BEST 001
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 242
- 475
Ngaramtoni wangekua wanacheza vigodoro kma magomeni sjui mngekuaje machalii wa ngaraKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngaramtoni wangekua wanacheza vigodoro kma magomeni sjui mngekuaje machalii wa ngaraKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
The most wanted and expensive dust in Africa.Vumbi la DRC
Hii list bila Mbeya ni batiliHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. BOMANG'OMBE, Hai
4. SONGEA
5 TUNDUMA
6. ORKESMET, Simanjiro.
7. DODOMA
8. MERERANI
9. KIBONDO
10. MTO WA MBU
Vumbi la Arusha nje ya mji ni hatariKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
Wanakuwa kama Defao matumona au ndanda kossovo.watu wa kigoma ni kama wote wamepaka bleach kichwani kumbe vumbi..
NyabulaNiliendaga Nyololo uaingia kushoto ukiwa unatoka Dar nikaenda kijiji kinaitwa Igohole ***** tumefika nguo zote vumbi mpaka nywele.
Kila siku nikipita Kariakoo nilikuwa najiuliza WAHA zile tabia wanatoa wapi, baada ya kufika kibondo nikapata majibu....ivu huko kasulu wanaishi watu kwel?😂😂😂😂
Kmmake wallahKibondo na Kasulu, ukitembea sana unaanza kucheua vumbi.....
Yes Dom kila mahala lamiNasikia Dodoma kila sehemu wametandaza lami kwa hio hakuna vumbi kabisa
Yeah, linaitwa ngunja kule. Tena huo msamiati upo karibu kusini yote, mpaka kilwa huwa wanaita hivyo!Umenikumbusha neno Ngunja
Utakamatwa wewe ung'olewew kucha bila ganzi, shauri yako, unasema ukweli ambao serikali hautaki?😂😂😂
Inatoa aibu sana serikali yetu inayodai kazi iendelee haifanyi lolote kuondoa haya...
Watakusikia wenzako, urudi ndani ya Mwezi Moja utuambie vumbi sio tatizo tena hayo maeneo umetaja na mengineyo
Pole, Kibondo wenyewe wanasema hawataki maendeleo kwani siku zote walikuwa wanaishije? Waha kwa ubishi kwa kweli hawajambo, yaani wanawazidi wanyamwezi na waluguru kwa ubishi wa kijinga, Muha haoni hasara kutembea kilomita 100 na kulisusa basi kisa limechelewa kufika kituoni muda uliokadiriwa.Kibondo aisee, nilikosa basi nikapandishwa nyuma kwenye boot ya probox aisee kufika nyakanazi ilibidi tu nisitishe safari Kwanza nichukue guest niende kununua pamba mpya kwanza
Bila Mvumi na Kongwa hii orodha Nina mashaka nayo....Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. BOMANG'OMBE, Hai
4. SONGEA
5 TUNDUMA
6. ORKESMET, Simanjiro.
7. DODOMA
8. MERERANI
9. KIBONDO
10. MTO WA MBU