Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hovyoooo, mawazo ya karne ya 7 hayaWewe hujui ni taifa pendwa la Mungu ninaye muamini..Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo..na hawa watu wamebarikiwa sana fanya utafiti wako utaligundua hilo..Sayansi ya dunia inawategemea sana na hata katika nyanja ya kijeshi ni hatari sana..Hata taifa tajiri na lenye nguvu duniani-Marekani wanawaheshimu na wanawalinda sana...Na hawa watu kutoka miteremko ya mlima Kilimanjaro kwa maoni yangu nawaona kama watu waliobarikiwa na sina shaka kuwaita Waisraeli wa Tanzania...fanya utafiti wako kwa Tanzania utagundua kitu cha tofauti na baraka nyingi kutoka kwa Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo zinazoambatana na hawa watu.
Hovyoooo, mawazo ya karne ya 7 haya[/QUOTE
Kubali usikubali ndivyo ilivyo na itabakia hivyo daima
Home is the best lazima usifie kwenu hata kama ni kichakanilakini bora hawa wanajisifia lakini vinaoonekana, kuliko wahaya masifa tu kwao hamna kitu, all in all hakuna mahali kama Mbeya MBEYA.........
Dar kuna bahari, dar ni lango la nchi.Ngoja waje wazee wa darisalama
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Hasa hasa wale wa pale lumumba
We utakuwa mbululaa wa unga limitedMimi ni wa Dar es salaam ila sio siri Arusha pazuri sana na napa'miss sana