Mikasa iliyotokea kipindi wanaigiza filamu za Yesu

Si kwa sababu walifanya filamu zao msimu wa mvua na baridi?
 
Hapo ndipo wanapochanganya na kuona wakristo wanakufuru wakati ni imani tofauti.

YESU NI MUNGU.
During filming, he was struck by lightning, scourged by accident, dislocated his shoulder, and suffered from pneumonia and hypothermia. Prior to filming, Gibson reportedly warned Caviezel that playing Jesus in his
 
Ally Hassan Mwinyi na Hussein Mwinyi
 
Titanic (1997)
Achana na Titanic... Filamu ya Yesu ya mwaka 1979 ndio inaongoza kwa kutazamwa zaidi Duniani

Titanic ilikuwa inashikiliwa record ya filamu yenye mauzo makubwa, ila badae 2010 Movie ya AVATAR ikapindua na kuvunja record ya Titanic na kuifanya AVATAR kuwa ndio filamu yenye mauzo ya juu zaidi.

Jua kutofautisha Filamu kutazamwa zaidi na Filamu kuuza zaidi... Hivyo ni vitu viwili tofauti.

Filamu ya YESU ya mwaka 1979 imetazamwa karibia Duniani kote, na bado inazidi kutizamwa
 
Inategemea na chanzo chako, kuna mahali

inaonyesha AVATAR ndio inaongoza
Jua kutofautisha Filamu kutazamwa zaidi na Filamu kuuza zaidi... Hivyo ni vitu viwili tofauti.

Filamu ya YESU ya mwaka 1979 imetazamwa karibia Duniani kote, na bado inazidi kutizamwa. Titanic ilikuwa inashikilia rekodi ya mauzo makubwa ya filamu ila badae AVATAR ikavunja record ya Titanic.

Lakini filamu ya YESU ya mwaka 1979 bado inashikilia rekodi ya kutizamwa mara nyingi Duniani. Hizo Titanic sijui Avatar hazifikii rekodi ya movie ya Yesu
 
Weka source inayoonyesha hiyo ni the most watched movie of all the time,
 
Kupitia filamu hii ya mwanzo iliokoa mamilioni ya watu ulimwenguni wamgeukie Yesu.
So ilikuwa ni mitihani ya shetani ili isifanikiwe kutoka.
Jesus filamu ndio za mwanzo zilizogusa hisia za mamilioni ya watu ulimwenguni
 
Weka source inayoonyesha hiyo ni the most watched movie of all the time,

anzia mtaani kwako,achana na source za google labda kusoma kiingereza kikakuchanganya.

uliza watu kadhaa,dini tofauti wangapi wameangalia avatar,na wangapi wameangalia mkanda wa Yesu.

utaelewa unachoambiwa.hiyo ni kama biblia.
ndicho kitabu ambacho kimetolewa copy nyingi zaidi kuliko vyote duniani kwa mbali,lakini sina uhakika katika kuuzwa maana sehemu nyingi kimetolewa kama zawadi.
angalia ktk rates iko no 10,lakini ndio pekee yenye melezo maalum.
 
Fikiria vizuri kabla ya kumuita Yesu kuwa ni Mungu
Mungu anaukuu wa hali ya juu na hafanishwi na kitu chochote!

Mungu umemjulia wapi au unasimuliwa tu!?

sisi tunamjua kupitia Yesu kristo,nyie mnaye wa kwenu wa imagination,asiyelala,asiyechoka,asiyekufa ila anakasirika na kufurahi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
YESU ni MUNGU

Hiyo Mikasa ni ishara ya kuwa hafananishwi na chochote.
Bora hata wewe unaesema yesu ni mungu wako, sasa kuna wengine hata mungu wao tu hawamjui wanasema wataenda kumuona wakifa, yaani usimuone mungu ukiwa hai then ukamuone ukiwa umezikwa kaburini[emoji3][emoji3]
 
Bora hata wewe unaesema yesu ni mungu wako, sasa kuna wengine hata mungu wao tu hawamjui wanasema wataenda kumuona wakifa, yaani usimuone mungu ukiwa hai then ukamuone ukiwa umezikwa kaburini[emoji3][emoji3]
Kwani wewe mwenzetu Mungu ulimuona wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…