Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kwanza, unasalitiwaje namtu unayemlisha, mvisha, mjali nakumpa huduma zake zakimahitaji kama mwanamke....Double standards
Mwanamke kama huyo ni kumkatia umeme na maji tu shnz typNdio wanavyokuaga hawa, sasa keshachakazwa, Kama ni Wanaume keshatembea nao mpaka K imeota sugu. Na mbaya zaidi hamna aliyefanya naye kitu cha maana, sanasana katumika weee..
Sasa naona mwamba, Kainuka tena, yuko vzuri, a natafuta namna ya Kumshusha ..
No matter what, Bro Mihayo anatakiwa asiwe na moyo mwepesi ,haya nimapito ,YATAPITA TU
Ndo kwanza ningefanya mambo ambayo yatamuonyesha kua Tangu nmeachana nawewe, NMEKUA NA FURAHA MARA MIA ZAIDI .Mwanamke kama huyo ni kumkatia umeme na maji tu shnz typ
Ashapigika sana vijana washaml snaaaaa
Sahv ndy a Nakumbuka shukaaaa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Mungu alipokupa utashi wa kung'amua mambo alikuwa hana akili? Kama hutaki shughulisha akili yako unategemea utofautishwe na ng'ombe kwa kusimama kwa miguu miwili pekee?
Haya ni mara ya kwanza kupigwa! Turudi kwenye mada...
Mkuu kubali kutofautiana na jamaa! Kama halijakufika huwezi tambua. Kama mwanamke unampenda ukimfumania na ulikuwa huamini anaweza kukucheat unaweza kumpiga ingawa ni kosa kubwa katika maisha. Ila kama ulishamfumania au ulikuwa na wasiwasi naye utaona ni kawaida na utampiga chini (maana upendo ulishakatika yalibaki mazoea). Pili si sahihi kuwa mwanamke akichiti hawezi kurekebishwa, hii inategemea iwapo pengine alikuwa analipa kisasi anaweza kuacha ila kama ni kicheche hilo unalo! Umri nao ni tatizo la kutokuwa mwaminifu, umri ukipita anatulia mbona Wema katuliaMahusiano hayalazimishwi zaidi ya hapo mtakuja kuumizana tu au kwenda jela
Kama mwanamke Ana background ya ucheche hawezi a acha, Dawa ni kumpiga chini au mpigane chini Maisha yaendeleee
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina common sana kwa.Wasikima na Wanyamwezi.Mkuu huyu jamaa ana undugu na jaji mstaafu mihayo?
Inategemea umri si kama wa mbuta nangaMwanaume yeyote anaye nyanyua mkono kumpiga mkewe/demu wake atakuwa na mapungufu katika malezi au mpaka yeye binafsi. Kama mapenzi yanazingua chomoa weka chuma kipya.
Kabisa mkuu.
Kaa utulie wanake wa kibongo ukimlegezea anakuletea bwanaake ndani ?Achilia mbali kupigana, Kumpiga mwanamke ni ujinga!
Sijasema Upumbavu nimesema Ni Ujinga!
Sent using Jamii Forums mobile app
uyo pengine ndo bint wa Kilango
Nimesema HAPA! Rudia tena kusoma ukizingatia neno HAPA! Na usome maelezo yafuatayo. Soma kuelewa sio kujibu.
Sorry bro. On this I WILL NOT LISTEN.
Sipigi tena mwanamke.
Ajabu ya wanawake!! Akipigwa teke analia akilawitiwa halii!!..
HAPA wapi?
Anapokua “mwanamke” all laws are suspended sababu ni “mwanamke”?
Wanadamu wengine ni sawa kupiga ila “mwanamke” hapana?
This is nonsense!