto yanajulikana,yalilelewa bila baba,matoto ya mjini,mama yao,yeah well,you know...mabishi,machupi mikononi!

Wilmore alionesha very poor decision making skills kuoa madude kama haya!

Yale matoto ni hovyo,all the way through!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasoro (nishazoea kumuita jina lake la Youngafricans) ni mtu very smart. Mipango yake ya biashara, pragmatism yake, exposure etc, vinamfanya awe bonge la asset popote atakapokuwa.

Tatizo, kuna angle ya emotion hapo. Na kama mtu hajaweza ku control hiyo angle ya emotion, anaweza hata kuua kijinga tu.

Halafu, kujiamini sana nako si kuzuri. Mtu anaweza kuwa mjinga tu, na wewe una akili sana, ukaona unaweza kum control, unaweza kumu undermine, unaweza kumu outtalk.

Lakini huwezi kujua atakuvizia wapi na kitofa aje kwa nyuma akupige kichogoni wakati hata hujamuona.

Ndiyo maana mabaharia wakitaka kuoa wanakuwa na mlolongo mrefu wa kuchunguza mke mtarajiwa kushinda background checks za FBI.

Yani baharia hata kama una akili vipi, ukikosea kuoa tu umekosea sehemu kubwa sana, hususan kama umekosea kuoa halafu kuna watoto washaingia kwenye mlinganyo.
Thanks
 
Either tunakuacha hoi au hatukuacho hoi hapa its not an issue. Issue hapa ni kupigwa kwa mwanamke mwenzetu mkuu, hajajitetea wala hajashika hata kajiwe kurusha. (Sote tunajudge kwa hiki kinachoonekana katika kipande cha video)

Msimamo wangu kama binadamu siungi mkono mtu yeyote kupigwa iwe ni ke au me! Hata tukikiri kuwa yawezekana mwanamke mwenzetu alikosea bado kwangu haitokei sababu nzito ya kuhalalisha namna anavyopigwa, kwahiyo mkuu tukikiri alikosea ameshapigwa so what, i better stand here, MWANAMKE HATAKIWI KUPIGWA! kuna adhabu mbadala mbona? Au hamjui?

Eti angebaki ndani video inaonesha akimfuata mume nyuma ambapo ukaguess alimfuata nyuma kwa matusi, kwanini usione alimfuta nyuma akafungue zake geti aondoke? Umeshafahamu unaposimamia mkuu? Na hapo ndipo sisi tunapopapinga, tusomeni katikati ya maneno mtuelewe.
Ukileta ujuaji utapigwa tu .

Hizo harakati zenu za ki feminism pelekeni Beijing ukumbuni .

Hapa ukileta mdoma Kama kasuku ni kisago ,kipondo heavy
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilichonisikitisha kwenye hii video ni watoto masikini wlivyokuwa wanahangaika sijui ndiyo wazazi wao wanagombana na hawana uwezo wa kuamua haya mambo ya familia yanaumizaga sana watoto
Nakumbuka wakati fulani binti yangu alishuhudia nikipata kipigo toka kwa baba yake (alikuwa na miaka minne) alimchukia sana baba yake na alimtamkia live "baba nakuchukia sana, sikupendi umempiga mama yangu" hata tulipoondoka alikuwa anagoma kupokea simu za baba yake.

Watoto pia wanaumia
 
Bottom line hili group la dada wa mjini wanaoshinda Hyatt, serena, Mara Arusha tour wote wale si wanawake wazuri wa kuolewa.

Yupo jamaa anaitwa Chumu naye alioa group hilohilo yaliyomkuta mchizi kaanza moja mali yote kagawana na mke wake. Na mke namuona na Mh fulani wanatangaza utalii mpaka Israel. Hawa mademu ukiingia kichwa kichwa ukaoa ukimaliza miaka kumi bahati. Maana yake wengine waliolewa mpaka na wazungu ndoa zingavunjika. Midege isiyoliwa ile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kikubwa mkeo unamchagua vizuri, unamkaza vizuri, unamhonga vizuri, unampeti peti vizuri, kiasi anakuwa haoni wala hasikii mwingine.

Ukishaweza hilo, unatulia naye, mnalea watoto.

Hapo hata akikukosea kidogo tu mwenyewe anajirudi hata kabla hujasema kitu.

Ile mwanamme umetua nyumbani tu mwenyewe anaanza kuomba msamaha kabla hujamsema.

Yani anaanza kujishukushuku mwenyewe, Baba Kwani mboona hivyo leo? Jana hukupenda nilivyopika? Au perfume yangu ya leo inakukera?

Ukitoka hapo unambusu, unaenda kumpiga kwa mguu wa tatu chumbani kuanzia kitandani mpaka mnaangushana kwenye floor huko San Salvador.

Hivyo ndivyo mwanamke anavyopigwa.

Si kwa ngumi na makofi.
unamhonga,unampenda,unampetipeti,ili upate faida gani labda, pussy au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv mnajua maneno ya mwanamke yanavyo Uma embu fikiria mke wako kachelewa kurud nyumbani unamuuliza unatoka wap saiz akujibu kwa mwanaume mwenzako utajiskia au akwambie hiv wewe katika wanaume na wewe ni mwanaume wanawake wanamaneno mengi ya kuuz ila tu basi ukishapanik wewe ndio unaonekana unamakosa

Sent using Jamii Forums mobile app
yamewahi kukukuta nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka wakati fulani binti yangu alishuhudia nikipata kipigo toka kwa baba yake (alikuwa na miaka minne) alimchukia sana baba yake na alimtamkia live "baba nakuchukia sana, sikupendi umempiga mama yangu" hata tulipoondoka alikuwa anagoma kupokea simu za baba yake.

Watoto pia wanaumia
pumbavuuu na huyo binti ningemuunganisha na mama ake wote vibao pumbavuuu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bottom line hili group la dada wa mjini wanaoshinda Hyatt, serena, Mara Arusha tour wote wale si wanawake wazuri wa kuolewa.

Yupo jamaa anaitwa Chumu naye alioa group hilohilo yaliyomkuta mchizi kaanza moja mali yote kagawana na mke wake. Na mke namuona na Mh fulani wanatangaza utalii mpaka Israel. Hawa mademu ukiingia kichwa kichwa ukaoa ukimaliza miaka kumi bahati. Maana yake wengine waliolewa mpaka na wazungu ndoa zingavunjika. Midege isiyoliwa ile.

Sent using Jamii Forums mobile app
huyo jamaa naye boya kweli wanawake kama hao ni wa kupiga na kusepa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezo si pesa tu
Its also Mental capabilities
hahaaaa[emoji3][emoji3][emoji3],kuwa na mchepuko kumbe kunahitaji mental capabilities [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],upo sawa kabisa wanaume wenye mwanamke mpya wana mental capabilities ndogo,yaani uanaume wao haujakamilika kwasababu mwanaume kamili hawezi akawa na mwanamke mmoja,you dig??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom