Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Mi Niko arusha nimezaliwa hapa kati ya hizi miji moshi arusha. Lakini upande wangu mi ninabarikiwa napata raha zaidi nikiwa mwanza pale, hata sasa natamani kukaa pale fukwe za tilapia napamis sana. Mji mwingine naopenda ni mbeya na iringa
 
Tatizo wenyeji wa Tanga kichwani ni empty
Ila siku watakapojitambua, lazima ikimbize East Afrika, Tanga kuna Arusha na Mbeya, Lushoto, kuna Kilombero, Pangani, kuna Lindi na Pwani Handeni, wamejaaliwa saaana hawa watu. Wanalima kuanzia mkonge, pamba, mbogamboga, maua, miwa, mpunga nk.
 
Ila siku watakapojitambua, lazima ikimbize East Afrika, Tanga kuna Arusha na Mbeya, Lushoto, kuna Kilombero, Pangani, kuna Lindi na Pwani Handeni, wamejaaliwa saaana hawa watu. Wanalima kuanzia mkonge, pamba, mbogamboga, maua, miwa, mpunga nk.
Very late now...
 
Kanda ya ziwa mbona imebarikiwa zaidi ukiacha ziwa pia ardhi yake yote ina madini aina mbali mbali tofauti?
Hayo madini hayana faida kama hiyo milima miwili hapo...
Wala hayasogelei.
Hayo madini yataisha mapema zaidi ya hiyo milima.

Afu hiyo kanda ya ziwa imejaa vilaza...
Nguvu nyingi akili kidogo.
 
Ila wagosi wamejaa mjini darisalama wanakaanga chipsi.. Tanga waja leo waondoka leo" means no 1 want to stay there
Ivi najiulizaga chipsi akikaanga mchaga Lazima apate maendeleo lakini ndugu zetu watu wa Tanga, Pamoja na kufanya kazi iyo kwa muda mrefu lakini awana maendeleo
Amkeni ndugu zangu wagosi
Mnabaki kusema wahaya Malaya kumbe nyinyi kwa kuonga chipsi amjambo
 
Ni kweli...
Ila ni kupitia watu waliozaliwa kwenye hizo ardhi mbili nilizozitaja hapo juu
Wewe, Moro ipo kabla ya Moshi na Arusha, karne nyingi hata kabla ya wazungu kuja wakati huo labda Arusha wako maporini. Ukiitwa kwa jina la Simba Mwene.

Kipindi cha Mjerumani na Mwingereza, Tanga na Moro ndo ilikuwa Dar zao aka miji ya viwanda, hapo utalii sio dili na madini ni Ulanga. Ibarikiwe toka watu wa kaskazini? Wapi na wapi?
 
Chama pinzani, kinatoka miji hiyo. Hongereni

Hata PASCO nae ameanza kubadilika tumaini pekee kwa tundu lissu

Nae nasikia amebadilikia kwa
sepetu
Udini, ukabila,

Mh. .......
 
Wewe, Moro ipo kabla ya Moshi na Arusha, karne nyingi hata kabla ya wazungu kuja wakati huo labda Arusha wako maporini. Ukiitwa kwa jina la Simba Mwene.

Kipindi cha Mjerumani na Mwingereza, Tanga na Moro ndo ilikuwa Dar zao aka miji ya viwanda, hapo utalii sio dili na madini ni Ulanga. Ibarikiwe toka watu wa kaskazini? Wapi na wapi?
Kwasasa iko wapi wewe?
Kubarikiwa na Mzungu ni tofauti sana kubarikiwa na Mungu.

Kilimanjaro imebarikiwa na Mungu.
 
Ivi najiulizaga chipsi akikaanga mchaga Lazima apate maendeleo lakini ndugu zetu watu wa Tanga, Pamoja na kufanya kazi iyo kwa muda mrefu lakini awana maendeleo
Amkeni ndugu zangu wagosi
Mnabaki kusema wahaya Malaya kumbe nyinyi kwa kuonga chipsi amjambo
Kwakuhonga chipsi wako vzr sana hawa watu.. tuwaombee 2
 
Back
Top Bottom