Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Kuna MIPAKA.wakati baba yako anakwenda kuoga uwa anakuita kumuangalia?
Ndivyo mungu kaweka mipaka ya kumjua.
Asante sana.
Kama ni wa kukuwekea mipaka ya kumjua,unahangaika ili iweje?
Hata kumuona ni hivo hivo.
Kawaacha solemba, huoni hana mda na wewe sasa?


Yule dogo mtoto wa fundi,kama yeye ndo mungu kwa wanaoamini hivyo. Si ilisemekana alikuwa na watu wake,af eti alipaa huku wanamuangalia akawaacha!? Aliwaachia nani? Aliwaachaje?
Eti aliahidi hatochelewa kurudi, si mpaka leo wanamsubiri?
Kwa stori za mtaani, kakimbia ukatili wa watu wake. Huku kawaumba yeye. Kwa hiyo,wanamzidi ujanja sasa!!!!
Watu wa leo wanahusikaje? Tutajuaje kama si zile chai kama za humu? Mbona tunaishi miaka isiyozidi 100 kwa waliodumu,hizo stori kaleta nani aliyewaona!!!! Mnasemaga tukio furani la mwaka furani. Mbona sijawahi sikia yalitokea mwaka furani?
 
All in all

Naomba utoe vigezo vyako ambavyo WEWE binafsi ukiviona utaamini Mungu yupo

Me nilisha kwambia vigezo vyangu vinavyofanya ni nasema Mungu yupo

In addition
Uwepo wa UCHAWI na USHIRIKINA
Tuu una Thibitisha Mungu yupoo



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mtu anayetaka mungu aje nyumbani kwake, hukuwahi kuelewa kabisa! Na hii inashangaza.

Embu tafuta sehemu mtu anasema tunahitaji kumuona mungu aje nyumbani kwetu,

Jikite katika mada uliomba mistari mungu akiua watu umepewa lakini bado hakuna ulilojibu.

Jikite katika mada mkuu karibu sana.
Sema tuu vigezo vyako ambavyo WEWE binafsi ukiviona utaamini Mungu yupo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nipo UPANDE WA ALLAH.

Mkuu kwakuwa uzi huu unahusu mikanganyiko ya Bibilia basi ngoja tuishie hapa

Nitafungua uzi maalumu kuhusu mikanganyiko ya heka za Mudi na kitabu chake kuruwani........ nitakutag mkuu
 
Mkuu,hao bata anakula basi? Ukiuliza utaambiwa tunaishi nae,hata hapa ulipo yupo. Hapo ni kwa kila mtu:
-kama kila mtu yupo na mungu,watu wanaosadikika kuwa bilioni ngapi hao,kila mtu ana mungu wake. Kwa nini tuaminishwe kuwa ni mmoja?
-Hilo lipo wazi wakienda kugegedana lodge na madangulo,mungu yupo. Mungu gani wanaenda kuchungulia watu watapofanya yao?
- huko baa,mungu wanae. Hata walevi sawa tu.
-wanaofanya uhalifu,anaenda nao,haoni tabu,kazi kuunga tera tuuuu.
-waendao kwa waganga,anao wanaongozana.
Mganga hapo hapo,ina maana yupo nae.
-wanakoua,yupo tuuu. Sasa hapa utajiuliza. Kuna mungu awasindikizae watakaouwa,na awasindikizae watakaouliwa.
Hao mungu ni wangapi?

Sasa kwa maovu ya viumbe wao au wake hayo,kama ni mmoja hamuoni udhaifu wake?/wao kama kila mtu ana wa kwake?
Kama na yeye anavumilia misukosuko kama tunayopitia,wa nini sasa!

Mungu wa mchongo aise
Human beings created God through assumptions Based on things beyond their imaginations.
 
All in all

Naomba utoe vigezo vyako ambavyo WEWE binafsi ukiviona utaamini Mungu yupo

Me nilisha kwambia vigezo vyangu vinavyofanya ni nasema Mungu yupo

In addition
Uwepo wa UCHAWI na USHIRIKINA
Tuu una Thibitisha Mungu yupoo



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Hakuna Uchawi wala ushirikina mkuu
 
Mkuu kwakuwa uzi huu unahusu mikanganyiko ya Bibilia basi ngoja tuishie hapa

Nitafungua uzi maalumu kuhusu mikanganyiko ya heka za Mudi na kitabu chake kuruwani........ nitakutag mkuu
Sina shaka na Muhammad wala quran.
 
hapana. Nimeona unaruka ruka tu kujibu haya niambie unaamini upepo upo?
Siamini upepo upo.
Ninathibitisha upepo upo kwa kuona outcome mfano; nikipuliza karatasi linapepea, upepo ukiwa mkali unapeperusha vitu vyepesi,
Upepo unaweza kupimwa upepo unaweza kuuhisi. Sio swala la kuamini upepo, upepo unathibitishika kwa matokeo yake.

Thibitisha kwa njia yoyote kuhusu mungu?
 
Human beings created God through assumptions Based on things beyond their imaginations.
Mkuu, unaweza saidia kuweka neno assumption kwa kiswahili?
Mapadre wako poa sana. Na miaka yote wanayokaa wakisomea mambo ya Mungu,atakudanganya weeee,akifika anapoona hataki maswali,atakwambia hizo ni assumptions. Na biashara anakuwa amemaliza kabisaaaa.
Sasa,mtu mtaani hapa,hana A wala Z,anajua sana.
 
Sijatoka kwenye mada, kama unakusudia hiyo mistari ya kwenye Biblia wenye Biblia yao watakuja kujibu.
Sasa kilichokufanya kujibu ni nini wakati hoja ni mikanganyiko iliyopo katika biblia?

Huoni unakosa utulivu wakusoma hoja na kuendekeza stori zako za kale za kiarabu mkuu?

Jikite katika hoja
Unaweza kuendelea na huyo unayeita ni mungu wako ukamuweka tukaja kujadili.

Karibu sana.
 
Etii Mungu hayupooo kwasababu
1:uwepo wamabaya duniani
2😀unia hipo hivi kwahiyo Mungu hayupo

Alaf kwasababu hizo mbili Kabisa unadiriki kumkufuru Mungu

Alaf una niambia Biblia umesoma yoteee

Wakati Biblia sehemu nyingi Sana inaelezea hata siku za mwisho zitakavyo kua jinsi mabaya yatakavyo ongezeka

Usicho jua Mungu hamlazimishi Mtu kumu amini kwamba yeye yupo

Mungu alipo muumba mtu alimpa ufaahamu wa kujitambua na kufata anacho kupenda

Kwahiyo hata uwepo wenu nyie watu Unazidi kumtukuza MUNGU
Kwakua Mungu hamlazimishi mtuu kumuamini au kuto muamini

Acha kua kama mtu ambaye huja wai kusoma Kweni kila Mgonjwa lazima Alazwe au kila Mgonjwa hatembei

Elimika rafiki acha ku gurge vitu usivyo vijua

Kaa chini soma Bible ndo uje utuambie Uso google vitu tuuuu rafiki

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Maandiko yote ya kidini ni Hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.

Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Dhana ya uwepo wa Mungu mwema, mkamilifu, mwenye kujua yote, muweza wa vyote na mwenye upendo na huruma Kwenye Dunia iliyojaa uovu, ukatili, uasi, mabaya na shida za kila aina ni uthibitisho kwamba Mungu huyo Hayupo.

Mungu mkamilifu, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na uovu?

Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba Binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda dhambi, ukatili na ubaya?

Mungu mwenye kujua yote, Hakujua kwamba uovu, ukatili na mabaya yatakuja kuwepo duniani ayadhibiti mapema?

If God wanted us in Heaven Why he created us on Earth?

Mungu huyo, Alishindwaje kutuumba tukiwa mbinguni directly kama alitaka tuwe Mbinguni?

God is a fictional character invented by religion to scam people.

Religion convinced people that there's an invisible man beyond the sky who watches everything.

Human beings created God through assumptions Based on things beyond their imaginations.

God doesn't EXIST.

Kila mtu huzaliwa Atheist hata wewe ulizaliwa Atheist mpaka pale ulipo aminishwa kwamba kuna invisible creature beyond the sky anaitwa Mungu.

Hizi ni fiction stories za kurithishwa.

Vipi kuhusu uchawi masta? Hivi upo au na wenyewe ni story tu?
 
Asante sana.
Kama ni wa kukuwekea mipaka ya kumjua,unahangaika ili iweje?
Hata kumuona ni hivo hivo.
Kawaacha solemba, huoni hana mda na wewe sasa?


Yule dogo mtoto wa fundi,kama yeye ndo mungu kwa wanaoamini hivyo. Si ilisemekana alikuwa na watu wake,af eti alipaa huku wanamuangalia akawaacha!? Aliwaachia nani? Aliwaachaje?
Eti aliahidi hatochelewa kurudi, si mpaka leo wanamsubiri?
Kwa stori za mtaani, kakimbia ukatili wa watu wake. Huku kawaumba yeye. Kwa hiyo,wanamzidi ujanja sasa!!!!
Watu wa leo wanahusikaje? Tutajuaje kama si zile chai kama za humu? Mbona tunaishi miaka isiyozidi 100 kwa waliodumu,hizo stori kaleta nani aliyewaona!!!! Mnasemaga tukio furani la mwaka furani. Mbona sijawahi sikia yalitokea mwaka furani?
Mkuu,
Binafsi dhana nzima ya ukombozi kwenye mantiki huwezi kumueleza mtu akakuelewa.
Yaani alikuja kutukomboa katika dhambi, wakati kuna sehemu anatuma malaika waende kuua watu, nguvu za kugawanya bahari, kutembea juu ya maji , kurudisha sikio lililokatwa na kufufua zipo.

Ila akamleta mtoto wake afe kwa ajili ya ukombozi!
Mkuu DR Mambo Jambo embu weka neno hapa😂
 
Etii Mungu hayupooo kwasababu
1:uwepo wamabaya duniani
2😀unia hipo hivi kwahiyo Mungu hayupo

Alaf kwasababu hizo mbili Kabisa unadiriki kumkufuru Mungu

Alaf una niambia Biblia umesoma yoteee

Wakati Biblia sehemu nyingi Sana inaelezea hata siku za mwisho zitakavyo kua jinsi mabaya yatakavyo ongezeka

Usicho jua Mungu hamlazimishi Mtu kumu amini kwamba yeye yupo

Mungu alipo muumba mtu alimpa ufaahamu wa kujitambua na kufata anacho kupenda

Kwahiyo hata uwepo wenu nyie watu Unazidi kumtukuza MUNGU
Kwakua Mungu hamlazimishi mtuu kumuamini au kuto muamini

Acha kua kama mtu ambaye huja wai kusoma Kweni kila Mgonjwa lazima Alazwe au kila Mgonjwa hatembei

Elimika rafiki acha ku gurge vitu usivyo vijua

Kaa chini soma Bible ndo uje utuambie Uso google vitu tuuuu rafiki

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Huo ni udhaifu wakuleta porojo na kushindwa kujibu hoja!
Jibu hoja mkuu
Karibu sana.
 
Vipi kuhusu uchawi masta? Hivi upo au na wenyewe ni story tu?
Ukiamini stori za mungu lazima uamini na stori za uchawi.

Hakuna shida na kuamini kwako
Dhana nzima ya kupinga uwepo wake imejikita katika mikanganyiko sifa zake zinajipinga zenyewe.

Karibu mkuu tujadili.
 
Yele yalee

Eti Mungu kachoka nioneshe sehemu ambayo Mungu Wana sema kachoka Soma Biblia vizur

Nenda kasome mwanzo 2:1-3

Alaf ujijibu mwenyewe

Maswali mingine ni ujinga tuu wakuto kusoma Bible

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwani kusema ni kitabu kisichokuwa na shaka ndo uhalisi kwamba hakina shaka? Huyo mwandishi kaandika hivyo kujitengenezea ulinzi wa kutokuhojiwa ila ni kitabu chenye udhaifu wa hali ya juu. Upuuzi umejaa sana mule.

Upuuzi wa kwanza,
Kuna sehemu mwandishi anasema mbingu zinatetemeka na kutikisika pale ambapo Yesu anaitwa mwana wa Mungu. Huo ni uongo wa wazi, mbingu haiwezi kutikisika kwa jambo la namna hiyo.

Upuuzi wa pili,
Kuna sehemu panasema Mungu na malaika zake wanamsalia mtume.
Huo ni ujinga wa viwango vya PhD kuona Mungu nae anasali.

Niendelee au tujadili hayo kwanza?
Quran 41:11 -
Kisha akazielekea mbingu, na zilikuwa moshi, akaziambia hizo na ardhi: Njooni, kwa khiari au kwa nguvu! Vyote viwili vikasema: Tumekuja nasi ni wat'iifu.

Mbingu kiumbe Cha Mungu kama ulivyo wewe na kinatii maneno ya Mungu na zinajua kama zimeumbwa na Mungu

Kwahiyo wewe unapo chukua sifa za Mungu aliyeumba mbingu na aridhi na kumpa hizo sifa binadamu wenzako ambayo ni Yesu mbingu lazima zichukie


Kuhusu hiyo hoja yako ya pili ya kumswalia mtume hapo shida ni kwamba wewe haijui kiswahili Wala kiarabu Kwa sababu neno swala ni neno la kiarabu

Ila kama wewe unadhani hapo maana yake ni kumuabudu mtume toa ushahidi
 
Back
Top Bottom