Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Amesema anaweza kutoa mtu uhai !!, au ndio vijana wa bashite nini ?.Mkuu Achana nae Huyo, Keyboard Heroes, Wapo Wengi tu Humu, Kajiketisha Chini anajiandikia tu, Unadhani Ujasiri huu anao Face to Face?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye Beijing ndio umeharibu kabisa, nyie wa Beijing ndio wa kupigwa mpaka unang'oa meno, maana kinachowasumbua ni hizo falsafa za kuiga, ukitaka usipigwe, shika adabu, uwe na heshima, uwe msikivu, mbona masharti yenyewe rahisi sana, mkijifanya vidume na Beijing yenu mbona kipigo halali yenu tu,Mazigazi Baba Swalehe G.Jacob Utetezi wenu juu ya upigaji bado haujitoshelezi au hauna na hauwezi kuwa na mashiko. Sisi wanawake wa beijing 😀😀 tutaendelea kusema na kusema tena kuwa sio haki kumpiga mwanamke kama mnyama unayemmiliki. Tunaitafuta dunia ya kistaarabu ambayo violence ni offense na kila mmoja anatakiwa apaze sauti juu ya hili lakini nyie wenzetu you are no where kufikia huko, well.
DV katika forms zake zote ikiwemo physical abuse ni kitu kisichokubalika katika dunia ya watu wastaarabu, na wala hatushangai kuwa wanawake wanapigwa tunashangaa reaction ya watu juu ya upigaji huo, kwamba wapigwe tu sio? Ni punda hao? Its 2020 people haaaaa!
Huku bara giza kuna vijimambo vyetu havijakaa sawa, mfano polisi anaweza kuanza kumpiga mwananchi ambaye hata hayupo armed, na wote tutapiga kelele kuwa ni unacceptable, hii inatofauti gani na mwanaume shababi mwenye manguvu yake kumpiga mwanamke ambaye hawezi hata kumrushia ngumi moja, and ya’all here praising tofauti ya hizi cases mbili ni ipi!? Au likija suala la mapenzi mnajawa na emotions na kuacha akili maili elfu nyuma!?
Eti umewahi kusikia Kijana wa kiume anaenda kwa mganga wa kienyeji kuoga dawa ili apate mwanamke wa kuoa ?.akikujibu unitag,hivi kuna mwanaume anahangaika na ndoa? wanawake ndiyo wanaohangaika kutafuta ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
sana,labda huyo mwanaume uliyenaye awe mume bwege, quran imeruhusu tuwapige na mtapigwa tu maana hamna namnaNDIO! Kwa aina yoyote ya kosa, asipigwe. Inakushangaza eenhe!?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] akikujibu unitag [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Eti umewahi kusikia Kijana wa kiume anaenda kwa mganga wa kienyeji kuoga dawa ili apate mwanamke wa kuoa ?.
Kuna wanawake wanakubali kuolewa na wanaume makatili kwa huruma zao mfano wewe ulitakiwa uwe single milele.
Kuna wanawake wanakubali kuolewa na wanaume makatili kwa huruma zao mfano wewe ulitakiwa uwe single milele.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wewe ndo pumbavuuu kweli hapo wanawake kibao wanamuomba awaoe,wanaenda hadi kwa mganga kabisaKuna wanawake wanakubali kuolewa na wanaume makatili kwa huruma zao mfano wewe ulitakiwa uwe single milele.
Wewe sio le mutuz aka le mubebezSema nini bro mbona bwana mihayo ni tapeli no. 1....waulizeni crdb naomba toeni info za utapeli wa mihayo... na mbona mshkaji tulikua tunakula nae anamkejeli mkewe mpaka tukawa tunawaza huyu bro kwanini alioa...vibaya zaidi na yeye alikuwa na wanawake kede kede wengine tulikua tunamhifadhi..mbona ye hajapigwa
Mpendwa usipaniki,usinitusi tafadhali tujibishane kistaarabu Mwanaume kama wewe mwenye maandishi machafu hivi unanyoosha mkono eti kujiona fulani kipigo ni halali yake utakuwa una mapungufu makubwa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wewe ndo pumbavuuu kweli hapo wanawake kibao wanamuomba awaoe,wanaenda hadi kwa mganga kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ieleweke kwamba hauna haki yeyote ya kisheria kuja kwamfano kumshawishi mke wangu eti aungane na wewe kupinga kupigwa, sana sana na wewe utapata hicho kipigoKaka mimi nimekubali kutokukubaliana , na nilikubali tu kukupa sikio la kusikiliza point zenu juu ya upigaji, kwanini exactly mnaona kupiga ni suluhu. Haipo siku hata moja kwenye maisha yangu nitaweza kujustify mwanamke kupigwa kwa aina yeyote ya kosa. Lakini kwasababu ni wake zenu endeleeni tu na sisi tusiopigwa/tusiokubali kupigwa hatutanyamaza katika hili, tutapiga kelele kote mnakopafahamu hata mkitubandika majina yote myajuayo. We done👍🏻!
Sijui huyo mume wako kama huwa anaweza hata kukufokea, inaonekana umemkali kichwani mmeo, ndio maana unakuja hapa na maneno yako ya Beijing, na kama huo (kwenye avatar)ndio mdomo wako ni shida
Wapigwe tuMazigazi Baba Swalehe G.Jacob Utetezi wenu juu ya upigaji bado haujitoshelezi au hauna na hauwezi kuwa na mashiko. Sisi wanawake wa beijing 😀😀 tutaendelea kusema na kusema tena kuwa sio haki kumpiga mwanamke kama mnyama unayemmiliki. Tunaitafuta dunia ya kistaarabu ambayo violence ni offense na kila mmoja anatakiwa apaze sauti juu ya hili lakini nyie wenzetu you are no where kufikia huko, well.
DV katika forms zake zote ikiwemo physical abuse ni kitu kisichokubalika katika dunia ya watu wastaarabu, na wala hatushangai kuwa wanawake wanapigwa tunashangaa reaction ya watu juu ya upigaji huo, kwamba wapigwe tu sio? Ni punda hao? Its 2020 people haaaaa!
Huku bara giza kuna vijimambo vyetu havijakaa sawa, mfano polisi anaweza kuanza kumpiga mwananchi ambaye hata hayupo armed, na wote tutapiga kelele kuwa ni unacceptable, hii inatofauti gani na mwanaume shababi mwenye manguvu yake kumpiga mwanamke ambaye hawezi hata kumrushia ngumi moja, and ya’all here praising tofauti ya hizi cases mbili ni ipi!? Au likija suala la mapenzi mnajawa na emotions na kuacha akili maili elfu nyuma!?
Aisee hadi wewe Baba SwaleheWapigwe tu
Jokes mani
Aisee hadi wewe Baba Swalehe
Ubarikiwe mpendwaMimi siwezi piga mwanamke bwana
Siwezi kabisa nampigaje sasa mama nancy
sio tusi ni ukweli,wewe ni mpumbavuu,hakuna mwanaume anayekosa mwanamke wa kuoa, mwanaume ikitokea hajaoa ni maamuzi yake na sio kwamba amekosa mwanamkeMpendwa usipaniki,usinitusi tafadhali tujibishane kistaarabu Mwanaume kama wewe mwenye maandishi machafu hivi unanyoosha mkono eti kujiona fulani kipigo ni halali yake utakuwa una mapungufu makubwa.
Hapo kwenye Beijing ndio umeharibu kabisa, nyie wa Beijing ndio wa kupigwa mpaka unang'oa meno, maana kinachowasumbua ni hizo falsafa za kuiga, ukitaka usipigwe, shika adabu, uwe na heshima, uwe msikivu, mbona masharti yenyewe rahisi sana, mkijifanya vidume na Beijing yenu mbona kipigo halali yenu tu,
Kwamba bara la giza, unajua wanayofanywa wenzenu huko mabara ya mwanga, tena kule hawapigi ngumi na mateke, kule muda mwingi mtu anatembea na silaha ya moto.