Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,134
Mtoa Mada Funga Bakuri Plz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha. Naona ulijisahau sana.Ahaa poa mkuu nimekusomaaa ha ha!
Tupia picha ya TaboraMji gani mbaya zaidi hapa Tanzania?
Hongera Kilimanjaro na watu wake!
lakini bora hawa wanajisifia lakini vinaoonekana, kuliko wahaya masifa tu kwao hamna kitu, all in all hakuna mahali kama Mbeya MBEYA.........EEEEEH NILIDHANI HII MISIFA IPO KWA WAHAYA TU KUMBE HATA NYIE
Wewe hujui ni taifa pendwa la Mungu ninaye muamini..Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo..na hawa watu wamebarikiwa sana fanya utafiti wako utaligundua hilo..Sayansi ya dunia inawategemea sana na hata katika nyanja ya kijeshi ni hatari sana..Hata taifa tajiri na lenye nguvu duniani-Marekani wanawaheshimu na wanawalinda sana...Na hawa watu kutoka miteremko ya mlima Kilimanjaro kwa maoni yangu nawaona kama watu waliobarikiwa na sina shaka kuwaita Waisraeli wa Tanzania...fanya utafiti wako kwa Tanzania utagundua kitu cha tofauti na baraka nyingi kutoka kwa Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo zinazoambatana na hawa watu.Akili za kimbwiga hizi, kwani waisrael wamebalikiwa nini kuwazidi watu wengine?
Wewe hujui ni taifa pendwa la Mungu ninaye muamini..Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo..na hawa watu wamebarikiwa sana fanya utafiti wako utaligundua hilo..Sayansi ya dunia inawategemea sana na hata katika nyanja ya kijeshi ni hatari sana..Hata taifa tajiri na lenye nguvu duniani-Marekani wanawaheshimu na wanawalinda sana...Na hawa watu kutoka miteremko ya mlima Kilimanjaro kwa maoni yangu nawaona kama watu waliobarikiwa na sina shaka kuwaita Waisraeli wa Tanzania...fanya utafiti wako kwa Tanzania utagundua kitu cha tofauti na baraka nyingi kutoka kwa Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo zinazoambatana na hawa watu.
kumbuka hali ya hewa safi ya iringa inachangiwa kwa kiasi kikubwa na misitu inayopandwa na wakazi wa iringa.Iringa bado, napajua Iringa...bado wenyeji hawajapafanyia Iringa kitu!!
Huu sasa ni uchocheziHayo madini hayana faida kama hiyo milima miwili hapo...
Wala hayasogelei.
Hayo madini yataisha mapema zaidi ya hiyo milima.
Afu hiyo kanda ya ziwa imejaa vilaza...
Nguvu nyingi akili kidogo.
Fact!Nadhani ulipitwa na report ya hali ya uchumi ya Tanzania toka BoT, ambapo Arusha na Moshi zilizidiwa na sehemu usizotegemea kwa terms za GDP. Sasa utajiri wa hiyo miji uko wapi? Dar (7.5 trilioni) ikiongoza na kufuatiwa na Mwanza (4.09 trilioni) na Mbeya (3.2 trilioni). Arusha ikiwa chini ya Shinyanga, Iringa na Morogoro.
Dar tops wealth list, Arusha 7th despite tourist charm
patamu kama papuchimoshi patamu sana yaaaan wewe achu tuuu duuuh lkn moshi hhahah patamu sana
Yaan we hiki Kichaa chako n cha mwendo kasi!!Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
![]()
2. Mji wa Arusha...
![]()
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.