Miili 1500 ya Wapiganaji wa Hamas imepatikana Israel

Miili 1500 ya Wapiganaji wa Hamas imepatikana Israel

Kwakwel nimewaheshim wazayuni miaka yote ila kwahili wameziangusha mno yan wamevamia ndani yanchi yao inayoaminika inauliz mkal zaid tena nawavaa kobaz kibaya zaid wameteka had wanajesh wakaua watakavyo yan kama hamas wangekua nanguvu ndan yasaa 24 tel Aviv ingetekwa.... Hapa inabid mossad ipigwe msasa ndomana marekan fasta kaja kuokoa jahaz

Unakumbuka 1974,kajifunze hiyo historia ya vita kisha uje hapa.
 
SERIKALI ya Israel imesema jeshi lake limeshambulia mamia ya malango huko Ukanda wa Gaza usiku kucha baada ya Waziri Mkuu Benjamin Ntenyahu kusema kuwa majeshi ya nchi yake yalikuwa katika mwanzo wa mapambano dhidi ya wanamgambo wa Hamas.

VOA imeripoti kuwa, Msemaji wa jeshi nchini Israel, Richard Hecht amesema kwamba miili 1,500 ya wapiganaji wa Hamas imepatikana ndani ya eneo la Israel kufuatia uvamizi wa Jumamosi, na kwamba hakuna mwanamgambo aliyevuka na kuingia Israel tangu Jumatatu.

Miongoni mwa maeneo yaliyolengwa na Israel ni pamoja na ujirani wa Rimal ulioko Gaza City, ambao ni makazi ya wizara na majengo ya serikali ya Hamas. Katika hotuba yake Jumatatu, Ntenyahu alisema kwamba, “Kile watakachokifanya kwa adui wetu kitakumbukwa kwa vizazi vijavyo.”

Hamas kupitia msemaji wake ilisema kwamba wapiganaji wake wanaweza kuwaua mateka wa Israel 150 wanaowashikilia, mmoja baada ya mwingine kila wakati Israel inapowalenga raia bila kutoka tahadhari. Waziri wa Ulinzi wa Israel Yoav Gallant kupitia taarifa ya Jumatatu alisema kwamba Israel ingekatiza huduma zote muhimu kwa Gaza zikiwemo umeme, chakula, maji na gesi.
Kazi nzuri sana.

Israel ingemwaga Simu hapo Gaza kuteketeza Kila aina ya kiumbe kilicholaaniwa hapo gaza
 
Waparestina na Waisrael wangepewa silaha za nyuklia wauane,ingekuwa poa sana
Kabisa maana wao ni vita tuu wanafanya mapatano ya kinafki baada ya muda kinanuka tena,,wapewe nyuklia Wakina Mama,,watoto na wazee wahamishwe wabaki hao walinda Amani wapasuane wenyewe Hadi akili ikawe Sawa!!
 
Tatizo unachuki na Uislam, kwa taarifa yako, hapo Palestine mpaka wakristo wenzio wapo nao ni raia wa Palestine.
Lakini pale ndani ya Israil ni mashoga tu ndio wanaopewa kipaumbele, sio Mkristo wala Muislam anae tamba pale.

Tatizo akili zako alishaondoka nazo yule alie vaa kichupi pale msalabani.

Unataka huruma kuwaunganisha wa kristo ambao ni 2% ya wakazi,kama israel kuna nuka mashoga kwanini mnaipigania hiyo ardhi. Umejaa ujinga mwingi.
 
Tatizo unachuki na Uislam, kwa taarifa yako, hapo Palestine mpaka wakristo wenzio wapo nao ni raia wa Palestine.
Lakini pale ndani ya Israil ni mashoga tu ndio wanaopewa kipaumbele, sio Mkristo wala Muislam anae tamba pale.

Tatizo akili zako alishaondoka nazo yule alie vaa kichupi pale msalabani.
hatushabikii huu mgogoro kidini , Hamas wamechokoza acha wadundwe hata kama hamas ni wakristu ila ukristo sio kichaga cua ugaidi kama ilivyo dini ya allaaa
 
Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
Waarabu waache ubinafsi wawachukue ndugu zao kuliko kuwaacha wauwawe wengi hawana hatia bali ni wahanga tu wa udhalimu.
Palestine sio waarabu labda useme ni Waislam.
Na ndani ya Palestine mpaka wakristo wenzio pia wapo.

Ukitoa chuki dhidi ya Waislam wenda akili ikakurudia.
 
Acheni kujitoa akili eti MOSSAD walikuwa wapi?!! CIA na FBI walipigwa tukio sept 11!!itakuwa Israel?!! Yote ya yote nini kilimkuta OSAMA? Yaani zamu hii wameyakanyaga ndio watamjua NETANYAU, ni mwehu, na ameshasema kitu atakachokifanya itabaki ni kumbukumbu kwa vizazi vyao(HAMAS), umemsikia na babu BIDEN jana kwenye hotuba yake,?? Njia za kishamba sana wanazotumia, za kuwapa mateso tu watoto, wazee na wanawake, ndio maana wenzao wa upande wa WEST BANK, wahataki tabu, maisha yanaenda tu, hao GAZA wakio chagua wahuni ndio wawaongoze, acha wafaidi matunda.
Uzuri Muislam kufa katika mapigano ndiyo kitu anapenda.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanini India imekua upande wa Islael mara nyingi?

Mwenye maelezo ya kina...
 
Mkuu, bila kupepesa macho, yapo madhehebu ya kikristo yanafundisha waumini wao chuki dhidi ya Waislam.
Wenyewe wanamuona Muislam ni adui yao mkubwa, kwakweli inakera sana.
Hasa humu JF, huo upuuzi umejaa sana, na katika uchunguzi wangu nimegundua kua wamikoani ndio wanaongoza huo upuuzi.

Kama madhehebu gani,

Wale wapemba walioandamna kupinga ujenzi wa kanisa wao chuki dhidi ya ukristo wanafundishwa na nani?
 
Unataka huruma kuwaunganisha wa kristo ambao ni 2% ya wakazi,kama israel kuna nuka mashoga kwanini mnaipigania hiyo ardhi. Umejaa ujinga mwingi.
Tunaibigania?.... kivipi?.... kwani me ni mpalentine?
Me ni mtanzania kama wewe tu, sema chuki ulizo fundishwa kanisani zinakufanya ushindwe kulijua hilo.

Hao wapalestine wanaipigania ardhi yao iliyo nyang'anywa na hao shwain, mashoga wakizungu wanaojiita waisrail.

Hao mashoga wapo hapo tangu 1947 kwa msaada wa mashoga wenzao Marekani na Uingereza, kabla ya hapo hapakua na shoga yeyote kwenye ardhi hiyo.

Punguza chuki dhidi ya Waislam ili akili yako ifanye kazi vizuri.
 
[emoji298][emoji298] BREAKING NEWS

Kuna taarifa mbaya sana inayosambaa mitandaoni kuwa miili ya watoto wadogo wa Israel wapatao 40 imekutwa imechomwa moto huku mingine ikiwa imekatwa vichwa katika moja ya kijiji kilichokombolewa na Israel kutoka kwa Hamas.

Inasemakana watoto hao walichomwa moto wakiwa hai.


If this news is true, basi

Mwenyezi Mungu azilaze Roho za malaika hawa mahala pema peoni Amina.View attachment 2778197View attachment 2778198
Hakika gaza itafutika.
 
Palestine sio waarabu labda useme ni Waislam.
Na ndani ya Palestine mpaka wakristo wenzio pia wapo.

Ukitoa chuki dhidi ya Waislam wenda akili ikakurudia.
Hata Israel waislam wengi tu wakiwemo waliouwawa,Mpalestina ni nani kama Sio muarabu ukisema Mpalestina Sio muarabu Ina maana hata mjordan, Lebanon,Sio muarabu
 
Kwanini India imekua upande wa Islael mara nyingi?

Mwenye maelezo ya kina...

India wanaupiga vita sana uislamu kwa sababu uislamu ni dini iliyojaa ubinafsi na kujiona bora,kila penye uislam kuna chuki na ubaguzi dhidi ya wasio waislamu zaidi kulazimisha jamii ifuate mila na tamaduni za kiislamu. Ndio mana wahidi na wachina wameukaata usilamu na wanaupiga marufuku.

Uislamu ubaki na waarabu tu ni dini ya hovyo kweli kweli.
 
hatushabikii huu mgogoro kidini , Hamas wamechokoza acha wadundwe hata kama hamas ni wakristu ila ukristo sio kichaga cua ugaidi kama ilivyo dini ya allaaa
Wala Dini ya Allah, sio ya kigaidi, sema ni chuki na propaganda mulizo fundishwa huko makanisani.

Yule mvaa kichupi pale msalabani arudi upesi, awarudishieni akili zenu, maana sio kwa hali hii.
 
Tatizo unachuki na Uislam, kwa taarifa yako, hapo Palestine mpaka wakristo wenzio wapo nao ni raia wa Palestine.
Lakini pale ndani ya Israil ni mashoga tu ndio wanaopewa kipaumbele, sio Mkristo wala Muislam anae tamba pale.

Tatizo akili zako alishaondoka nazo yule alie vaa kichupi pale msalabani.
Ndani ya jeshi la Israel hata waislamu hii vita sio ya kidini tatizo nyie mnapenda kuingiza udini ili mpate huruma za duniani

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom