Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mazigazi Baba Swalehe G.Jacob Utetezi wenu juu ya upigaji bado haujitoshelezi au hauna na hauwezi kuwa na mashiko. Sisi wanawake wa beijing 😀😀 tutaendelea kusema na kusema tena kuwa sio haki kumpiga mwanamke kama mnyama unayemmiliki. Tunaitafuta dunia ya kistaarabu ambayo violence ni offense na kila mmoja anatakiwa apaze sauti juu ya hili lakini nyie wenzetu you are no where kufikia huko, well.

DV katika forms zake zote ikiwemo physical abuse ni kitu kisichokubalika katika dunia ya watu wastaarabu, na wala hatushangai kuwa wanawake wanapigwa tunashangaa reaction ya watu juu ya upigaji huo, kwamba wapigwe tu sio? Ni punda hao? Its 2020 people haaaaa!

Huku bara giza kuna vijimambo vyetu havijakaa sawa, mfano polisi anaweza kuanza kumpiga mwananchi ambaye hata hayupo armed, na wote tutapiga kelele kuwa ni unacceptable, hii inatofauti gani na mwanaume shababi mwenye manguvu yake kumpiga mwanamke ambaye hawezi hata kumrushia ngumi moja, and ya’all here praising tofauti ya hizi cases mbili ni ipi!? Au likija suala la mapenzi mnajawa na emotions na kuacha akili maili elfu nyuma!?
Hapo kwenye Beijing ndio umeharibu kabisa, nyie wa Beijing ndio wa kupigwa mpaka unang'oa meno, maana kinachowasumbua ni hizo falsafa za kuiga, ukitaka usipigwe, shika adabu, uwe na heshima, uwe msikivu, mbona masharti yenyewe rahisi sana, mkijifanya vidume na Beijing yenu mbona kipigo halali yenu tu,
Kwamba bara la giza, unajua wanayofanywa wenzenu huko mabara ya mwanga, tena kule hawapigi ngumi na mateke, kule muda mwingi mtu anatembea na silaha ya moto.
 
Mkuu sio rahisi Kama unavyodhani... Kwa nchi zilizoendelea haya mambo Licha ya kuwa na wataalamu wa mambo ya mahusiano Kuna cases kadhaa hutokea , vipi nchi zetu hizi ambazo hatuna muda na haya mambo ??


Ni rahisi sana kusema watu waachane ila kiuhalisia si rahisi mioyo ya watu kuachana Tena Kama kunakuwa na upande mmoja umeumizwa ...

Ongezeko la haya matukio ni dalili Kuna gape kubwa la Saikolojia, bila kuliziba kila siku tutazika watu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema nini bro mbona bwana mihayo ni tapeli no. 1....waulizeni crdb naomba toeni info za utapeli wa mihayo... na mbona mshkaji tulikua tunakula nae anamkejeli mkewe mpaka tukawa tunawaza huyu bro kwanini alioa...vibaya zaidi na yeye alikuwa na wanawake kede kede wengine tulikua tunamhifadhi..mbona ye hajapigwa
Wewe sio le mutuz aka le mubebez

Sent from my TECNO LC6 using Tapatalk
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wewe ndo pumbavuuu kweli hapo wanawake kibao wanamuomba awaoe,wanaenda hadi kwa mganga kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpendwa usipaniki,usinitusi tafadhali tujibishane kistaarabu Mwanaume kama wewe mwenye maandishi machafu hivi unanyoosha mkono eti kujiona fulani kipigo ni halali yake utakuwa una mapungufu makubwa.
 
Kaka mimi nimekubali kutokukubaliana , na nilikubali tu kukupa sikio la kusikiliza point zenu juu ya upigaji, kwanini exactly mnaona kupiga ni suluhu. Haipo siku hata moja kwenye maisha yangu nitaweza kujustify mwanamke kupigwa kwa aina yeyote ya kosa. Lakini kwasababu ni wake zenu endeleeni tu na sisi tusiopigwa/tusiokubali kupigwa hatutanyamaza katika hili, tutapiga kelele kote mnakopafahamu hata mkitubandika majina yote myajuayo. We done👍🏻!
Ieleweke kwamba hauna haki yeyote ya kisheria kuja kwamfano kumshawishi mke wangu eti aungane na wewe kupinga kupigwa, sana sana na wewe utapata hicho kipigo
 
Mazigazi Baba Swalehe G.Jacob Utetezi wenu juu ya upigaji bado haujitoshelezi au hauna na hauwezi kuwa na mashiko. Sisi wanawake wa beijing 😀😀 tutaendelea kusema na kusema tena kuwa sio haki kumpiga mwanamke kama mnyama unayemmiliki. Tunaitafuta dunia ya kistaarabu ambayo violence ni offense na kila mmoja anatakiwa apaze sauti juu ya hili lakini nyie wenzetu you are no where kufikia huko, well.

DV katika forms zake zote ikiwemo physical abuse ni kitu kisichokubalika katika dunia ya watu wastaarabu, na wala hatushangai kuwa wanawake wanapigwa tunashangaa reaction ya watu juu ya upigaji huo, kwamba wapigwe tu sio? Ni punda hao? Its 2020 people haaaaa!

Huku bara giza kuna vijimambo vyetu havijakaa sawa, mfano polisi anaweza kuanza kumpiga mwananchi ambaye hata hayupo armed, na wote tutapiga kelele kuwa ni unacceptable, hii inatofauti gani na mwanaume shababi mwenye manguvu yake kumpiga mwanamke ambaye hawezi hata kumrushia ngumi moja, and ya’all here praising tofauti ya hizi cases mbili ni ipi!? Au likija suala la mapenzi mnajawa na emotions na kuacha akili maili elfu nyuma!?
Wapigwe tu

Jokes mani
 
Mpendwa usipaniki,usinitusi tafadhali tujibishane kistaarabu Mwanaume kama wewe mwenye maandishi machafu hivi unanyoosha mkono eti kujiona fulani kipigo ni halali yake utakuwa una mapungufu makubwa.
sio tusi ni ukweli,wewe ni mpumbavuu,hakuna mwanaume anayekosa mwanamke wa kuoa, mwanaume ikitokea hajaoa ni maamuzi yake na sio kwamba amekosa mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye Beijing ndio umeharibu kabisa, nyie wa Beijing ndio wa kupigwa mpaka unang'oa meno, maana kinachowasumbua ni hizo falsafa za kuiga, ukitaka usipigwe, shika adabu, uwe na heshima, uwe msikivu, mbona masharti yenyewe rahisi sana, mkijifanya vidume na Beijing yenu mbona kipigo halali yenu tu,
Kwamba bara la giza, unajua wanayofanywa wenzenu huko mabara ya mwanga, tena kule hawapigi ngumi na mateke, kule muda mwingi mtu anatembea na silaha ya moto.

Unachoshindwa kuelewa ni kwamba haihitaji kuwa mwanamke wa beijing kutambua haki za binadamu, leave alone being a woman, ni common sense tu itakufanya utambue kuwa binadamu si punching bag ukae unampiga piga, hamuwezi kuongea nyie ba kumaliza tofauti zenu bila kupigana? Ninini tofauti yenu na watoto wasiokuwa na akili timamu!

Endeleeni kuwapiga na kwa hakika hatuwezi kunyamaza. Sijasema popote wanawake hawapigwi kwenye hayo mabara ya mwanga, ninachokizungumza hapa ni namna jamii inavyoreact juu ya upigaji huo, ambapo hapa kwetu wanaume wote mtasema wapigwe tu! Ni ng’ombe hao? jana nilikwambia soma katikati ya mistari uelewe ninachosema hapa, you missing the point.
 
Back
Top Bottom