Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Bila kusahau TunduruOrodha bila Mbinga kuna ubadhirifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau TunduruOrodha bila Mbinga kuna ubadhirifu
😂😂 Mkoa mingine haifai,unapauka mpaka ulimiKila siku nikipita Kariakoo nilikuwa najiuliza WAHA zile tabia wanatoa wapi, baada ya kufika kibondo nikapata majibu....
Vumbi limeingia hadi kwenye ubongo na kutengeneza kichuguuu, hata umwambie kitu hawezi kukuelewa atabisha tu..
pigia msumari ngaramtoni,kisongo nadosoito,ilkrot yaani wenye uafadhali ni sekei,kwa ngulelo,usa,moshono,njiro,sakina na kijenge hawa wengine hali ni mbaya sana hasa ngaramatoniKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
😂😂😂😂😂😂 kama unazungumizia barabara kwenda mirongoine huko ni jehanamu ya vumbiHivi ile barabara kuelekea hotel inayomilikiwa na VETA ilishawekwa rami. Maana ilikua inatoa vumbi sio mchezo
NgaraHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. BOMANG'OMBE, Hai
4. SONGEA
5 TUNDUMA
6. ORKESMET, Simanjiro.
7. DODOMA
8. MERERANI
9. KIBONDO
10. MTO WA MBU
+ Upepo mkaliOrodha hii bila Makambako ni batili
hii ni wapi
Mara ya mwisho kwenda makongo ni lini?Nashangaa umepasahau makongo dsm
Umesahau 'milogoine'pigia msumari ngaramtoni,kisongo nadosoito,ilkrot yaani wenye uafadhali ni sekei,kwa ngulelo,usa,moshono,njiro,sakina na kijenge hawa wengine hali ni mbaya sana hasa ngaramatoni
Nadosoito kuna mawemawe mengi sana plus vumbi.pigia msumari ngaramtoni,kisongo nadosoito,ilkrot yaani wenye uafadhali ni sekei,kwa ngulelo,usa,moshono,njiro,sakina na kijenge hawa wengine hali ni mbaya sana hasa ngaramatoni
Kibondo na Tunduma zibadilishane nafasi.Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. BOMANG'OMBE, Hai
4. SONGEA
5 TUNDUMA
6. ORKESMET, Simanjiro.
7. DODOMA
8. MERERANI
9. KIBONDO
10. MTO WA MBU
Sijui wapi huku,ila uoto unaonyesha kuna neema! Ukiwa na njaa huku umependa tu
Watu wako Dodoma na wanavaa mashati meupe kama theruji.Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU