Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

I wish you heard that podcast

mwanzo mwisho unajiuliza mke kakosa lipi kubwa sana hadi uyu kaka kaona their marriage was toxic.,sijui waandishi walikua wanaogopa kumuuliza maswali au vipi ila ilikua janja janja sana
Mimi podcast itaniumiza sana tu. Kasoro mshkaji wangu long time tangu hajarudi bongo.

Tulikuwa tunabishana, turudi bongo au tusirudi.

Yeye anashikilia kurudi, mimi namwambia nalikita hukuhuku Unyamwezini, mpaka akawa ananitania nitastaafu kwenye viwanja vya gofu Florida.

Alitukusanya sana katika forum yake ya Youngafricans, ilikuwa kama JF wakati huo hata JF haipo.

Imeniuma sana kuona hii video.
 
Mimi podcast itaniumiza sana tu. Kasoro mshkaji wangu long time tangu hajarudi bongo.

Tulikuwa tunabishana, turudi bongo au tusirudi.

Yeye anashikilia kurudi, mimi namwambia nalikita hukuhuku Unyamwezini, mpaka akawa ananitania nitastaafu kwenye viwanja vya gofu Florida.

Alitukusanya sana katika forum yake ya Youngafricans, ilikuwa kama JF wakati huo hata JF haipo.

Imeniuma sana kuona hii video.
Inasikitisha ...kwa mnao mjua maybe u know better

but the podcast and this video show absolutely two different Men
 
Ndomana utakuta wanawake kwenye situation kama hii wanapenda wao wabaki na Watoto ili baba aendele kutoa mpunga
Wanawake kama Hawa Hawana shukran hata uwafanyie nn....
Ndomana mwisho wa siku wanaishiaaa kubaya

Ova
Oh yeah?

Kama ni interview huyo Mihayo katoa his own story walao hajamtaja huyo dada,yeye alijuaje ni yeye mpaka afanye retaliation ya kibwege namna hii?

Huyo dada nae kahojiwa,katema upupu kama retalitation na mavideo katoa!

Fair enough!

Huyo mwanamke anaenda nyumbani kwa huyo Mihayo kuangalia watoto kwa ruhusa ya nani wakati mwenye nyumba hamtaki kumuona nyumbani kwake?

Unaenda kuvamia mageti ya watu kivipi?

Huyo mwanamke asubiri watoto wawe dropped nje kwake ndio awaone huko kwake na sio kwa huyo baba!

Hilo limwanamke libishi na linapenda shari kwa kwenda nyumbani kwa adui yake hiyo ni kosa!

Plus,hayo matoto yanajulikana,yalilelewa bila baba,matoto ya mjini,mama yao,yeah well,you know...mabishi,machupi mikononi!

Wilmore alionesha very poor decision making skills kuoa madude kama haya!

Yale matoto ni hovyo,all the way through!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida yako ni ukilaza na kuongea usiyo na uhakika nayo

since nimepita mitandaoni and i have the facts i will get them straight for you

first:Mihayo did the podcast and hakuficha identity yake hata ambao hatukua na uhakika tuliconfirm on the spot nani anaongelewa na alimtaja sana tu..unadhani kwa nini imetrend?

pili video hajapost mke:kapost mdogo wake mke ebaada ya kusikia alichosema Mihayo kwny podcast ukitaka mtafte insta si unawajua?.

tatu :Nacky na watoto ndo walikua nyumbani Mihayo alishaondoka kurudi kuishi kwa mama ake
Yeye mwanaume ndo alikuja kuona watoto wanaoishi hapo na x wife wake
X husband ndo alikuja fanya vurugu hapo kwake japo alishahama 6 months prior

Haya ni kutoka kwa wahusika huko mitandaon

know the facts kwanza ndo uje..nimekudespise vibaya mnooo ...mnoo kwa kuja na maneno mengi ya uongo kupitiliza wkt ukweli uko wazi kwa wahusika
weka link ya hiyo video ya mihayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima kuwe na law and order otherwise inakua anarchy state

Nigga Wilmore sijui alikosea wapi aisee...Ila watoto wengi wa kishua kwenye kuoa hua ni failure sijui kwanini!

Inakuaga social skills zipo chini ndio maana!

Hahahahaha. Nakushauri acha mkuu. Kuna watu wanakufa kwa kofi moja tu. Ya nini kuharibu maisha yako na ya familia yako for a thing which you can just walk away...? See what Stamina and Mabeste did[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiufupi Tu wanawake ni viumbe wenye upeo mdogo Sana wa akli, ukimchukulia mwanamke serious kama kiumbe chenye akli timamu kuna sku utamvunja mguu...
 
Hakuna sababu ya kupigwa Ni ukatili tu na malezi mabaya ya baadhi ya watoto wa kiume wamelelewa na kukua wakiona wazazi wao wanapigwa na wao wanaiga mpk kesho
Watu ya kanda ya ziwa mfano huyo Mihayo ni msukuma kupiga asili yao hata uwe mpole kiasi gani utapigwa tuuu!!
Tena enzi hizo wamama wa huko walikua wanapigwa sana kuliko sasa hivi
Ni ukatili Tu kupigwa mtoto wa kike!!acheni ukatili nyie baadhi ya wanaume
mama ako hakupigwa inawezekana alikuwa mstaarabu,jaribu na wewe kamletee dharau na kejeli mmeo uone balaa lake

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom