Kabuki.Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Chadema waibe alafu serekali iwaangalie kadanganye unaowadanganyaMwizi hana chama,hapo Tunduma Chadema Wakiongoza Halmashauri Kwa miaka 10 Uliza walichofanya Cha maana zaidi ya wizi wa hela
Baraza la Madiwani linakuwa linaongozwa na Serikali? Unajua wizi wa kimgumo unavyofanyika au unapayuka tuu? Lema hana kashfa za Wizara hapo Halmashauri ya Arusha alizokiwa anazitoa Gambo?Chadema waibe alafu serekali iwaangalie kadanganye unaowadanganya
Sheria ni kali sana linapokuja swala la chadema
Kwenye almashauri anaekaa na ela ni mkurugenzi ambao wengi wao ni madiwan ndo wanaompangia jinsi ya kutumia ila anayekaa na hela ni mkurugenzi
We ndo unayepayuka ela zinapitishwa na madiwani mna mkurugenzi akiwepo ambaye ndo custodian wa helaBaraza la Madiwani linakuwa linaongozwa na Serikali? Unajua wizi wa kimgumo unavyofanyika au unapayuka tuu? Lema hana kashfa za Wizara hapo Halmashauri ya Arusha alizokiwa anazitoa Gambo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inshort Dom yote Ina vumbi maaana mmezrurua karibu kote hakuna unafuu kwenye vumbi huu mkoa ni kisanga [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Nguo nyeusi ndo haifai kabisa kudadeki nafuu yake ukifua inatakataUshawahi kuvaa nguo nyeusi kwenye vumbi mzee?au umeweka hiyo rangi kuchangamsha kijiwe?
Madiwani wote walikuwa Chadema ,mkifanya kipi Cha maana? Mkiwa na mbunge wa Chadema SilindeWe ndo unayepayuka ela zinapitishwa na madiwani mna mkurugenzi akiwepo ambaye ndo custodian wa hela
Lema hana kashafa yeyote na kama angekua nayo asingeendelea kubaki salama
Ntajie hio kashfa ya lema akiwa mbunge nakusubiria pale
Kule kabwe nyuma ya soko la mpunga kuna vumbi fulani baya kishenzi.Kama Mbeya pana vumbi la kawaida basi kumbe Kuna sehemu Zina vumbi.
Vumbi la Mbeya linavyonikera,msinambie Kuna sehemu Kuna vumbi zaidi ya hili!
Mwezi August nilikua Njombe na Mbeya ..lini umepita hii miji
Kuna siku ulitokea msiba uyole kwenye ile kambi ya suma jkt kuna njia kulia unachepuka nikaenda na jamaa yangu alooooo ilikua noma mpaka tumefika ile reli miguu yote vumbi...baada ya hapo tukaenda kuzika karibu na ule mlima wa chunya oyaaaaaa[emoji119][emoji119]Vumbi la Mbeya na ule upepo hapana kwakweli
Sidhani aisee...Mbeya bajaji zipo kila sehemu ndo maana migomo ya daladala haikauki.Nilikuja boss najua uko town ndo mana nimechuna, vumbi mi jingi na ule upepo mkali na vile vibajaji ndo kabisa,hivi kuna mkoa una bajaji nyingi kama Mbeya?
Lakini nakukumbusha serikali ya CCM imeshasema sehemu yenye wapinzani hawapeleki maendeleo.Madiwani wote walikuwa Chadema ,mkifanya kipi Cha maana? Mkiwa na mbunge wa Chadema Silinde
Alisema Jiwe sio SamiaLakini nakukumbusha serikali ya CCM imeshasema sehemu yenye wapinzani hawapeleki maendeleo.
We utakuwa wa rukaragataBiharamulo mji wenye utajiri wa vumbi,,,,,maelezo hayo niliyaona mtandaoni.x
🤣🤣🤣🤣🙌Nimeiacha Uyole yenu na vumbi lenu loo, hata uvae safety gogoz inapenya mpaka iingie
Sema pwani 90% ni mchanga.Dsm huku kuna kichanga
Nasikia mnajengewa four lane kuanzia Igawa mpaka Tunduma, hongereni, labda fujo za bajaji zitapungua.🤣🤣🤣🤣🙌
🤣Ndo ivoNasikia mnajengewa four lane kuanzia Igawa mpaka Tunduma, hongereni, labda fujo za bajaji zitapungua.
ndo mtaanza kuitwa jiji sasa.🤣Ndo ivo
Samia anaongoza serikali ya chama gani?Alisema Jiwe sio Samia