StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Siyo Mwanzo ni YOHANA 1:1-14Soma Mwanzo 1:1-14...
Hapo mwanzo kulikuwa na neno naye neno alikuwa kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Mwanzo ni YOHANA 1:1-14Soma Mwanzo 1:1-14...
Hapo mwanzo kulikuwa na neno naye neno alikuwa kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu..
Hapo ndipo wanapochanganya na kuona wakristo wanakufuru wakati ni imani tofauti.
YESU NI MUNGU.
Kumbe mara nyingine Mungu wenu huwa anauvaa ubinadamu na huyo huyo mwasema hafananishwi!?Subiri waje wakuulize , Mungu anazaliwa ? Mungu anakubali kufa kizembe bila kujitetea?
Yesu ni Mungu kamili ila tu alipovaa mwili wa kibinadamu akaonekana ni binadamu kamili.
Tunajuje kama imetizamwa zaidi bila kuuzwa zaidi?Achana na Titanic... Filamu ya Yesu ya mwaka 1979 ndio inaongoza kwa kutazamwa zaidi Duniani
Titanic ilikuwa inashikiliwa record ya filamu yenye mauzo makubwa, ila badae 2010 Movie ya AVATAR ikapindua na kuvunja record ya Titanic na kuifanya AVATAR kuwa ndio filamu yenye mauzo ya juu zaidi.
Jua kutofautisha Filamu kutazamwa zaidi na Filamu kuuza zaidi... Hivyo ni vitu viwili tofauti.
Filamu ya YESU ya mwaka 1979 imetazamwa karibia Duniani kote, na bado inazidi kutizamwa
Inahusiana nn na yesuSoma Mwanzo 1:1-14...
Hapo mwanzo kulikuwa na neno naye neno alikuwa kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu..
YESU NI MUNGU.
Filamu ya Yesu haikutengenezwa kibiashara kwa ajili ya kuuzwa bali ilikua ni mission ya kutangaza Injili ...ndiomana huko vijijini watu huwa wanakusanyika kuangalia sinema ya Yesu free of chargeTunajuje kama imetizamwa zaidi bila kuuzwa zaidi?
Mkuu Yesu siyo Mungu ila ni mwana wa Mungu.Unataka ushahidi wa kimaandiko?YESU ni MUNGU
Hiyo Mikasa ni ishara ya kuwa hafananishwi na chochote.
Hivi ni mtangazaji gani aliyetafsiri filamu ya Yesu kwa Kiswahili...jamaa alitisha sana aiseeHaikuwa kazi nyepesi kuigiza movie za Yesu. Songombingo lilianza katika ile scene ya msalabani. Scenes zote ilikuwa rahisi sana isipokuwa ile ya msalabani.
Kwenye ile movie ya mwaka 1979 ya Yesu iliyoigizwa na Decon, Brian Deacon anasimulia kwenye interview kuwa wakati wa scene ya msalabani haikuwa nyepesi kuigizwa kwani walikumbana na dhoruba kubwa la radi kiasi cha kushindwa kuigiza hivyo wakasubiri siku inayofuata. Haikubadilika, Hali ilitulia lakini baada ya Decon kuwekwa msalabani upepo mkali ulivuma, lakini hawakukata tama. Movie ya yesu ya Brian Deacon ndio movie mpaka sasa inayoshikilia rekodi ya Dunia ya kutazamwa mara nyingi na pia inashikilia rekodi ya movie iliyotafsiriwa kwenda lugha mbalimbali Duniani. Movie hii ilichezewa huko katika milima ya nchini Israel. Na mpaka leo hii Director (Muongozaji) wa filamu huyo hajulikani ni nani. Na baadhi ya waigizaji walishafariki na muigizaji mkuu aliyeigiza kama Yesu sasa ana takribani miaka 75 mwaka huu 2024.
Mikasa Haikutokea kwao tu kina Deacon bali hata kwenye movie ya Passion of Christ ya 2004, Muandaaji wa hiyo filamu, Mel Gibson alielezea songombingo la namna hiyo, walisitisha kuigiza filamu hiyo kwa siku tatu mfululizo kutokana na radi za mara kwa mara zilizoibuka tu na tetemeko la ardhi, anasema hata Jim Caviezel aliyeigiza kama Yesu alinusurika kuuwawa na radi. Pia alikumbwa na magonjwa mbalimbali ya mapafu ikiwemo Pneumonia, pamoja na kuishiwa joto la mwili. Filamu hiyo iliigizwa huko Italia katika kipindi cha majira ya baridi kali.
Ona hiyiAchana na Titanic... Filamu ya Yesu ya mwaka 1979 ndio inaongoza kwa kutazamwa zaidi Duniani
Titanic ilikuwa inashikiliwa record ya filamu yenye mauzo makubwa, ila badae 2010 Movie ya AVATAR ikapindua na kuvunja record ya Titanic na kuifanya AVATAR kuwa ndio filamu yenye mauzo ya juu zaidi.
Jua kutofautisha Filamu kutazamwa zaidi na Filamu kuuza zaidi... Hivyo ni vitu viwili tofauti.
Filamu ya YESU ya mwaka 1979 imetazamwa karibia Duniani kote, na bado inazidi kutizamwa
Yesu kabla ya kuja duniani alikuwepo mbinguni kama kiumbe wa roho,na yeye ndio kiumbe wa kwanza kabisa kuumbwa kabla ya kitu chochote kile,Methali(Mithali)8:22-31,baada ya Yesu kuumbwa yeye pia alikuwa anashirikishwa katika kazi ya uumbaji,kama hiyo mistari ilivyoeleza Yan alikuwa msaidizi, ndiomaana Kuna mistari inayosema "Tumfanye mtu Kwamfano wetu" hapo Mungu alikuwa anamwambia Yesu,,lakini pia Mungu hawezi kufa ila Yesu alikufa siku3,,soma hapa kidogo Yohana20:17 'Yesu akamwambia acha kuning'ang'ania,kwamaana Bado sijaoanda kwenda kwa Baba.Lakini nenda kwa ndugu zangu,nawe uwaambie,Ninapanda KWENDA KWA BABA YANGU NA BABA YENU na kwa MUNGU WANGU NA MUNGU WENU"Soma Mwanzo 1:1-14...
Hapo mwanzo kulikuwa na neno naye neno alikuwa kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu..
Ni kweli Yesu sio Isa,maana Yesu alikufa na kufufuka lakini Isa hakufa na kufufuka,halafu Yesu ndiye Kristo au Masihi lakini Isa siyo Kristo Wala masihiAlafu YESU sio ISSA
Akili kisoda....nyinyi ndo mnaowaita wazazi ni miungu..!!YESU ni MUNGU
Hiyo Mikasa ni ishara ya kuwa hafananishwi na chochote.
Luka 18
19 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema ila Mungu peke yake.
Yohana 17
3 Na huu ndio uzima wa milele: wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli, nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma.
Mathayo 27:46
Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Andiko lipo linaloonesha yesu ni Mungu, wakiristo wamegawanyika,wapo wanaamini yesu Mungu na wapo wanaamini ni mwana wa Mungu,na wote wapo sahihi kwa mujibu wa bibliaFikiria vizuri kabla ya kumuita Yesu kuwa ni Mungu
Mungu anaukuu wa hali ya juu na hafanishwi na kitu chochote!