Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Sema nini bro mbona bwana mihayo ni tapeli no. 1....waulizeni crdb naomba toeni info za utapeli wa mihayo... na mbona mshkaji tulikua tunakula nae anamkejeli mkewe mpaka tukawa tunawaza huyu bro kwanini alioa...vibaya zaidi na yeye alikuwa na wanawake kede kede wengine tulikua tunamhifadhi..mbona ye hajapigwa

Mihayo kawatapeli nini crdb? Mihayo aliwauzia product ya Simu Account kwa makubaliano ambayo yeye angeendelea kuwa anafanya management ya product lakini wakafanya uhuni wakamwingiza mjini. Sasa kawatapeli kivipi? na mbona yeye ndio anataka kwenda mahakamani kudai rights zake, kwa nini isiwe crdb ndio waende mahakamani.

Siungi mkono mtu kupigwa ila kuna muda binadamu unafanya kitendo ambacho hata wewe mwenyewe haujui ulifikiaje kukifanya sababu ya mtu kukusukuma mpaka kiwango cha mwisho cha hasira. Huyo demu alikuwa anamchukulia mshikaji boya akawa anagongwa nje anarudi home usiku amelewa anamtukana mshikaji mbele ya watoto. Sasa ulitegemea atamuongelea vizuri kwa lipi.
 
Kati ya wanawake na wanaume nani anaongoza kwa usaliti?.

ukisaliti na wewe upigwe kama mwizi?.
Yule Jamaa dar aliona asipoteze muda saana, akamchimbia shimo, akamuwekea na gunia za mkaa juu yake, aka apply fire, maana wanawake hawasikiagi, huyu kwenye picha hajapigwa vya kutosha, anaweza mpaka kutembea !, baada ya kipigo ilitakiwa abebwe na machela.
 
Haya mambo si ya kuokoteza. Inatakiwa mwenye habari sahihi ndio asimulie. La sivyo tutarishana matango pori na kujenga hasira zisizokuwa na msingi.
Yes, wengi wanaokoteza hawajui lolote. Nimefanya sana kazi na Mihayo ni mtu poa sana japo anamapungufu yake lakini ni mtu haswa na anajua kuitafuta pesa.

Huyo ex wake ni wale wanawake wasiofugika jamaa sababu wakishua hajui sana purukushani za mjini akaingia mkenge. Walishaachana na Mihayo ameshinda mahakamani lakini huyo mwanamke bado anaendeleza vita ya kumrostisha mshikaji ameamia kwenye media.
 
Wadau, si mnaona wanawake wenyewe ndio hawa, angalia maneno yake, hivi unadhani huyu hata ujidanganye eti unampenda kuna siku atakuheshimu ?, unadhani huyu anaweza kusikia ukimwambia kwa mdomo ?, hawa ndio wale ambao wanasemaga ukitoka na mimi natoka, hawa wa kupiga tu, tene ukiweza unamtia kilema, yaani vunja hata mguu ili atulie nyumbani, ukija kupona atakuwa anauangalia anakumbuka na kuugulia machungu
Utatiliwa sumu ufe siku si zako
 
Usijidanganye, wanaume ni wachache sana, tena wenye uwezo wa kuoa ndio wachache zaidi, wanawake hata akama hajafikia umri wa kuolewa anaweza akaolewa akaenda kukulia kwa mumewe, lakini huwezi kuchukua kijana wa kiume ulazimishe awe mume kama yuko chini ya umri wa kuoa.
Wachache kwa takwimu zipi mkuu
Sex ratio ya nchi na dunia ni 1:1

vinginevyo njoo na takwimu
Ndo Ndoa zinahappen kila siku
Wanaume watu wazima ndo wanaooa Watoto wa kazi gani
 
Yule Jamaa dar aliona asipoteze muda saana, akamchimbia shimo, akamuwekea na gunia za mkaa juu yake, aka apply fire, maana wanawake hawasikiagi, huyu kwenye picha hajapigwa vya kutosha, anaweza mpaka kutembea !, baada ya kipigo ilitakiwa abebwe na machela.
Baada ya gunia la mkaa atafia jela
If thats how short you want to spend ur life well and good ...go ahead utaozea jela ukinyea ndooo
 
alishinda kesi ya kumpiga na akasema Mihayo hakumpiga mkewe??
au alishinda kesi ya talaka??

nina mashaka wewe ndiyo Mihayo mwenyewe.
Baadaya kusoma sentence yako ya mwisho nimeshindwa kuendelea kukujibu sababu nna mambo mengi ya kufanya.
 
Selwa, Mtazamo wangu mimi upo tofauti kidogo, sijawahi mtegemea mtu anibadilishe na wala kumpa nafasi anivuruge labda ndo mana wengi wananiita KAVU na huwa simaindi wala nini.
Haya maisha kila mtu kazaliwa kivyake na kila mtu acheze mechi zake, hii ndiyo falsafa yangu inaniongoza tena si kwamba niliamua hivyo hapana ni vile nilivyo kiasili.

Sent using mazonge yamezidi
 
Zurie,

Kama upo karibu na Juice bar yeyote take a glass nitalipa! Very well said.

Hakuna justification ya mtu kupigwa na kuburutwa namna hii, ukipigwa unakuwa umedhalilishwa na kutolewa utu, binadamu anatakiwa kupewa adhabu zitakazotunza ubinadamu wake hata kama yeye mwenyewe ni “mbaya”kiasi gani. Halafu kumpiga mwanamke ambaye hawezi hata kukurushia ngumi moja nao ni ugonjwa wa akili. Kama kuna chochote Nack alichofanya kwa jamaa yake hili la kupigwa halifit kama justification. Uliza sababu utaambiwa sijui usaliti, sijui ma nini nini, swali huyo kaka hajawahi msaliti mkewe? Au hajawahi mfanyia chochote kibaya! Is he malaika Gabriel or something like that, Holly! No no no! Mbona ye hakupigwa hivyo? What’s your point men! To me binadamu yeyote hatakiwi kupigwa leave alone a woman!

Sipati picha mangenita angekuwa katika ubora wake wa U Turn angeandika nini mbaya wake anapokaangwa hehe!
 
Maji hufuata mkondo
Ila huo ukoo wa Kilango wana mdomo sana Mihayo kumdunda huyo msichana ingawa siafiki lakini kwa ninavyowajua kilangos ni haki yake.Huyo msichana anaitwa Nancy Kilango kama sikosei nani mtalaka wa Mihayo.Kuna kipindi cha Nyuma Huyo msichana alikuwa akichambana na Mange Kimambi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Midomo hiyo ya kuwaambia wanaume "Akili hawatumii" ndio hupelekea kupigwa, na wewe ungekuwa mke wangu hapo ungepata kinachokustahili (kipigo), mmeagizwa na Mwenyezi Mungu kuwatii Waume, ukileta dharau kwa Mume kipigo halali yako.

Mwenyezi Mungu katuagiza tuwatii waume zetu, lakini sifikirii kawaagiza muwapige wake zetu! Wanaume wanaume! Au alisema wanawake wawatii wasipowatii ni kipigo tu hehehe! Alivyoviagiza mwenyezi Mungu ni vingapi hamvifanyi? Mmeshikilia tu vile vinavofavour ego zenu? 😂
 
Back
Top Bottom