Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Kinachoshangaza mkoa wa kigoma kuna viongozi wakubwa wametokea kule hivi wameshindwa kuupigania ule mkoa zile barabara zikapigwa lami? Imagine kuna vipande vipande kama mkate wa ajemi hapa na hapa lami kidogo vumbi la kwenda inakera sana
 
Karatu msimu wa Mvua Kuna kuwa na tope la Hatari sana, Unashindwa kunyanyua mguu kutoka chini, Haswa hayo maeneo ya CCM , uwanja Mboe Hadi kupandisha Maeneo ya Jublate Mnyenye, NMB, Kwa Lekashu, Kadtuli Hadi Peter Ombay , Crater Rim, upande police na TRA shuka mitaa ya NBC kote ni tope ama Vumbi
Mbon huko afadhali kunasehemu kama FAO na gongali hiyo usipime
 
Back
Top Bottom