Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mungu akupe neema ya kusoma na kulielewa vyema neno lake, Biblia ukisoma kama gazeti hutaelewa kamwe.
 
Mkuu kisai,
Pangua hoja zilizopo hapo juu kuhusu biblia au hujaona?

Turudi katika mada.
Karibu sana.
Ndio maana nakushangaa, hujasoma nilicho kiandika huko mwanzo ?

Nilishasema kuhusu Biblia Mimi kitabu hicho hakinihusu, wenye kitabu Chao watakuja kukotetea.

Sasa rudi pale mwanzo uone nilianzaje kuchangia, ndio maana nataka uweke hoja zako.
 
Ndio maana nakushangaa, hujasoma nilicho kiandika huko mwanzo ?

Nilishasema kuhusu Biblia Mimi kitabu hicho hakinihusu, wenye kitabu Chao watakuja kukotetea.

Sasa rudi pale mwanzo uone nilianzaje kuchangia, ndio maana nataka uweke hoja zako.
Hii mada inahusu mkanganyiko katika biblia.

Mbali na hapo mkuu pumzika kwasababu ushasema haikuhusu.

Karibu tena.
 
Hakuna Ukombozi wa kafara ya Mtu mkuu Hiyo ni changa la macho...
BIblia yenyew inasema kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe sasa iweje tu aambiwa kuna mtu akitubebea..
Watu wanashindwa kuamka kwenye ulimwengu huu
mkuu unaelewa maana ya hiyo dhana?au ndio uko kwenye kilele cha hang over?

wenzako wanakwambia mpaka ukubali kwamba Yesu ni mwokozi wako,utaokoka,ww unadhani mpaka wafiraji watabebewa dhambi hizo bila kumpokea?

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Mbona unaongea maneno tupu bila uthibitisho wowote? Haina tofauti na maneno ya kanga.

Muhamad hakuwahi kuisoma Biblia wala hata hakujua kusoma wala kuandika.
Na wala yeye hakuandika Quran maana Quran ilikuwa inashushwa na malaika
We jamaa una matatizo kichwani, unasema mud hakuwahi kusoma biblia, kwani mi nimesema alisoma? Kisha unajitekenya mwenyewe kusema hakuandika Quran, mi nimesema aliandika yeye?

Mi nimesema huyo aliyeandika hiyo Quran ndo alisoma Biblia kwanza. Wewe binafsi ukisoma Biblia na Quran lazima utagundua hilo. Quran imejaa mawazo ya kibinadamu.

Kwani Quran aliandika Nani?
 
Quran 41:11 -
Kisha akazielekea mbingu, na zilikuwa moshi, akaziambia hizo na ardhi: Njooni, kwa khiari au kwa nguvu! Vyote viwili vikasema: Tumekuja nasi ni wat'iifu.

Mbingu kiumbe Cha Mungu kama ulivyo wewe na kinatii maneno ya Mungu na zinajua kama zimeumbwa na Mungu

Kwahiyo wewe unapo chukua sifa za Mungu aliyeumba mbingu na aridhi na kumpa hizo sifa binadamu wenzako ambayo ni Yesu mbingu lazima zichukie


Kuhusu hiyo hoja yako ya pili ya kumswalia mtume hapo shida ni kwamba wewe haijui kiswahili Wala kiarabu Kwa sababu neno swala ni neno la kiarabu

Ila kama wewe unadhani hapo maana yake ni kumuabudu mtume toa ushahidi
Yaani hisia zako unaamini mbingu zina roho kama binadamu kwamba zichukie ama zifurahi. Achana na fikra za namna hiyo. Mbingu haziwezi kuogopa hadi kutetemeka kwa Yesu kuitwa mwana wa Mungu.

Hapo kwenye kumswalia mtume eleza Sasa maana yake mbona umepaacha patupu! Inakuwaje Mungu ajikusanye na malaika zake wamswalie mtu? Hii ndo inanishangaza sana nasubiri ufafanuzi wako
 
We jamaa una matatizo kichwani, unasema mud hakuwahi kusoma biblia, kwani mi nimesema alisoma? Kisha unajitekenya mwenyewe kusema hakuandika Quran, mi nimesema aliandika yeye?

Mi nimesema huyo aliyeandika hiyo Quran ndo alisoma Biblia kwanza. Wewe binafsi ukisoma Biblia na Quran lazima utagundua hilo. Quran imejaa mawazo ya kibinadamu.

Kwani Quran aliandika Nani?
Mimi nmekuambia Quran haijaandikwa na mtu bali ilishushwa...
Sasa Wewe unaesema iliandikwa na mtu aliyesoma Biblia ndio uweke ushahidi hapa ni nani huyo.
Kama huna kakojoe ukalale
 
Nawaona mnamkufuru Mungu,
Mkumbuke maandiko hakuandika Mungu mwenyewe,watu wameandika na kuyaweka kwa namna ambayo waliona inafaa kuwa,sasa ukimhusisha Mungu kwenye mambo ya binadamu unakosea sana,
Amini yupo umkose,kuliko umkatae alafu ukamkute
 
We jamaa una matatizo kichwani, unasema mud hakuwahi kusoma biblia, kwani mi nimesema alisoma? Kisha unajitekenya mwenyewe kusema hakuandika Quran, mi nimesema aliandika yeye?

Mi nimesema huyo aliyeandika hiyo Quran ndo alisoma Biblia kwanza. Wewe binafsi ukisoma Biblia na Quran lazima utagundua hilo. Quran imejaa mawazo ya kibinadamu.

Kwani Quran aliandika Nani?
Wao wanadai ilishushwa,
Niliwaambia waandike uzi wao tuone hicho wanachoita kitabu kitakatifu Kama si stori za osama.
 
Nawaona mnamkufuru Mungu,
Mkumbuke maandiko hakuandika Mungu mwenyewe,watu wameandika na kuyaweka kwa namna ambayo waliona inafaa kuwa,sasa ukimhusisha Mungu kwenye mambo ya binadamu unakosea sana,
Amini yupo umkose,kuliko umkatae alafu ukamkute
Kama hakuandika mungu mkuu, Kwanini wakiite kitabu kitakatifu cha maneno ya mungu?
 
Mimi nmekuambia Quran haijaandikwa na mtu bali ilishushwa...
Sasa Wewe unaesema iliandikwa na mtu aliyesoma Biblia ndio uweke ushahidi hapa ni nani huyo.
Kama huna kakojoe ukalale
Hiyo mada mkuu ungeanzisha kwenye uzi mwingine.

Utuwekee ushahidi wa kushushwa kwa Quran
Tutakuja kuchangia mkuu.

Karibu sana.
 
Mimi nmekuambia Quran haijaandikwa na mtu bali ilishushwa...
Sasa Wewe unaesema iliandikwa na mtu aliyesoma Biblia ndio uweke ushahidi hapa ni nani huyo.
Kama huna kakojoe ukalale
Kabla sijaenda kukojoa ili nilale hebu niambie kitu, unaposema imeshushwa unamaanisha mwandishi ni Mungu au imejiandika yenyewe?
 
Kabla sijaenda kukojoa ili nilale hebu niambie kitu, unaposema imeshushwa unamaanisha mwandishi ni Mungu au imejiandika yenyewe?
Quran haijaandikwa, ilikuwepo mbinguni toka milele!malaika ailkuwa anachukua vifungu anamshushia Muhammad.

Sasa Wewe unaeruka ruka mara ooh sijui aliyeandika alisoma Biblia.
Nimekuuliza Weka ushahidi hapa nan kaiandika, kama hata humjui mwandishi basi unadandia mada ambazo ziko juu ya upeo wako.
 
Wanasema imeshushwaje, yaani ilidondoka kutoka juu au ni vipi! Kwa hiyo hicho kitabu hakina mwandishi?
Mkuu clever,
huwezi kumuambia kitu huyo mtu. Inahitaji uwe mpumbavu wa mwisho kuambiwa kwamba kitabu kilishushwa Halafu akashushiwa Muhammad

Inabidi uwe mpumbavu wa mwisho kukubali ngano hizo za kiarabu.

Utapoteza nguvu zako tu waandae uzi wao.
 
Back
Top Bottom