Asante sana.Kuna MIPAKA.wakati baba yako anakwenda kuoga uwa anakuita kumuangalia?
Ndivyo mungu kaweka mipaka ya kumjua.
Kama ni wa kukuwekea mipaka ya kumjua,unahangaika ili iweje?
Hata kumuona ni hivo hivo.
Kawaacha solemba, huoni hana mda na wewe sasa?
Yule dogo mtoto wa fundi,kama yeye ndo mungu kwa wanaoamini hivyo. Si ilisemekana alikuwa na watu wake,af eti alipaa huku wanamuangalia akawaacha!? Aliwaachia nani? Aliwaachaje?
Eti aliahidi hatochelewa kurudi, si mpaka leo wanamsubiri?
Kwa stori za mtaani, kakimbia ukatili wa watu wake. Huku kawaumba yeye. Kwa hiyo,wanamzidi ujanja sasa!!!!
Watu wa leo wanahusikaje? Tutajuaje kama si zile chai kama za humu? Mbona tunaishi miaka isiyozidi 100 kwa waliodumu,hizo stori kaleta nani aliyewaona!!!! Mnasemaga tukio furani la mwaka furani. Mbona sijawahi sikia yalitokea mwaka furani?