Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.

, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.

Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?

Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Wewe ni uzao wa magaidi. Ngoja kwanza mteketee kwenye mahandaki kisha tunawafuata nyie magaidi wa Tabata Kimanga
 
Kwamba mateka wamekufa mikononi kwa Hamas wewe umejuaje?

Nilishawaambia huyu alikufa kitambo kama mwenzie kwa mtindo wa mlipuko .
Kuna mahali ameeleza kuwa waliuwawa tangu siku ya kwanza na miili ikachukuliwa na Hamas
 
Naona hawa vijana wetu walitumwa kufanya kazi nyingine huko Israel, yaani kweli ameenda kufuga ng'ombe wa maziwa?

Inaumiza sana.

Hiyo wizara ya nje nayo ina tatizo, inaruhusu tena mzazi kwenda kufuatilia mwili wa mwanae, wizara inafanya nini.
Inasemekana ni degree holder pale SUA.
 
Naona hawa vijana wetu walitumwa kufanya kazi nyingine huko Israel, yaani kweli ameenda kufuga ng'ombe wa maziwa?

Inaumiza sana.

Hiyo wizara ya nje nayo ina tatizo, inaruhusu tena mzazi kwenda kufuatilia mwili wa mwanae, wizara inafanya nini.
Israel kuna kilimo na ufugaji wa kisasa wa teknolojia ya hali ya juu.
Wengi tu wanaenda kujifunza hayo mambo hakuna Jambo la Siri nyuma ya pazia.
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.

, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.

Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?

Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Shule ulienda kusomea ujinga?
 
Kuna mahali ameeleza kuwa waliuwawa tangu siku ya kwanza na miili ikachukuliwa na Hamas
Screenshot_20231214-084515.png



Una elimu ila hutaki kuitumia ,soma kwanza then utoe maoni..

Hao ndugu zako wa migombani wote wameuliwa na Israel huu ndio ukweli mchungu.

Maiti ya kwanza waliipataje ? Maiti hii wamejuaje ? Kama kweli wana access na yanayoendelea kwa mateka kwa nn wasiende kuokoa kama tunavyoambiwa .

Short and clear ndugu zako wameuliwa na Israel ,yule mmoja alikuwa mtu kushinda naa rosari shingoni lazima israel wamlambe.
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.

, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.

Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?

Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Kuna ndugu huku huwaambii kitu kuhusu taifa teule,,, hata wakiambiwa kunawaka moto huko wataenda tu
 
Tal Chaimi, mkazi wa Kibbutz Nir Yitzhak , na Joshua Luito Mollel, mkazi wa Kibbutz Nahal Oz , waliuawa wakati wakishikiliwa mateka na Hamas katika Ukanda wa Gaza.

Miili yao yote miwili bado inashikiliwa na Hamas.

Chaimi aliaminika kutekwa nyara lakini, ushahidi mpya ulionyesha aliuawa Oktoba 7 na mwili wake ulichukuliwa na Hamas hadi Gaza.

Chaimi alikuwa sehemu ya kikosi cha dharura ambacho kilitumwa kusimamisha shambulio la Hamas hadi waweze kuongezewa nguvu.

Chaimi aliondoka asubuhi hiyo baada ya kubainika kuwa Hamas wamejipenyeza Israel na kuwaacha mkewe na watoto nyumbani.

Waliporejea kikosini, Chaimi hakuwa miongoni mwao. Kikosi hakikuweza kumwambia mkewe mahali alipokuwa.

Chaimi alikuwa mkazi wa kizazi cha tatu wa Nir Yitzhak na mzao wa waanzilishi wake. Ameacha mke na watoto watatu.

Kumbukumbu yao iwe baraka​

Mollel mwanafunzi wa Kitanzania wa kilimo alikuwa amewasili Israel wiki mbili tu kabla ya Mauaji ya Oktoba 7.

Mollel alikuwa akifanya kazi huko Nahal Oz kama mfugaji wa ng'ombe wa maziwa na alikuwa kazini siku ya mauaji hayo.

Baba yake alijulishwa usiku wa kuamkia leo juu ya hatma ya mtoto wake, inasemekana haamini na ameuliza chanzo cha habari hiyo.

Babake Mollel anawasili Israel usiku huu akiandamana na wawakilishi wa wizara ya mambo ya nje, kwa mujibu wa Kituo cha Wahamiaji na Wakimbizi.

===

Sijui wanataka walipwe nini ili waachie mwili ultwe Afrika na kuzikwa walipozikwa mababu zake....

 Tal Chaimi and Joshua Luito Mollel, both murdered on October 7, their bodies remain in Hamas captivity. (photo credit: Bring Them Home Now)



Chanzo:
Daa nimeumia sana halafu kuna mabwabwa yanashabikia mabwana wao Hamas
 
Wewe bibi hamnazo kabisa!
Huo ndiyo ukweli, tusilete unafiki.

Kijana kama kafa tunasema Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun, awekwe popote na muumba wake anapostahiki.

Sasa tujiulize maswali ya msingi, kwanini vijana wanapelekwa nchi ipo vitani kwa miaka 75 sasa?

Chuo alichopelekwa ksusoma kiko wapi mpaka aishie Ghaza?

Tusilete ushabiki wa kijinga.
 
Back
Top Bottom