MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,308
Wivu wa kikeNyie watu wa arusha sijui mtaacha masifa lini?
Kila mahali pamebarikiwa kulingana na mahitaji ya eneo husika
Mkishiba mbege basi mnajiona booora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu wa kikeNyie watu wa arusha sijui mtaacha masifa lini?
Kila mahali pamebarikiwa kulingana na mahitaji ya eneo husika
Mkishiba mbege basi mnajiona booora
Then akarudi zake marekaniAmen..
Will Smith kaja katua KIA then akaenda zake Arusha na Manyara..
Shida ya arusha na moshi kuna uhaya wa hatari kuliko hata uhaya wenyewe wa bk. Arusha na moshi ukiwa na stout ya kubebea nyasi za ng'ombe tu we bilionea. Huko kunaongoza pia kwa sakata la vyeti fake na wizi kwenye maofisi ya umma
Thread ya kitoto hii.Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
![]()
2. Mji wa Arusha...
![]()
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
Huo sasa ni umbea,nimeshasema mimi wa dar es salaam kama hutaki kuamini nenda kafyekefyeke majani Lugalo.Nimezaliwa Muhimbili na nimekulia Tandale kwa mtogole na nimeshasema Arusha pazuri kama hutaki kaandamane peku.We utakuwa mbululaa wa unga limited
Hivi kanda ya ziwa hasa RockCity unapajua vizuri au?Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
![]()
2. Mji wa Arusha...
![]()
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
Hujatembea mkuu! Nenda Rungwe, Mvua, greenish, good climatic condition through out the year! Hata Lushoto. Unless otherwise useme ni aina gani ya baraka unayoizungumziaNazungumzia
1. Mji wa Moshi.
![]()
2. Mji wa Arusha...
![]()
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
Kilimanjaro and Meru...Ni miji miwili tu yenye milima mirefu tanzania na afrika,with healthy climate and weather
ha ha ha haKama wewe ndio mungu mtoa baraka basi tawile
Yote 9, 10 jiji kuu Dar es Salaam!