Ugaidi kisa mabikira 72Naam, umeniita? Tatizo nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugaidi kisa mabikira 72Naam, umeniita? Tatizo nini?
Wewe ni uzao wa magaidi. Ngoja kwanza mteketee kwenye mahandaki kisha tunawafuata nyie magaidi wa Tabata KimangaInna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.
, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.
Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?
Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Kuna mahali ameeleza kuwa waliuwawa tangu siku ya kwanza na miili ikachukuliwa na HamasKwamba mateka wamekufa mikononi kwa Hamas wewe umejuaje?
Nilishawaambia huyu alikufa kitambo kama mwenzie kwa mtindo wa mlipuko .
Sasa mollel kakosa nini kwenye freedom fighting yao hadi wamuue kijana mdogo wa kitanzania
Inasemekana ni degree holder pale SUA.Naona hawa vijana wetu walitumwa kufanya kazi nyingine huko Israel, yaani kweli ameenda kufuga ng'ombe wa maziwa?
Inaumiza sana.
Hiyo wizara ya nje nayo ina tatizo, inaruhusu tena mzazi kwenda kufuatilia mwili wa mwanae, wizara inafanya nini.
Israel kuna kilimo na ufugaji wa kisasa wa teknolojia ya hali ya juu.Naona hawa vijana wetu walitumwa kufanya kazi nyingine huko Israel, yaani kweli ameenda kufuga ng'ombe wa maziwa?
Inaumiza sana.
Hiyo wizara ya nje nayo ina tatizo, inaruhusu tena mzazi kwenda kufuatilia mwili wa mwanae, wizara inafanya nini.
Umesoma ?Kuna mahali ameeleza kuwa waliuwawa tangu siku ya kwanza na miili ikachukuliwa na Hamas
Shule ulienda kusomea ujinga?Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.
, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.
Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?
Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Kuna mahali ameeleza kuwa waliuwawa tangu siku ya kwanza na miili ikachukuliwa na Hamas
Kuna ndugu huku huwaambii kitu kuhusu taifa teule,,, hata wakiambiwa kunawaka moto huko wataenda tuInna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.
, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.
Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?
Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Freedom fighter wanaua wasio na hatia. Hayo ni magaidi kama IS tu.
Naomba nikazie from the river to the sea Palestine will be freeHalafu utamsikia mtanzania wa Ilala, anasema from the sea to the river au free palestine.
Daa nimeumia sana halafu kuna mabwabwa yanashabikia mabwana wao HamasTal Chaimi, mkazi wa Kibbutz Nir Yitzhak , na Joshua Luito Mollel, mkazi wa Kibbutz Nahal Oz , waliuawa wakati wakishikiliwa mateka na Hamas katika Ukanda wa Gaza.
Miili yao yote miwili bado inashikiliwa na Hamas.
Chaimi aliaminika kutekwa nyara lakini, ushahidi mpya ulionyesha aliuawa Oktoba 7 na mwili wake ulichukuliwa na Hamas hadi Gaza.
Chaimi alikuwa sehemu ya kikosi cha dharura ambacho kilitumwa kusimamisha shambulio la Hamas hadi waweze kuongezewa nguvu.
Chaimi aliondoka asubuhi hiyo baada ya kubainika kuwa Hamas wamejipenyeza Israel na kuwaacha mkewe na watoto nyumbani.
Waliporejea kikosini, Chaimi hakuwa miongoni mwao. Kikosi hakikuweza kumwambia mkewe mahali alipokuwa.
Chaimi alikuwa mkazi wa kizazi cha tatu wa Nir Yitzhak na mzao wa waanzilishi wake. Ameacha mke na watoto watatu.
Kumbukumbu yao iwe baraka
Mollel mwanafunzi wa Kitanzania wa kilimo alikuwa amewasili Israel wiki mbili tu kabla ya Mauaji ya Oktoba 7.
Mollel alikuwa akifanya kazi huko Nahal Oz kama mfugaji wa ng'ombe wa maziwa na alikuwa kazini siku ya mauaji hayo.
Baba yake alijulishwa usiku wa kuamkia leo juu ya hatma ya mtoto wake, inasemekana haamini na ameuliza chanzo cha habari hiyo.
Babake Mollel anawasili Israel usiku huu akiandamana na wawakilishi wa wizara ya mambo ya nje, kwa mujibu wa Kituo cha Wahamiaji na Wakimbizi.
===
Sijui wanataka walipwe nini ili waachie mwili ultwe Afrika na kuzikwa walipozikwa mababu zake....
![]()
Chanzo:![]()
Two hostages confirmed dead, bodies held by Hamas
Tal Chaimi and Joshua Luito Mollel were murdered while being held hostage by Hamas in the Gaza Strip.www.jpost.com
Wewe bibi hamnazo kabisa!Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Naam, jibu swali langu hapo?Hii ni comment ya bibi FaizaFoxy akifurahia hili suala la kijana wetu kufarikiView attachment 2841996
Huo ndiyo ukweli, tusilete unafiki.Wewe bibi hamnazo kabisa!
Waende tu, wasije kuja kulia lia humu.Kuna ndugu huku huwaambii kitu kuhusu taifa teule,,, hata wakiambiwa kunawaka moto huko wataenda tu