Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅 so unashauri hili l kula kwa ndugu n jiran nilikate?wakati unadhibiti njia za pesa kutoka ongeza na njia za pesa kuingia!, maana unaweza kujikuta unaishi kama shetani halafu hugeuki kuwa malaika!, maana lengo la wewe kufanya hivyo ni baadae kujakuwa malaika so angalia usije ukaliwa na stress!.
halafu acha ushamba unabanaje bajeti kwa kwenda kula kwa wengine unafikiri wenzako hawana bajeti..? huo ni ujinga, panga ratiba yako yachakula.
Menemene una nongwa sana 🤣Labda Kama leo umebadili kabila kutoka kabila letu la wazaramo Sasa ni msukuma sawa .
Ila Kama bado wewe ni mzaramo mwenzangu utashuhudia ninachosema na hapo bado kuchambwa mpaka uone wazazi walikuonea kukuzaa
Mkuu nilijua ungeshaur niongeze na miwa kufidia bajeti ya sukariNimependa fact ya kupanda mchaichai but the rest ni umaskini.
Sasa kwa hayo malengo yako si bora uishe tu ili uje mwaka mwingine labda utabadili mawazoUshaukatia tamaa kabla haujaanza. Au ndio nyie mnaosubiria kurudi kwa baba mwenyez tu mana dunia haina jipya tena
Nitqelewa nn mkuu mbonq husemi comprehensivelyHuo ni utoto akili ikikomaa utaelewa tu
Lengo kuu ni kukusanya mtaji. Niko steji ya accumulationSasa kwa hayo malengo yako si bora uishe tu ili uje mwaka mwingine labda utabadili mawazo
Sasa iyo ni kubana matumizi au ufukara uliotukuka.Nimependa sana some strategies zinazotumiwa na wahuni kuishi. Asee wahuni wana balaa sana, some tips natohoa kwao ili nipate kitu perfect mwakani. Mbinu kubwa ya utajiri ni ubahili, minimize cost as you can kama "earning" haiongezeki
Mwakani wakuu rum ya elfu 20 ya umeme mbagala inatosha, nitapanda mchaichai nje kuondoa gharama za majani ya chai. Nitakua naomba moto kwa jirani kama wanne hiv jiko linajaa napika hakuna haja ya kununua mkaa.
Nitanunua kanzu moja, hii kuanzia misiba na ndoa hitima nimo mpaka nile hiyo. Kanzu hii ya kuendea msikitini hasa usiku naoga kabisa huko huko kupunguza bajeti ya maji.
Kuna haja ya kucheza na nyakati hasa mchana, mida mizuri ya kutembela ndugu na marafiki itaanzia saa 7 mchana kuvizia kula mana wengi wanakula kati ya 7:20 mpaka saa 9 hapo. Atleast weekly nikibahatisha milo mitatu kwa ndugu na rafiki kwa mwezi nitasave kama 20 hivi sio kesi sana.
Kumekuwa na haja ya kuendelea kusite maeneo yenye wifi na kupambana mpaka kupata password ili inipunguzie bajet ya bando. Watu wa manispaa temeke mje inbox nina dili na ninyi
Kalaga baho
Kwamba ugali sio mbogaNitqelewa nn mkuu mbonq husemi comprehensively
Sijambo Kalaga baho bin Nongwa.Pyar hujambo? Kuna tunguli imehusika hapo?
Mzee kimamingo madini unayo unayakalia. Nabanaje matumizi mkuu shea na mm hapa na hali yangu ya uchumi inafananana maelezo hayo hapo juuSasa iyo ni kubana matumizi au ufukara uliotukuka.
Somo la kubana matumizi huna
Huo mda unaozunguka kuomba mkaa na kuvizia chakula utapata wapi mda wa kutafuta pesa ya kukusanya kama mtaji? Saa 7:20 had saa 9 upo mtaaniLengo kuu ni kukusanya mtaji. Niko steji ya accumulation
Unguja ipo safari kaka, tukutane Pwani mchangani mwezi FebruaryKumbe jukwaa la jokes nlitaka kushangaa super winga tena mporomoko wa aje huu safari za unguja nazo?
Kazi kulosa tu, sasa mchai chai umepanda wa nni??Nimependa sana some strategies zinazotumiwa na wahuni kuishi. Asee wahuni wana balaa sana, some tips natohoa kwao ili nipate kitu perfect mwakani. Mbinu kubwa ya utajiri ni ubahili, minimize cost as you can kama "earning" haiongezeki
Mwakani wakuu rum ya elfu 20 ya umeme mbagala inatosha, nitapanda mchaichai nje kuondoa gharama za majani ya chai. Nitakua naomba moto kwa jirani kama wanne hiv jiko linajaa napika hakuna haja ya kununua mkaa.
Nitanunua kanzu moja, hii kuanzia misiba na ndoa hitima nimo mpaka nile hiyo. Kanzu hii ya kuendea msikitini hasa usiku naoga kabisa huko huko kupunguza bajeti ya maji.
Kuna haja ya kucheza na nyakati hasa mchana, mida mizuri ya kutembela ndugu na marafiki itaanzia saa 7 mchana kuvizia kula mana wengi wanakula kati ya 7:20 mpaka saa 9 hapo. Atleast weekly nikibahatisha milo mitatu kwa ndugu na rafiki kwa mwezi nitasave kama 20 hivi sio kesi sana.
Kumekuwa na haja ya kuendelea kusite maeneo yenye wifi na kupambana mpaka kupata password ili inipunguzie bajet ya bando. Watu wa manispaa temeke mje inbox nina dili na ninyi
Kalaga baho
Sikuoni oni humu au shape wa majukumu ya idara nzima hapo nbc?Sijambo Kalaga baho bin Nongwa.
Uchawi sio mpaka tunguri 😁
Relax mzee, changia madaNiidhani umeandika huu uzi ukiwa serious kumbe umepoteza muda wako kuandika huu upupu, maana kitu ulichokiandika ni kwamba akiwezekani hata uwe bahiri vipi ulichokifanya ni kuja kufurahisha genge tu