Mikakati yangu 2025 kubana matumizi

😅😅 so unashauri hili l kula kwa ndugu n jiran nilikate?
 
Sasa iyo ni kubana matumizi au ufukara uliotukuka.
Somo la kubana matumizi huna
 
Niidhani umeandika huu uzi ukiwa serious kumbe umepoteza muda wako kuandika huu upupu, maana kitu ulichokiandika ni kwamba akiwezekani hata uwe bahiri vipi ulichokifanya ni kuja kufurahisha genge tu
 
Kazi kulosa tu, sasa mchai chai umepanda wa nni??
 
Niidhani umeandika huu uzi ukiwa serious kumbe umepoteza muda wako kuandika huu upupu, maana kitu ulichokiandika ni kwamba akiwezekani hata uwe bahiri vipi ulichokifanya ni kuja kufurahisha genge tu
Relax mzee, changia mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…