Mikakati yangu 2025 kubana matumizi

Mikakati yangu 2025 kubana matumizi

wakati unadhibiti njia za pesa kutoka ongeza na njia za pesa kuingia!, maana unaweza kujikuta unaishi kama shetani halafu hugeuki kuwa malaika!, maana lengo la wewe kufanya hivyo ni baadae kujakuwa malaika so angalia usije ukaliwa na stress!.

halafu acha ushamba unabanaje bajeti kwa kwenda kula kwa wengine unafikiri wenzako hawana bajeti..? huo ni ujinga, panga ratiba yako yachakula.
😅😅 so unashauri hili l kula kwa ndugu n jiran nilikate?
 
Nimependa sana some strategies zinazotumiwa na wahuni kuishi. Asee wahuni wana balaa sana, some tips natohoa kwao ili nipate kitu perfect mwakani. Mbinu kubwa ya utajiri ni ubahili, minimize cost as you can kama "earning" haiongezeki

Mwakani wakuu rum ya elfu 20 ya umeme mbagala inatosha, nitapanda mchaichai nje kuondoa gharama za majani ya chai. Nitakua naomba moto kwa jirani kama wanne hiv jiko linajaa napika hakuna haja ya kununua mkaa.

Nitanunua kanzu moja, hii kuanzia misiba na ndoa hitima nimo mpaka nile hiyo. Kanzu hii ya kuendea msikitini hasa usiku naoga kabisa huko huko kupunguza bajeti ya maji.

Kuna haja ya kucheza na nyakati hasa mchana, mida mizuri ya kutembela ndugu na marafiki itaanzia saa 7 mchana kuvizia kula mana wengi wanakula kati ya 7:20 mpaka saa 9 hapo. Atleast weekly nikibahatisha milo mitatu kwa ndugu na rafiki kwa mwezi nitasave kama 20 hivi sio kesi sana.

Kumekuwa na haja ya kuendelea kusite maeneo yenye wifi na kupambana mpaka kupata password ili inipunguzie bajet ya bando. Watu wa manispaa temeke mje inbox nina dili na ninyi

Kalaga baho
Sasa iyo ni kubana matumizi au ufukara uliotukuka.
Somo la kubana matumizi huna
 
Niidhani umeandika huu uzi ukiwa serious kumbe umepoteza muda wako kuandika huu upupu, maana kitu ulichokiandika ni kwamba akiwezekani hata uwe bahiri vipi ulichokifanya ni kuja kufurahisha genge tu
 
Nimependa sana some strategies zinazotumiwa na wahuni kuishi. Asee wahuni wana balaa sana, some tips natohoa kwao ili nipate kitu perfect mwakani. Mbinu kubwa ya utajiri ni ubahili, minimize cost as you can kama "earning" haiongezeki

Mwakani wakuu rum ya elfu 20 ya umeme mbagala inatosha, nitapanda mchaichai nje kuondoa gharama za majani ya chai. Nitakua naomba moto kwa jirani kama wanne hiv jiko linajaa napika hakuna haja ya kununua mkaa.

Nitanunua kanzu moja, hii kuanzia misiba na ndoa hitima nimo mpaka nile hiyo. Kanzu hii ya kuendea msikitini hasa usiku naoga kabisa huko huko kupunguza bajeti ya maji.

Kuna haja ya kucheza na nyakati hasa mchana, mida mizuri ya kutembela ndugu na marafiki itaanzia saa 7 mchana kuvizia kula mana wengi wanakula kati ya 7:20 mpaka saa 9 hapo. Atleast weekly nikibahatisha milo mitatu kwa ndugu na rafiki kwa mwezi nitasave kama 20 hivi sio kesi sana.

Kumekuwa na haja ya kuendelea kusite maeneo yenye wifi na kupambana mpaka kupata password ili inipunguzie bajet ya bando. Watu wa manispaa temeke mje inbox nina dili na ninyi

Kalaga baho
Kazi kulosa tu, sasa mchai chai umepanda wa nni??
 
Niidhani umeandika huu uzi ukiwa serious kumbe umepoteza muda wako kuandika huu upupu, maana kitu ulichokiandika ni kwamba akiwezekani hata uwe bahiri vipi ulichokifanya ni kuja kufurahisha genge tu
Relax mzee, changia mada
 
Back
Top Bottom