Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Wanasema imeshushwaje, yaani ilidondoka kutoka juu au ni vipi! Kwa hiyo hicho kitabu hakina mwandishi?
Naam vitabu vyote vya Allah vilishushwa, hapa naongelea Zaburi, Taurati, Injili na Qur'an.

Nini maana ya kushushwa ? Tunaposema Qur'an imeshushwa tunamaanisha ya kuwa Qur'an yote imeteremshwa Moja kwa moja toka kwa Allah kupitia Malaika wake mtukufu Jibril. Qur'an imeshushwa mpaka kukamilika kwake kwa miaka 23.

Qur'an Haina muandishi kwa maana mtunzi bali ilikusanywa na kuwekwa katika kitabu yaani kuandikwa kwenye kitabu mpaka kutufikia sisi Leo hii.
 
Mi nimesema huyo aliyeandika hiyo Quran ndo alisoma Biblia kwanza. Wewe binafsi ukisoma Biblia na Quran lazima utagundua hilo. Quran imejaa mawazo ya kibinadamu.

Kwani Quran aliandika Nani?
Katika vitu ambavyo huwa nasisitiza humu ndani ni kuwa, muwe mnasoma haya mambo sio mnajiandikia andikia, yaani mtu anakuja kubisha juu ya kitu ambacho kila anachoandika kuhusu hicho kitu anakosea. Wengi mpo hivyo humu ndani, maana yake mnakuja humu kupotezea watu muda.

Sasa tunakuuliza au tunakuomba utuambie nani ameandika Qur'an na alisoma Biblia ipi ? Sababu kipindi Mtume yupo hapakuwa na Biblia.

Njoo utuonyeshe hapa wapi Kuna mawazo ya kibinadamu ? Utakuta hujawahi hata kuisoma Qur'an zaidi ya kuisikia tu.

Unauliza tena ameandika nani na wewe unasema ni mawazo ya binadamu na una kiri muandishi wa Qur'an alisoma Biblia ? Tuambie wewe Sasa.
 
Kwako wewe Stori ni nini ? Stori za Osama zikoje ?

Kwanini hamko serious vijana ? Ndio maana hata hoja hamna, zaidi ya kuwapotezea watu muda.
Mkuu kisai,
Pole najua inakuuma
Ulishaongea kila mtu ni muislamu kwa madai yako wewe. ILa sikukuona wa ajabu mungu wako kashindwa kujitetea upo unamtetea wewe hapa.

Hana tofauti na kinda la ndege anasubiri kulishwa na mamaye!

Fungua uzi wako wa Quran tuone kama kweli sisi sote ni waislamu

Karibu tujadili mada.
 
Mkuu kisai,
Pole najua inakuuma
Ulishaongea kila mtu ni muislamu kwa madai yako wewe. ILa sikukuona wa ajabu mungu wako kashindwa kujitetea upo unamtetea wewe hapa.

Hana tofauti na kinda la ndege anasubiri kulishwa na mamaye!

Fungua uzi wako wa Quran tuone kama kweli sisi sote ni waislamu

Karibu tujadili mada.
Wewe ndio unatakiwa ulete hoja sio Mimi. Mola wetu snajitosheleza na anafanya anavyotaka yeye, Wala hana haja ya kukotetea ? Yaani ajitetee ili iweje ?

Hapa nasubiri hoja.

Kingine siwezi kujadiliana kuhusu Qur'an na mtu ambaye haijui Qur'an.
 
Wewe ndio unatakiwa ulete hoja sio Mimi. Mola wetu snajitosheleza na anafanya anavyotaka yeye, Wala hana haja ya kukotetea ? Yaani ajitetee ili iweje ?

Hapa nasubiri hoja.

Kingine siwezi kujadiliana kuhusu Qur'an na mtu ambaye haijui Qur'an.
Bado upo unamtetea hapa yeye amekaa Kama mwehu akitafuta jalala jipya! Huoni unafanya kazi isiyokuhusu?

Tulishaagana mwanzo sijui nini kikasababisha kurudi hapa?

nafikiri Umeona uzi huu unasemaje?

Karibu tujadili mkuu.
 
Bado upo unamtetea hapa yeye amekaa Kama mwehu akitafuta jalala jipya! Huoni unafanya kazi isiyokuhusu?

Tulishaagana mwanzo sijui nini kikasababisha kurudi hapa?

nafikiri Umeona uzi huu unasemaje?

Karibu tujadili mkuu.
Kijana naona huna hoja ukiwa na hoja niambie.
 
Kijana naona huna hoja ukiwa na hoja niambie.
Pole kuendekeza mapenzi!

Unashindwa kujadili kilichopo pumzika mdogo wangu.

Ahsante kwa kushindwa kwako
Nikutakie siku Njema.
 
Quran haijaandikwa, ilikuwepo mbinguni toka milele!malaika ailkuwa anachukua vifungu anamshushia Muhammad.

Sasa Wewe unaeruka ruka mara ooh sijui aliyeandika alisoma Biblia.
Nimekuuliza Weka ushahidi hapa nan kaiandika, kama hata humjui mwandishi basi unadandia mada ambazo ziko juu ya upeo wako.
Quran haijaandikwa? Hebu nipe hiyo aya inayoonyesha ilikuwepo tu mbinguni na haijaandikwa, acha kufanya mawazo yako yawe ndo uhalisia
 
Mkuu clever,
huwezi kumuambia kitu huyo mtu. Inahitaji uwe mpumbavu wa mwisho kuambiwa kwamba kitabu kilishushwa Halafu akashushiwa Muhammad

Inabidi uwe mpumbavu wa mwisho kukubali ngano hizo za kiarabu.

Utapoteza nguvu zako tu waandae uzi wao.
Nimekuamini kwamba huyu jamaa ni wa ovyo eti anasema ilikuwepo tu mbinguni na haijaandikwa
 
Nimekuamini kwamba huyu jamaa ni wa ovyo eti anasema ilikuwepo tu mbinguni na haijaandikwa
😂😂😂 Kuna mtu anasemaga “imani ni shambulio la akili”

unajua nilichokuja kugundua ukiwa neutral kwenye hizi hekaya za kiarabu na kiyahudi utaishi kwa Amani.

Kuna rafiki yangu ni muislamu huwa kwenye mijadala yupo songea. Ni muislamu yule umuambii kitu.

sasa siku moja sehemu moja panaitwa mliyayoyo, tukawa yupo na jamaa wanabishana kuhusu Quran maeneo ya shambani. Mashamb ya mahindi.

Basi huyu rafiki yangu akaanza stori zake za uislamu, kuna jamaa akasema uislamu ni ushenzi tu, jamaa akakasirika akasema nitakuletea Quran sasahiv ubadilike chura!

Jamaa akasema leta, huwezi amini alienda kufata Quran Yule jamaa alivyofika akampa shika Halafu sema tena maneno yako uone.

Alishika ile Quran akachana vikaratasi vidogo vidogo ule ugomvi uliotokea pale😂😂.
Mpaka analia na maneno kibao sijui uamki, utakua chizi. Mpaka sasa yupo na anandelea kudundA.
Hivi vitu ukiendekeza utaumia sana.
 
mkuu unaelewa maana ya hiyo dhana?au ndio uko kwenye kilele cha hang over?

wenzako wanakwambia mpaka ukubali kwamba Yesu ni mwokozi wako,utaokoka,ww unadhani mpaka wafiraji watabebewa dhambi hizo bila kumpokea?

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Ooh Men. Mkuu Try me....

Naielewa Dhana hii....Vizuri kabisa na sana!
Na kama ulivyosema wwle Ni dhana na ndivyo ilivyo...

Mkuu ulitakiwa kusoma biblia yako vizuri..

Ezekieli 18:20-23

Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.

Lakini mtu mbaya akighairi, na kuacha dhambi zake zote alizozitenda, na kuzishika amri zangu zote, na kutenda yaliyo halali na haki, hakika ataishi, hatakufa.

Dhambi zake zote alizozitenda hazitakumbukwa juu yake hata mojawapo; katika haki yake aliyoitenda ataishi.

So Thanks kwamba hiyo ndo ilikuwa njia ya tangu zamani kuacha dhambi na kuwa huru
so swali Linakuja kama Bado inatumika hiyo Njia then alikuja kufanya nini na akawa kafara!...

Na hakuna kitu kama kuokoka Duniani Mkuu
 
Mkuu clever,
huwezi kumuambia kitu huyo mtu. Inahitaji uwe mpumbavu wa mwisho kuambiwa kwamba kitabu kilishushwa Halafu akashushiwa Muhammad

Inabidi uwe mpumbavu wa mwisho kukubali ngano hizo za kiarabu.

Utapoteza nguvu zako tu waandae uzi wao.
Mkuu unafahamu kitu kinaitwa "gullible" ..
Huwa nashangaa kwanini watu wanakuwa Gullible kiasi cha kushindwa kujua Ukweli...Hivi ni kwamba wameambiwa nini hicho kisivhohitaji kuvhunguxwa na akili zao
 
Ash-Shura 42:7

وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَآ إِلَيْكَ قُرْءَانًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ ٱلْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ ٱلْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِۚ فَرِيقٌ فِى ٱلْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِى ٱلسَّعِيرِ

English -

And thus We have revealed to you an Arabic Qur’ān that you may warn the Mother of Cities [i.e., Makkah] and those around it[1] and warn of the Day of Assembly, about which there is no doubt. A party will be in Paradise and a party in the Blaze.

Swahili

Na namna hivi ili uwaonye watu wa Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.
Allah wako wangapi. kwanini ametumia wingi "WE HAVE"
 
Mkuu unafahamu kitu kinaitwa "gullible" ..
Huwa nashangaa kwanini watu wanakuwa Gullible kiasi cha kushindwa kujua Ukweli...Hivi ni kwamba wameambiwa nini hicho kisivhohitaji kuvhunguxwa na akili zao
Mkuu,
Nieleweshe Gullibe maana yake?🙏🏽
 
Mkuu,
Nieleweshe Gullibe maana yake?🙏🏽
Gullible ni someone who Is Dumb enough to be easily Lied to...
Yaani ukiona Mtu unaweza kundanganya Kitu ambacho wewe mwenyew unaona ni uongo hata mtoto mdogo hwezi kubali na ukafanikiwa kumdangany thats Gullible..

Kumdangany mtu kwamba Kuna wakati wowote malaika alishuka huo ni uongo tumekuwa tukiusikia Tangu tunazaliwa na hakuna hata mmoja amewahi kuthibitisha kutokewa na malaika..
Hiyo inathibitisha Hawa watu hawapo...
Kuamini Kuwa Kuna maneno yalishushwa kutoka mbinguni...
NA kuamini kwamba Kuna mbingu na ina watu wanaishi na kuna mimea ipo huu ni uongo..
Kwa sababu tuna sahau tupo in the middle of the space na hewani hakuna kitu chchte tumezungukwa na nyota na sayari pamoja vinaunda gakaxy na galaxy nyingi zinaunda universe then mbingu iko wapi?
Thats Gullible
 
Gullible ni someone who Is Dumb enough to be easily Lied to...
Yaani ukiona Mtu unaweza kundanganya Kitu ambacho wewe mwenyew unaona ni uongo hata mtoto mdogo hwezi kubali na ukafanikiwa kumdangany thats Gullible..

Kumdangany mtu kwamba Kuna wakati wowote malaika alishuka huo ni uongo tumekuwa tukiusikia Tangu tunazaliwa na hakuna hata mmoja amewahi kuthibitisha kutokewa na malaika..
Hiyo inathibitisha Hawa watu hawapo...
Kuamini Kuwa Kuna maneno yalishushwa kutoka mbinguni...
NA kuamini kwamba Kuna mbingu na ina watu wanaishi na kuna mimea ipo huu ni uongo..
Kwa sababu tuna sahau tupo in the middle of the space na hewani hakuna kitu chchte tumezungukwa na nyota na sayari pamoja vinaunda gakaxy na galaxy nyingi zinaunda universe then mbingu iko wapi?
Thats Gullible
Nimekuelewa sana.

Huyo jamaa nilishawahi ona mjadala wako na wake, huwa anajifanya mjuaji lakini ni mpumbavu wa mwisho.

Yaani yupo radhi kukubali kitabu kilishushwa akapewa Mudi mnyama,
Halafu anakuambia kila mtu ni muislamu.
Sasa unajiuliza hapo duniani palikuwa yupo mudi peke yake tu? Hao walioishi kabla ya mudi Kwanini Hawakupewa kitabu? Halafu anajiona yupo sawa kabisa.

Kuna mstari mwembamba sana kuwa na itikadi kali za dini na upumbavu.
 
Ooh Men. Mkuu Try me....

Naielewa Dhana hii....Vizuri kabisa na sana!
Na kama ulivyosema wwle Ni dhana na ndivyo ilivyo...

Mkuu ulitakiwa kusoma biblia yako vizuri..

Ezekieli 18:20-23

Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.

Lakini mtu mbaya akighairi, na kuacha dhambi zake zote alizozitenda, na kuzishika amri zangu zote, na kutenda yaliyo halali na haki, hakika ataishi, hatakufa.

Dhambi zake zote alizozitenda hazitakumbukwa juu yake hata mojawapo; katika haki yake aliyoitenda ataishi.


So Thanks kwamba hiyo ndo ilikuwa njia ya tangu zamani kuacha dhambi na kuwa huru
so swali Linakuja kama Bado inatumika hiyo Njia then alikuja kufanya nini na akawa kafara!...

Na hakuna kitu kama kuokoka Duniani Mkuu
jibu la kwamba alikuja kufanya nini,rejea maana ya neno Immanuel,yaani Mungu pamoja nasi.
lengo la ujio wake ni kuja kuufunulia ulimwengu,Mungu ni nini,ana hulka na haiba gani.
ndio maana hata,sheria za sabato ni kama alikuja kuzifafanua na kuwaelewesha zaidi watu,ili wajue Mungu sio mgumu wa sheria namna hiyo,ila ni wa upendo na ushawishi.

leo hii kwa upendo tulioonyeshwa na Mungu kupitia Yesu,tunaiona thamani yetu kwake,kuliko kuishia kusoma maagizo tu na kujichukulia ni kama mifugo mbele yake ambao tunatakiwa kutii kwa lazima anachotuagiza,lakini Yesu anakuja kutujuza kumbe Mungu anatushawishi.
 
Back
Top Bottom