Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Hovyoooo, mawazo ya karne ya 7 haya
 
Amen..

Will Smith kaja katua KIA then akaenda zake Arusha na Manyara..
 
Mh acheni utani na mungu nyie,yaani ku typ ammen tu nabarikiwa???
 
Mimi ni wa Dar es salaam ila sio siri Arusha pazuri sana na napa'miss sana
 
Reactions: ywf
Kweli Tanzania nimasikini wa kutupwa !!!!! Angalia miji yenyewe ilivyo chakavu!!! Haiendani na sifa zao kumataifa.Tanzania ninakupenda lakini nina kuhurumia.Unatawaluwa na majambazi na maharamia yamekufanya uchoje vibaya sana kusikoendana na utajari wako wa mali asili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…