nkasoukumu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 894
- 412
Wangine hawarudi wala kujenga kwao kwani wanahofia kurogwa na pia hakufikiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaiingizia nchi Sh. Ngapi?Km milima mbona hata kwetu kigoma ipo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah hizo habari za kutype sijui nini peleka facebook...
Unazungumzia Dar ya bashite?.Nyie sifieni ivyo vijiji vyenu, Msisahau kwamba Tanzania ni Dar es salaam
Waje wa comment Amen...wabarikiwe na waoWangine hawarudi wala kujenga kwao kwani wanahofia kurogwa na pia hakufikiki
We ndio umeongea pointNyie sifieni ivyo vijiji vyenu, Msisahau kwamba Tanzania ni Dar es salaam
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Hiyo Dar iko hivyo kwasababu ya wabarikiwa kutoka miji niliyoitaja.
Kwani kuna dar nyingine ukiacha hiyo ya bashite?!Unazungumzia Dar ya bashite?.
Uko sawa kumebarikiwa kila kitu, pia kwangu iringa napaona pazuri flani hiviSijasahau.
Huwezi kuilinganisha na miji tajwa hapo juu kabisa.
Hakuna wazee wa darisalama, wote ni wa kuja, wengine walileta kuku, ng'ombe au masomo yaliwaleta hatimaye wakaloea, wazaliwa ni wachache mno wengi tulikuja tu.Ngoja waje wazee wa darisalama
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Hasa hasa wale wa pale lumumba
Comment Amen.Kwetu pazuri nimeshapakumbuka.. [emoji445] [emoji444] [emoji443]
Hii Dar ni yao pia.Hakuna wazee wa darisalama, wote ni wa kuja, wengine walileta kuku, ng'ombe au masomo yaliwaleta hatimaye wakaloea, wazaliwa ni wachache mno wengi tulikuja tu.
Wazaramo nao tumewasukukuma kwenda kibaha, mkuranga, bagamoyo na kisarawe hadi chole.
Arusha na moshi wapo wazawa na wamebarikiwa hali ya hewa, ardhi, mazingira hadi makazi bora
Iringa bado, napajua Iringa...bado wenyeji hawajapafanyia Iringa kitu!!Uko sawa kumebarikiwa kila kitu, pia kwangu iringa napaona pazuri flani hivi
UKIMWI upo kila mahali... By the way mji kua mzuri na UKIMWI kuna mahusiano gani!?!?Msingepigwa kwa UKIMWI
Ndivyo mnavyodanganyana huko vijijini kwenu?Hiyo Dar iko hivyo kwasababu ya wabarikiwa kutoka miji niliyoitaja.
Ki hali ya hewa ila in terms of development pana safari ndefuIringa bado, napajua Iringa...bado wenyeji hawajapafanyia Iringa kitu!!
Mbwahaaaa haaaaa mbwahaaaaDah hizo habari za kutype sijui nini peleka facebook...