Miili 1500 ya Wapiganaji wa Hamas imepatikana Israel

Miili 1500 ya Wapiganaji wa Hamas imepatikana Israel

Nani anaweza kuthibitisha Maigizo ya Natenyahu,upenda penda sifa na kujifanya yeye zaidi, juzi kadhalilishwa vibaya sana na kikundi cha HAMAS mchana kweupe, tuliwaona vijana wa Kipalestina wakiiingia karibu kila nyumba na kuwateka Waisrael, je, MOSSAD walikuwa wapi di ujiganya wao zaidi katika masuala ya ujasusi Duniani mbona siku huko Taifa zima la Israel lilikuwa taken by suprise - hui nfio mwanzo mnajua siku za usoni watakuja na mbinu gani mpya - don't you under rate them HAMAS - Dunia ufundisha mara zote kwamba uonezi una mwisho wake.
Kwakwel nimewaheshim wazayuni miaka yote ila kwahili wameziangusha mno yan wamevamia ndani yanchi yao inayoaminika inauliz mkal zaid tena nawavaa kobaz kibaya zaid wameteka had wanajesh wakaua watakavyo yan kama hamas wangekua nanguvu ndan yasaa 24 tel Aviv ingetekwa.... Hapa inabid mossad ipigwe msasa ndomana marekan fasta kaja kuokoa jahaz
 
[emoji298][emoji298] BREAKING NEWS

Kuna taarifa mbaya sana inayosambaa mitandaoni kuwa miili ya watoto wadogo wa Israel wapatao 40 imekutwa imechomwa moto huku mingine ikiwa imekatwa vichwa katika moja ya kijiji kilichokombolewa na Israel kutoka kwa Hamas.

Inasemakana watoto hao walichomwa moto wakiwa hai.


If this news is true, basi

Mwenyezi Mungu azilaze Roho za malaika hawa mahala pema peoni Amina.View attachment 2778197View attachment 2778198
kama hii taarifa ni kweli basi Israel wanatakiwa kushughulikia hawa watu bila ukomo!
 
Waambie hamasi waendelee kurusha Sasa kwenye uwanja wa vita. Washakimbiza kobasi kwa kuvaa baibui waonekane wakike.
FYI, kwenye masuala ya vita everything goes hata kama HAMAS watavaa mabawa kama malaika mradi mlengo yao ya kujikomboa yanatimia kuna shida gani?

Labda nikupe mifano mingi iliyokuwa inatumiwa na wapigania uhuru wa Algeria wakati wa utawala wa Ufaransa, wana mgambo walikuwa wanawapatia akina mama wanao kwenda sokoni wanaweka bastola kwenye vikapu vya kununulia mbaga na cha kula wakina mama wakikaribia Wafaransa na vikapu vyao wanamgambo wanawakaribia mbio mbio na kuchukua bastola zilizo fichwa kwenye vikapu vya akina mama na kuwaua wafaransa - naona na HAMAS wanaweza kuwa wanatumia mbinu hizo maanake siku ya tukio niliona karibu kila member wa HAMAS alikuwa na bastola, swali hapani ,je, walipataje kirahisi nakuzisambaza bila ya kushtukiwa?
 
Huko kuuana hawajanza leo au kwakua unaona waisrael hawastahil kufa
What a brilliant question? Be blessed - watu wengine kwao binadamu na Waisrael, Wapalestina hata wakifa mamillioni ni sawa tu - akili za baadhi ya waswahili hizo!! Hapa wanakazania kutaka kuonyesha jinsi HAMAS walivyo wabaya na binadamu hatari sana , wanajitia kusahau jinsi Taifa la Palestina aridhi yake kubwa ilivyo porwa na Israel kwa msaada wa hali na mali kutoka mataifa ya magharibi ambazo mpaka sasa bado wanatetea uzandiki wa Israel.
 
Inamaana gaza ino palestina, umeme na huduma zote zinatoka Israeli.

Mbona pagumu sana hapa
 
...Hamas kupitia msemaji wake ilisema kwamba wapiganaji wake wanaweza kuwaua mateka wa Israel 150 wanaowashikilia, mmoja baada ya mwingine kila wakati Israel inapowalenga raia bila kutoka tahadhari. ....
Hivi ndivyo vinavyoleta uchokozi mpya.

Je HAMAS walitoa tahadhari kwa raia wa Israel kabla hawajashambulia? Nawahurumia sana Wapalestina lakini wanapaswa kuanza kujihurumia wao kwanza
 
Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
Waarabu waache ubinafsi wawachukue ndugu zao kuliko kuwaacha wauwawe wengi hawana hatia bali ni wahanga tu wa udhalimu.
 
[emoji298][emoji298] BREAKING NEWS

Kuna taarifa mbaya sana inayosambaa mitandaoni kuwa miili ya watoto wadogo wa Israel wapatao 40 imekutwa imechomwa moto huku mingine ikiwa imekatwa vichwa katika moja ya kijiji kilichokombolewa na Israel kutoka kwa Hamas.

Inasemakana watoto hao walichomwa moto wakiwa hai.


If this news is true, basi

Mwenyezi Mungu azilaze Roho za malaika hawa mahala pema peoni Amina.View attachment 2778197View attachment 2778198
Inasikitisha sana!
 
Halafu wanakwambia eti ile ni dini ya amani (Asalaam..), hakuna lolote. Shwaini zao!
Tatizo unachuki na Uislam, kwa taarifa yako, hapo Palestine mpaka wakristo wenzio wapo nao ni raia wa Palestine.
Lakini pale ndani ya Israil ni mashoga tu ndio wanaopewa kipaumbele, sio Mkristo wala Muislam anae tamba pale.

Tatizo akili zako alishaondoka nazo yule alie vaa kichupi pale msalabani.
 
Nimegundua kitu wakristo sio wote labda 70% ni wajinga sa kwa kujitoa fahamu Israel akipigwa Hamasi wana roho mbaya. Wao wakiuwa watoto na wanawake wa Palestine utasikia Israel tia adabu hao, msiwalaumu yako makanisa wanafundisha chuki [emoji23]
Mkuu, bila kupepesa macho, yapo madhehebu ya kikristo yanafundisha waumini wao chuki dhidi ya Waislam.
Wenyewe wanamuona Muislam ni adui yao mkubwa, kwakweli inakera sana.
Hasa humu JF, huo upuuzi umejaa sana, na katika uchunguzi wangu nimegundua kua wamikoani ndio wanaongoza huo upuuzi.
 
Hivi hizo takataka watapoteza muda kuzika kweli? Bahari haiko mbali; wajaze kwenye ndege wakamwage baharini nguruwe hao!
Chuki zote ni kwa sababu tu ya kujipendekeza kwa watu wasiojua hata kama upo hapa duniani nguchiro wewe!
 
Wewe ndio huna akil sayans yakimedani nilazima ushike watu muhimu mateka ili iwe ngao yako kupata unachotaka kwa adui yako
sw mzee wa sayans , tunakuomba ulingon GAZA mechi ni dk 15 na matokeo ni Home 1:1 Away Israel
 
Mi cjaona sababu yammarekani kuingilia yan kupigana nahamasi hadi makomandoo wa USA waingie hapa mzayuni ameniangusha ilibid amalize mwenyew
nenda ulingon bila msaada wa USA , uone
 
Back
Top Bottom