Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Umefika Kenya na Zambia? Huko ndo makao makuu ya vumbi. Ukiwa unaenda Nairobi kuna mji unaitwa Kitengela nadhani vumbi la pale ni la mafinga jumlisha Makambako
Zambia naweza kukubali mwaka jana nilikua Nakonde vumbi lipo japo sijajua huko mbele.
 
Zambia naweza kukubali mwaka jana nilikua Nakonde vumbi lipo japo sijajua huko mbele.
Huko mbele ndo balaa sasa... kuna sehemu inaitwa Mpika ni hatari ya kifo kwa vumbi. Hata Lusaka kwenyewe vumbi la kutosha.. hii picha ni Lusaka nje kdg ya mji kama vile Mbezi ya Kimara.
FB_IMG_1693557933324.jpg
 
Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.

1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Manyoni
Singida
Makambako
Mbeya
Gairo
Igawa
Mbarali
Ubaruku
Same
Hedaru
 
Hivi ile barabara kuelekea hotel inayomilikiwa na VETA ilishawekwa rami. Maana ilikua inatoa vumbi sio mchezo
Mwenyeji wetu Arusha alitupeleka Morombo kula nyama kipindi cha mvua,sina hamu kabisa na nyama za huko,nikapata na tumbo la kuhara huko.
 
Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.

1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Zote ni ngome za ccm
 
Vumbi jekundu Kama la songea jau Sana. Nguo nyeupe kule hazivaliki. 🙌🙌
 
Aloo sio mchezo karatu baba lao. Nilienda msibani kurudi wife anauliza kwani walikugeuza maksai nn maana nguo zinachafuka vumbi la maana. Lile vumbi la karatu unaweza ombea hata mkopo bank.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom