- Thread starter
- #101
Mawazo yangu ni beyond hali ya hewa...Kiangazi hata moshi, arusha na iringa pia hapavutii mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo yangu ni beyond hali ya hewa...Kiangazi hata moshi, arusha na iringa pia hapavutii mkuu
Umeona sasa...akili ya Watabora hiiTABORA WAKUU ZANGU UNAPATA MADEMU WA KIARABU WAKO BOMBA KINYAMA
Unawaza chini tu!!!TABORA WAKUU ZANGU UNAPATA MADEMU WA KIARABU WAKO BOMBA KINYAMA
Hahahaaaa uhaziri na disco la mwanaisunguTABORA WAKUU ZANGU UNAPATA MADEMU WA KIARABU WAKO BOMBA KINYAMA
Tabora wamebarikiwa sana..... siyo hii miji ya kichaga..... Wazee wa sarakasi[emoji23] [emoji23]TABORA WAKUU ZANGU UNAPATA MADEMU WA KIARABU WAKO BOMBA KINYAMA
[emoji23]Na Mbeya hakuna kiashiria alama yoyote yakudhibitisha kubarikiwa ni mji uliowahi kukumbwa na matatizo ya uchuna ngozi.
Hauna wenyeji wajanja.
Endeleeni kupata mademuTABORA WAKUU ZANGU UNAPATA MADEMU WA KIARABU WAKO BOMBA KINYAMA
Haaa...haaa we jamaa umeua uzi unachekesha saaaaanUmeona sasa...akili ya Watabora hii
Yeye anawaza wanawake tu...Haaa...haaa we jamaa umeua uzi unachekesha saaaaan
Kolozirokolomije ? mbona mnadharau miji ya wenzenu?
Tatizo wenyeji wa Tanga kichwani ni emptyMi sijui labda ya Baraka za Mungu! Nadhani wengi pia hatuzijui ndo maana tunajazana hata kwa wafuasi fake wa Yesu, eti watuombee tubarikiwe.
Sasa nini maana ya baraka hapa, wengine wasema ukimwi wa mahali, Nyumba nk nazo ni Baraka au viashiria vya kukosa Baraka hivi.
Sitaji mji wala Baraka, nataja Mkoa na uliojaliwa zaidi kuliko yote Tanzania, nao ni Tanga pekee, wanalima mazao yote yalimwao Tanzania, wana Bandari, mito mikubwa, population ndogo, eneo kubwa, watu wakarimu, warembo wenye furaha pasi misongo ya mawazo.
Mbuga, madini, na vivutio vingine vya utalii. Mi si mkazi, wala mzaliwa wa Tanga. Tanga inajitosheleza sana.
Ni kweli...Dar na Moro.....pia, wamebarikiwa
Ila wagosi wamejaa mjini darisalama wanakaanga chipsi.. Tanga waja leo waondoka leo" means no 1 want to stay thereMi sijui labda maana ya Baraka za Mungu! Nadhani wengi pia hatuzijui ndo maana tunajazana hata kwa wafuasi fake wa Yesu, eti watuombee tubarikiwe.
Sasa nini maana ya baraka hapa, wengine wasema ukimwi wa mahali, Nyumba nk nazo ni Baraka au viashiria vya kukosa Baraka.
Sitaji mji wala Baraka, nataja Mkoa na uliojaliwa zaidi kuliko yote Tanzania, nao ni Tanga pekee, wanalima mazao yote yalimwao Tanzania, wana Bandari, mito mikubwa, population ndogo, eneo kubwa, watu wakarimu, warembo wenye furaha pasi misongo ya mawazo.
Mbuga, madini, na vivutio vingine vya utalii. Mi si mkazi, wala mzaliwa wa Tanga. Tanga inajitosheleza sana.