Miili 1500 ya Wapiganaji wa Hamas imepatikana Israel

Miili 1500 ya Wapiganaji wa Hamas imepatikana Israel

Mkuu, bila kupepesa macho, yapo madhehebu ya kikristo yanafundisha waumini wao chuki dhidi ya Waislam.
Wenyewe wanamuona Muislam ni adui yao mkubwa, kwakweli inakera sana.
Hasa humu JF, huo upuuzi umejaa sana, na katika uchunguzi wangu nimegundua kua wamikoani ndio wanaongoza huo upuuzi.
Dhehebu lipi mfano weka na ushahidi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Ila Israel wanaposema hadi sasa wananchi wake 900 wamefariki dunia, nazo ni propaganda?!! Kwani unajua namba kamili ys hao hamas waliovuka mpaka na kuwaua watu? Hadi useme eti kina nani walirudi na mateka gaza? Kuna sehemu walisema kuwa walikuwa 1500?!!
Asikwambie mtu mkuu, hawa mashabiki wa HAMAS akili hawana hata tone.
 
... si wamelikoroga? Walinywe sasa kenge wale! Na bado.
Labda hadi sasa hujui mchana itakuwaje baada ya breakfast kukupita kama haikujui lakini unaangaika kusifia wayahudi! Waswahili sijui nani katuroga!
 
Ndani ya jeshi la Israel hata waislamu hii vita sio ya kidini tatizo nyie mnapenda kuingiza udini ili mpate huruma za duniani

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Nyinyi wakristo wa nyarugusu ndio munaingiza udini kwenye vita hivi, chaajabu mukifika huko Israil munatemewa mate kama nguruwe tu.
 
India wanaupiga vita sana uislamu kwa sababu uislamu ni dini iliyojaa ubinafsi na kujiona bora,kila penye uislam kuna chuki na ubaguzi dhidi ya wasio waislamu zaidi kulazimisha jamii ifuate mila na tamaduni za kiislamu. Ndio mana wahidi na wachina wameukaata usilamu na wanaupiga marufuku.

Uislamu ubaki na waarabu tu ni dini ya hovyo kweli kweli.
Kwanza waharibifu wa maji..kiladakika nikutawadha waki nyamba nikutawadha..wakiguswa na mbwa nikutawadha ..kwahesabu za haraka haraka mtawadho mmoja ni ndoo 1nanusu ambazo ni sawa na lita 30
 
Wala Dini ya Allah, sio ya kigaidi, sema ni chuki na propaganda mulizo fundishwa huko makanisani.

Yule mvaa kichupi pale msalabani arudi upesi, awarudishieni akili zenu, maana sio kwa hali hii.
Dini ya kisasi
 
Asikwambie mtu mkuu, hawa mashabiki wa HAMAS akili hawana hata tone.
Ni kama mashabiki wa Israil tu, akili zao alisha ondoka nazo yule mvaa kichupi pale msalabani, aliwaahidi atawarudishia lakini mpaka leo kagoma kurudi.
 
Dini ya kisasi
Ndio dini gani hiyo?
Au ndio ile ambayo kiongozi wao yuko njiani kubaliki ndoa za jinsia moja?

Ewe mvaa kichupi pale msalabani, rudi uokoe kondooo hii, inakufa kwa kukosa nyasi huku.
 
India wanaupiga vita sana uislamu kwa sababu uislamu ni dini iliyojaa ubinafsi na kujiona bora,kila penye uislam kuna chuki na ubaguzi dhidi ya wasio waislamu zaidi kulazimisha jamii ifuate mila na tamaduni za kiislamu. Ndio mana wahidi na wachina wameukaata usilamu na wanaupiga marufuku.

Uislamu ubaki na waarabu tu ni dini ya hovyo kweli kweli.
Hata Yesu alikuwa muislam
 
Back
Top Bottom