Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Muhuni hata umfiche ndani ya chupa...... atachomoza tu....Vumbi kama vumbi au vumbi pendwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhuni hata umfiche ndani ya chupa...... atachomoza tu....Vumbi kama vumbi au vumbi pendwa?
Wewe sema ulikuwa Tunduma tu inatosha.Zambia naweza kukubali mwaka jana nilikua Nakonde vumbi lipo japo sijajua huko mbele.
Mwulize mchepuko wako Mama J anajua ninapoishi.Dar hamna vumbi,
labda Kama unaishi bonyokwa[emoji28]
Mbeya Jiji saizi vumbi limepungua kidogoHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
[emoji23][emoji23][emoji23] mkoa wa Ruvuma wote ni vumbi tupuuOngezea na Namtumbo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karatu haijaifikia Kibondo, Kasulu na Songea. 🫢
Kwao wilbrod slaa huko au kumbukumbu zng hazko sawa?Yaani niliposoma kichwa cha habari nikawaza Karatu na ndio ya kwanza aloooo kule kuna powder ya vumbi yaani vumbi jepesiiii sio mchezo
Ndio ipo hapo kwenye kasuluMleta mada unaijua KAZURAMIMBA KIGOMA kwanza?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aloo sio mchezo karatu baba lao. Nilienda msibani kurudi wife anauliza kwani walikugeuza maksai nn maana nguo zinachafuka vumbi la maana. Lile vumbi la karatu unaweza ombea hata mkopo bank.
Walau siku hz kuna lamihiyo sehemu ni hatari sana, hiyo barabara ya kutoka nyakanazi to kasulu
Si ndio hiyo kasulu na kibondo, wilaya zingine zina unafuuUnashangaza sana. Unaijua KIGOMA?
Hakuna vumbi paleIgunga umesahau
Hayo maeneo hayana vumbi kbs.Bila kuwepo simiyu na Shinyanga huu ni uchochezi
Nimeishi huko...Asee kiangazi vumbi la maana, masika tope ka uji wa jela.Kasulu ni hatari. Ile vumbi sio mchezo