luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
hahahaSisi ndio sisi juu juu juu zaidi.hata Sizonje anatujua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaSisi ndio sisi juu juu juu zaidi.hata Sizonje anatujua.
Nyie watu wa arusha sijui mtaacha masifa lini?
Kila mahali pamebarikiwa kulingana na mahitaji ya eneo husika
Mkishiba mbege basi mnajiona booora
Muamba ngomaNazungumzia
1. Mji wa Moshi.
![]()
2. Mji wa Arusha...
![]()
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
mwache aendelee kuchukiaArusha kila rais wa tanzania alikuwa anakwenda kupumzika isipokuwa naskia kuna yule anayechukua watu wa kaskaz amegoma, ila moyoni anaipenda
kwani bhangi na mbege zinaubaya ganiiyaani bora ungesifia kwetu Tanga Raha lakini huku kwa wanywa mbege na wavuta bangi hapafai kabisa, haya majamaa siku hizi yana sifa kuliko hata Wahaya
mkuu achana na huyu mcheza baikokok
kwani bhangi na mbege zinaubaya ganii
Iringa & njombe ni zaidi tena kule mbegu zakr ni kiungo cha mboga!!Upuuuzi mtupu....vipi zao la bangi aka cha arusha mmeshaacha kulima au.?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Iringa & njombe ni zaidi tena kule mbegu zakr ni kiungo cha mboga!!