Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Naomba mwenye kujua miji miwili iliyolaaniwa zaidi na Mungu Tanzania anitajie tafadhali
 
Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
f83839974e390f98ec071d3db7eca479.jpg


2. Mji wa Arusha...
4f98f6283005ad04e5aaf0a620a5796d.jpg


I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.

Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
sasa kama moshi mbona wenyeji wote wamekimbilia mikoa mingine kutafuta baraka mkuu?si wangebaki tu hapo.........NB unaongea na mchaga wa Rombo mashati.
 
Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
f83839974e390f98ec071d3db7eca479.jpg


2. Mji wa Arusha...
4f98f6283005ad04e5aaf0a620a5796d.jpg


I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.

Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
Shinyanga na Geita iko Rwanda siyo?
 
Moja kati ya maajabu saba ya dunia utapata Arusha wazungu na mbwembwe zao zao zote lazima watue chugamaica wapi joseverest mmoja kati ya macomrade kutoka chugah.
 
Back
Top Bottom