Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishangaa sana nilipoona orodha haina nachingwea11. Nachingwea
Kabisa, kule ukitoka chumbani asubuhi inabidi ukung'ute vumbi, ukirudi jioni inabidi ulikung'ute jingine pia.........mwendo ni huo maisha yote, nafuu kidogo kipindi cha masikaNilishangaa sana nilipoona orodha haina nachingwea
Na MATEVESKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
Geita kuelekea GGM kule kuna MAVUMBI YA AJABUOGeita vumbi LA poda lipo sana tu
Kuna lile vumbi la HYDOM Daaaah ni hatareeeee,Hii orodha bila kutaja
Makete, mbulu , geita , lushoto , moduli, bahi , ni ubatili
Geita lile vumbi ni habari nyingine.OGeita vumbi LA poda lipo sana tu
Geita mjini nowdays barabara kadhaa pale mjini kati zimewekwa rami vumbi limepungua kwa kiasi kikubwa.Geita haipo kwenye list??
Morogoro haifiki hata kwenye robo ya Kasulu kigoma.. morogoro nimekaa miaka mwili nimeenda Hadi Ifakara. Lakini Kasulu ipo juu, unakanyaga chini mguu unatitia kwenye vumbi alfu jekundu. Kigoma ni hatari kwakweli..ilibidi nicheke, kweki tembea uone mm kwa akili yangu nikawaza morogoro
Mlowo pia iongezwe kwenye list 😂
nilikua uko 2012 rami ni ile moja tu inayo toka mwanza vumbi kuanzia mwezi wa 7 lilikua lina piga balaaGeita mjini nowdays barabara kadhaa pale mjini kati zimewekwa rami vumbi limepungua kwa kiasi kikubwa.
Nakandamizia hapohapoOrodha hii bila Makambako ni batili
Arusha ipi?Arusha wapewe kombe lao jamani
Mbon huko afadhali kunasehemu kama FAO na gongali hiyo usipimeKaratu msimu wa Mvua Kuna kuwa na tope la Hatari sana, Unashindwa kunyanyua mguu kutoka chini, Haswa hayo maeneo ya CCM , uwanja Mboe Hadi kupandisha Maeneo ya Jublate Mnyenye, NMB, Kwa Lekashu, Kadtuli Hadi Peter Ombay , Crater Rim, upande police na TRA shuka mitaa ya NBC kote ni tope ama Vumbi