Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Hakuna wazee wa darisalama, wote ni wa kuja, wengine walileta kuku, ng'ombe au masomo yaliwaleta hatimaye wakaloea, wazaliwa ni wachache mno wengi tulikuja tu.
Wazaramo nao tumewasukukuma kwenda kibaha, mkuranga, bagamoyo na kisarawe hadi chole.
Arusha na moshi wapo wazawa na wamebarikiwa hali ya hewa, ardhi, mazingira hadi makazi bora
Vijana wa mikoani mnapenda kujipendekeza ili muonekane wa mjini. Dar na Pwani ndio mikoa iliyobarikiwa ndio maana mnaona wivu ikitajwa wenyeji wa Dar/Pwani wazaramo/wandengereko. Mkimbizi wa Burundi kamwe hawezi kuwa raia wa TZ.
Soon mtasema na Mwanza kwa wasukuma kwenu. BTW Wazee/wenyeji wa Dar wapo wengi haichukui hata masaa ku-notice ingawa hawapigi kilugha kama watu wa vijijini.
Kubalini na mjivunie kwenu.
 
Hakuna wazee wa darisalama, wote ni wa kuja, wengine walileta kuku, ng'ombe au masomo yaliwaleta hatimaye wakaloea, wazaliwa ni wachache mno wengi tulikuja tu.
Wazaramo nao tumewasukukuma kwenda kibaha, mkuranga, bagamoyo na kisarawe hadi chole.
Arusha na moshi wapo wazawa na wamebarikiwa hali ya hewa, ardhi, mazingira hadi makazi bora
Vijana wa mikoani mnapenda kujipendekeza ili muonekane wa mjini. Dar na Pwani ndio mikoa iliyobarikiwa ndio maana mnaona wivu ikitajwa wenyeji wa Dar/Pwani wazaramo/wandengereko. Mkimbizi wa Burundi kamwe hawezi kuwa raia wa TZ.
Soon mtasema na Mwanza kwa wasukuma kwenu. BTW Wazee/wenyeji wa Dar wapo wengi haichukui hata masaa ku-notice ingawa hawapigi kilugha kama watu wa vijijini.
Kubalini na mjivunie kwenu.
Na hakuna effect yoyote mkienda kutambika kwenu Desemba.

Hii Dar ni yao pia.
Ukitaka kupima hili subiria December nitakukumbusha.
 
Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
f83839974e390f98ec071d3db7eca479.jpg


2. Mji wa Arusha...
4f98f6283005ad04e5aaf0a620a5796d.jpg


I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.

Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
Amen
 
Hakuna wazee wa darisalama, wote ni wa kuja, wengine walileta kuku, ng'ombe au masomo yaliwaleta hatimaye wakaloea, wazaliwa ni wachache mno wengi tulikuja tu.
Wazaramo nao tumewasukukuma kwenda kibaha, mkuranga, bagamoyo na kisarawe hadi chole.
Arusha na moshi wapo wazawa na wamebarikiwa hali ya hewa, ardhi, mazingira hadi makazi bora
Haswaaa shemelaaa
 
Iringa ipi? wekeni utaratibu wa tohara vizuri kwanza...
Mungu hawezi kubariki kisichotahiriwa.
Kweli sasa nimeanza kumuelewa Nyerere kwanini kuna baadhi ya watu mikoa flani hawatakiwi kuongoza nchi
 
Back
Top Bottom