Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Unaongea nini ?, wewe unafikiri wazazi wako mpaka umefikia hapo hawakuwahi kukorofishana, utapeleka kwao wangapi, sina hakika kama unaweza kupata mwanamke ambaye hawezi kukukorofisha kwa hawa wa zama hizi. kama umezaa nae na unampenda unampa kipigo anakaa ndani anauguza majeraha akipona maisha yanaendelea.
Unadhani kipigo kitamuweka Sawa au nyumba itarejesha amani na furaha kwa kipigo huwa mnafurahisha sana kuongeza tatizo kwa kudhani mmetatua tatizo
 
Unadhani kipigo kitamuweka Sawa au nyumba itarejesha amani na furaha kwa kipigo huwa mnafurahisha sana kuongeza tatizo kwa kudhani mmetatua tatizo
Hivi huwa mnataka mwanamke akifanya Kosa la kipuuzi na la kurudiarudia, afanyweje ?, mwanaume umuangalie tu na umchekee ?, kwamba ooh my wife no problem, eeh ?. kiroho safi kabisa naomba unijibu, niko tayari kusikiliza ushauri wako.
 
Unadhani kipigo kitamuweka Sawa au nyumba itarejesha amani na furaha kwa kipigo huwa mnafurahisha sana kuongeza tatizo kwa kudhani mmetatua tatizo
Na asipokaa sawa ataendelea kupata kipigo tu, kwa nini fimbo huwa zinatumika shuleni ?.
 
Ndio maana nilisema mwanzo hapo hakuna mke.

Tatizo Watu wanabebwa na huruma ya kipondo alichokipata katika hiyo cctv footage.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiangalia comments za "wanaume"(siwezi kuwa na uhakika cz ni ID feki) kwenye huu uzi nasema Mungu Alhamdulillah. Kwanza kwa kutokuwa mwanaume, pili kwa kutopata mwanaume wa kunishushia kipigo hadi hapa nilipofika.

In short kupiga mwanamke kwa wanaume wa Tanzania sio kosa. Kosa analo mwanamke kwamba alisababisha vipi apigwe. Kwa kipigo hiki, huyu Mihayo anaweza kubaka, anaweza kuua na vyote vibaya hapa duniani. HANA HURUMA HATA CHEMBE!

Ilikuwa short break karibuni muendelee kumfanyia Nackitia character assasination na kujustify matendo ya mwanaume anayempiga mkewe mambata na kumgaragaza chini watoto wake wawili wakishuhudia kisha anaenda public na kusema yeye ndo alikuwa victim kwenye ndoa yake.

Kupigana pigana ni Mambo ya kishamba Sana
 
Hivi huwa mnataka mwanamke akifanya Kosa la kipuuzi na la kurudiarudia, afanyweje ?, mwanaume umuangalie tu na umchekee ?, kwamba ooh my wife no problem, eeh ?. kiroho safi kabisa naomba unijibu, niko tayari kusikiliza ushauri wako.
Kwenye mahusiano tunakoseana wewe ukikosea upigwe na mkeo watu mmekutana kila mmoja anatambua mbaya na nzuri kwa nini mpige kashindwa kufata vile unataka MUACHE
 
Hustahili kuwa baba wa familia kama kichwa chako kinawaza kipigo ndio njia badala kumueewesha mkeo ila magereza yapo kwa ajili yenu vichwa pazi msiojua kutumia ubongo vizuri kufikilia.
Kwa kauli hizo za midomo yako ni kwa namna gani unaweza kuepuka kupigwa ?.
 
Wapare wa wapi? Siku hizi kuna Wapare wa New York na wao ma model, wamesoma Yale na Lupita Nyong'o.Wakiongea wanatoa reference za London, Paris na Tokyo.

Tatizo si kabila, tatizo unaoa wapi katika hilo kabila, mtu gani?
Hata Watoke Mbinguni, As Long ni Mpare, Utajuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hustahili kuwa baba wa familia kama kichwa chako kinawaza kipigo ndio njia badala kumuelewesha mkeo ila magereza yapo kwa ajili yenu vichwa pazi msiojua kutumia ubongo vizuri kufikilia.
Sijui una maanisha nini, nina mke na watoto ambao wote wako happy na mimi Baba yao, naweza kuwa sistahili kwako tu, kawni hata jamii inayonizunguka wengi wao wananiheshimu sana
 
Kwa kauli hizo za midomo yako ni kwa namna gani unaweza kuepuka kupigwa ?.
Mkuu mimi sijawahi kupigwa na sitakaa nipigwe na Mwanaume na kama itatokea kwa bahati mbaya nikapigwa sijui itakuwaje maana sitamuacha hai.
 
Mkuu mimi sijawahi kupigwa na sitakaa nipigwe na Mwanaume na kama itatokea kwa bahati mbaya nikapigwa sijui itakuwaje maana sitamuacha hai.

Wewe umeolewa ?,
Natamani niongee na mumeo, nimfundishe namna ya kupiga tuone utafanya nini
 
Akili za kuambiwa changanya na zako. Angalia video hadi mwisho, huyu mwanamke si mara ya kwanza kupigwa. Unajua kwanini?

Anajua kabisa tabia za mpigaji wake. Ndo maana alipokuwa anaondoka alimfuata nyuma sababu anamjua akishacalm down so anajua kabisa hapa “session” imeisha. Halafu mpigaji wa mara moja angeacha watoto walipoanza kulia na kurandaranda hapo ila wala hajali anawafokea.

Halafu ukitenda kosa hata kama umekuwa provoked vipi huwezi kuwa victim. Ndo maana kuna kitu kiitwacho “SELF CONTROL”. Uanaume ni pamoja na kutoyumbishwa na mkeo na maneno yake na ndicho vitabu vya dini vilichomaanisha kusema “ishi na mwanamke kwa akili” au mnadhani ni kuweza tu kuficha michepuko na kujitetea ukikutwa na SMS za mahaba?
Nimekua interested kujibu hapa kwamba ukitenda kosa hata kama umekua provoked vipi huwezi kuwa victim??? Watu wanaua na wanatoka kwa defence ya provocation halafu unasema kwenye provocation kuna self control.

Unajua kwenye ile maneno wanasema eti kwenye vita huchagui silaha. Na hii wanawake tunayo sana huwa hatuchagui neno. Na wanaume maneno maneno hawawezi ni aidha aondoke nyumbani (hapo anajua anaenda kwa mchepuko wake kupata faraja) au ndio uishie kula kipigo.

Na hatuwezi kuwa best judges in this scenario bila kupata the side of the story kwa pande zote mbili hapo ndio tutajua nani alicross the line between the two.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua interested kujibu hapa kwamba ukitenda kosa hata kama umekua provoked vipi huwezi kuwa victim??? Watu wanaua na wanatoka kwa defence ya provocation halafu unasema kwenye provocation kuna self control.

Unajua kwenye ile maneno wanasema eti kwenye vita huchagui silaha. Na hii wanawake tunayo sana huwa hatuchagui neno. Na wanaume maneno maneno hawawezi ni aidha aondoke nyumbani (hapo anajua anaenda kwa mchepuko wake kupata faraja) au ndio uishie kula kipigo.

Na hatuwezi kuwa best judges in this scenario bila kupata the side of the story kwa pande zote mbili hapo ndio tutajua nani alicross the line between the two.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mchepukoo ndo kila kituu akuna kupiga semaa kama huna helaa ndo ikaishiaa kupigaa mpaka kuua aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote si wanadamu sio?

Mpaka waongelewe?

Wanawake bwana,mna high level of compartimentalization!

Wewe kwa utashi wako umeamua wanadamu wengine ni mavi mwenye uzito ni mwanadamu anaeitwa “mwanamke” maana ndie aliepigwa hapa,wengine wote chinjia baharini?

Nikutolee wewe povu maana ni that important?

Nimetolea povu unafiki unaoongea hapa ku-justify mwanamke kupewa special treatment hata kama amekosea wakati wanadamu wengine wote wanapitia the same shit!

Utakua Mpare wa akina huyo Naki!

Sijui my nigga Wilmore nini kilimtuma kuoa Mpare wa mjini,nigga atakua na poor level of judgement aisee!

Sasa unasema nimekataa wasiongelewe wakati hawajaongelewa nikakataa. Una mwezi mchanga nini?

Unaniaccuse kwa makosa ambayo sijafanya? Kwahiyo nianze zungumzia kupigwa kwa wanaume kwenye uzi aliopigwa mwanamke?

Ungeniuliza “mwanaume kupigwa ni sawa?” nikakujibu ni sawa ndo ungeanza accuse. Yani unataka a general discussion kwenye a particular issue?

PS: Though naona ni wish yako ila mimi si mpare.

Haya endelea kutapika.
 
Back
Top Bottom