Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Yani we mchuchu kwa mara ya kwanza leo umefanikiwa kunichekesha...Hizo baraka za moshi zinatiririka hadi Tanga, Amen
Khaaa!!!
Anyway.... Ameeeen!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani we mchuchu kwa mara ya kwanza leo umefanikiwa kunichekesha...Hizo baraka za moshi zinatiririka hadi Tanga, Amen
Hili swali au taarifa? Ebu! Tuoneshe kwanza vyeti vyako vya chekechea!Kwa hiyo ishara ya hizo baraka ni hiyo milima.
Ziwa hata mbuzi analo...Kwa iyo yenye ziwa haijabalikiwa?
Umeandika maneno mengi afu ukasahau "Amen"Wapi nimesema ilibarikiwa na Mzungu? Kwanza sijatumia neno Baraka, halileti mantiki kabisa ktk mada hii, natumia neno "kujaliwa", nimesema kuna kipindi cha hao watawala wa kizungu, Tanzania ilikuwa Tanga na Morogoro, hata Dar haikuwepo.
Lakini pia, Morogoro si miongoni mwa mikoa masikini Tanzania. Na kwa miji huwezi fananisha Moro na Moshi, labda na Kahama huko.
Haya... rudi nyuma ukaandike "Amen" ili upate baraka.Vijana wa mikoani mnapenda kujipendekeza ili muonekane wa mjini. Dar na Pwani ndio mikoa iliyobarikiwa ndio maana mnaona wivu ikitajwa wenyeji wa Dar/Pwani wazaramo/wandengereko. Mkimbizi wa Burundi kamwe hawezi kuwa raia wa TZ.
Soon mtasema na Mwanza kwa wasukuma kwenu. BTW Wazee/wenyeji wa Dar wapo wengi haichukui hata masaa ku-notice ingawa hawapigi kilugha kama watu wa vijijini.
Kubalini na mjivunie kwenu.
Niulize kwanza, umeandika ukiwa wapi?Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
![]()
2. Mji wa Arusha...
![]()
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
Sasa nijipendekeze na Dar es Salaam.Ongea kuhusu mkoa wako mkuu acha kujipendekeza au kutaka kujihusisha au kujishikiza Dar au Pwani. Hii inathibitisha kwamba huwezi kuongea kuhusu TZ bila kuitaja mikoa hiyo ambayo ni ndoto ya kila MTZ kufika au kufanya kazi.
Wazaramo kitambo walijenga mkoa wa Pwani (Dar kama mkoa ulizaliwa mwaka 1972 na ulikuwa ni sehemu ya Pwani).Hizo picha mlizoposti ni sawa na Dar ya mwaka 1930.Hiyo habari ya kuuza haina maana bali wanapangisha msio na makazi mjini na kisha wenyewe wanapanua miji yao.
Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
![]()
2. Mji wa Arusha...
![]()
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
Bandari, utalii, mito, madini na mazao yote, ni zaidi ya gas Mkuu!Wamebarikiwa wenye gas braza.....
Ndo maana tangu awali nilisema ni baraka au hatulijui hili neno maana yake? Nikaanza kulitumia "kujaaliwa". Baraka huwa zinakwisha, je kesho Mungu akiwabariki watu wa Moro, milima Uluguru yaweza kuwa mirefu kuipita mt. Klm?Kimaendeleo Arusha Moshi iko juu sana.. Kielimu ndio usiseme huwezi iweka Tanga hapo.
Tanga imebarikiwa kwa mvua nyingi ardhi pia nzuri kwa kilimo cha matunda na vitu vingi pia.
Kwanini hukuuweka Mkoa wa Morogoro hapo? Unazijua elimu za mapri wewe? Wazijua shule mbili kuu kabisa za sekondari Tanzania, moja ya kike na nyingine ya kiume, tuliziita most high special schools?Mzee Nyerere alisaidia sana. Kama sio yeye, kuna makabila mengi yangefutika apa Tanzania
Yangebaki makabila kutoka mikoa hiii
1. Kagera
2. Kilimanjaro
3. Mbeya
4. Mara Musoma
5. Mwanza, shinyanga (sukuma land)
6. Iringa, njombe (wanyaru)
We unaitaja Mara unaiacha Moro kweli? Hata historia ya nchi huijui vyema, akina Zuberi Mtemvu, chief Kunambi huijui michango yao kwa Nyerere.Mzee Nyerere alisaidia sana. Kama sio yeye, kuna makabila mengi yangefutika apa Tanzania
Yangebaki makabila kutoka mikoa hiii
1. Kagera
2. Kilimanjaro
3. Mbeya
4. Mara Musoma
5. Mwanza, shinyanga (sukuma land)
6. Iringa, njombe (wanyaru)
Hakika nawaambieni, kwakuwa mwisho wa siku ni kifo, ktk Tanzania hakuna kabila litakalolipita la wazalamo kati ya yalioishi maisha meaningful. Free from stress. Hata hivyo, mifumo inabadilika. Nao wanachange pia.Ndugu zangu wazaramo akiamia mtu mwenye uwezo yeye, anauza anakimbia kijijini, sehemu ambayo atapata pori la kuwaweka unyago na jando kwa watoto wa kiume.
Dar es salaam Tanzania, wazaramo wote wamekimbilia mikoa ya Pwani, na sasa ivi watu wanawafata mikoa ya Pwani, sijui watakimbilia wapi tena
Watu Tz hawaijui Mkuu, hawazijui historia wala jiografia. Mi nadhani kwa maeneo machache sana yenye neema ya maisha Tukuyu kama haiongozi basi ni tatu bora.Rungwe.
Kwani hujasoma jiografia Mkuu!?
Ni mlima wa volcano na udongo kwenye miguu ya mlima huo unafanana sana na udongo ulio miguuni mwa mlima K/njaro na ndio maana wanalima mazao yanayoshahabiana. Mf. Chai, kahawa na ndizi.
Kwakuwa siamini ktk baraka Mkuu! Wakibarikiwa wa Meatu leo vichuguu vyao haviwezi badilika na kuwa milima mirefu zaidi wa KLM. Israel ilibarikiwa ilipopotota baraka zikapokwa pia. So mlima si baraka.Umeandika maneno mengi afu ukasahau "Amen"
Kwa iyo Mara na Morogoro ni sawa,We unaitaja Mara unaiacha Moro kweli? Hata historia ya nchi huijui vyema, akina Zuberi Mtemvu, chief Kunambi huijui michango yao kwa Nyerere.
Mara ilijitoa kuulinda Uhuru si kuupigania. Hata sapoti kubwa Nyerere sidhani kama aliipata kule, kwa kipindi walikuwa uncivilized societies kule. Wajanja wa mjini ni mikoa ya Pwani, kidogo Tabora. KLM walikuwa na Chief Mareale, lakini mwanzoni alikuwa mpinga Uhuru then akageuza gia angani akitaka apewe Uhuru wa Tanga, KLM na iliyokuwa Arusha.Kwa iyo Mara na Morogoro ni sawa,
Mara tunazungumzia watu waliojitoa katika tasnia ya ulinzi, kama jeshini, achana na wachaga wanaoingia sasa ivi kwa ajili ya kwenda kupiga dili