National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sanaKuna rafiki yangu alikua anaipenda kinoma hii nyimbo Ila alishafariki nikisikiliza hii nyimbo lazima nimkumbuke
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sahiv ni mwendo wa
Koh Koh yaoow yaaoow Konde boi ko mi namba waan baakhresaaa[emoji445]
Yule kama mkono wa Majani na Sogy doh hunter kama sijakosea ( kama from bongo record) kama MJ vile dahHivi ile mziki ya pigblack sina dem nani aliitengeza...
Ile ngoma ni kinanda sanaYule kama mkono wa Majani na Sogy doh hunter kama sijakosea ( kama from bongo record) kama MJ vile dah
Huyu mwamba yuko wapi nowdays?Mpenzi - dudu baya
Jina la wimbo nikuwekee hapaHebu itupie hapa na tamala nigga niipakue
Niko na JBL nasikiliza hizi nyimbo mbili ya kwanza ni dknob elimu mitaani aliitoa mwaka 2003 na hardman tamala ya mwaka 2004, hata baada ya miaka 100 hizi beat haziwez chuja, nyimbo hizi mbili zimenikumbusha mbali sana aisee asikuambie mtu Music is medicine na ukizingatia na huu ukimya wa usiku ubongo wangu unaburudika vizuri sana
Unaweza tupia yako Mika mwamba aliyokukosha
Pigblack ana huo wimbo kweli? Au unamaanisha Sina demu ya B.BoyHivi ile mziki ya pigblack sina dem nani aliitengeza...
Mwenye nayo aitupie hapa.naona inanijia maskioni sahivi
Hiyo ya kuchanganya flavor za vyombo mbalimbali hata man Walter amefanya sanaHao walikuwa maproducer waliowashirikisha wataalam wengine wa kupiga vyombo si kama sasa producer anajikuta kujua kila kitu.
Sehemu za kinanda unaenda kwa bizman, sehemu za gitaa unaenda kwa mzungu kichaa, sehemu za flute kuna wataalam, n.k. mwisho wa siku producer anamalizia vitu vyake basi beat inakuwa bomba si kitoto ... Hata pfunk majani ile biti ya she got a gwain ni mzungu kichaa alicharaza gitaa, kinanda nacho kuna mhusika, mwisho wa siku priducer anaunaganishia kwenye beat yake ala zinaanza kuleta mgongano masikioni mwetu miaka nenda rudi biti halichuji
Hua nikipakua napata low version tu so hapa nitumie tu high qualityJina la wimbo nikuwekee hapa
Sina hakika,
Nipe jina la wimbo nione unapatikana kwa quality ipiHua nikipakua napata low version tu so hapa nitumie tu high quality
Hivi Fatma wa Tamala ndo yule Fatma Shimweta wa Star TvFatma anavyoitikia tamalaaaaaa one of the best part
mashallah ya Chid Benz na Mzee Yusuph, hatari sanaUnaweza tupia yako Mika mwamba aliyokukosha
Siyo yeyeHivi Fatma wa Tamala ndo yule Fatma Shimweta wa Star Tv