Mikasa/vituko vya lodge

Tulivamiwa aisee sitakaa nisahau ile siku mpk leo nina phobia ya kulala hotel au lodge ambazo sio za ghorofani,yani nahisi ghorofani nipo safe. Hilo tukio lilitufanya tusiachane mpka leo.
Ndo bado anakugegeda daily huyo huyo??
 
Pamodzi ilikufa mzee nimeruka sana hpo majoker
 
Kuna trip nlikua naenda katoro nikapata emejeosi mitaa ya busanda,,nkaona kwakua mm ni mtanzania acha nilale hata hapa..
Nilichukua rum gest(naweza kuita ni gest bubu)..

Muda wa kulala ulivofika nasikia chini ya godoro kuna kama mchakacho iv,ile kufunua naku condom used,pakti za sigara,chupi za malaya,pedi zakutosha dah..nililala kwa mawenge sana
 
Aisee baadhi ya watu ni wachafu/hawana kinyaa[emoji706]. Ungewabamba wangesafisha
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna hii moja temeke 2016 huko yombo dovya nimezama lodge na mtoto mlito kwenye purukushani huku na huku kumbe wakat napiga game heavy na yule demu anakaribia kukojoa

Chini ya kitanda wamejaa kunguni wengi balaa sasa ile mishe mishe ya kitanda ni kama tumewachokoza aisee wakaanza kutoka sasa baba ako ikabd nizuge kama siwajui kwa sabb yule demu kwao mambo safi wakishua sana imagine mtoto alikuwa advance level marian Girls kunguni yeye anawasoma kwenye kitabu ajawai meet nao fiscal nikikumbuka huwa nacheka sana[emoji3]
 
bila shaka ni kagame hotel hii
 
Harrison Mwakyembe ni nini Mkuu?
 
[emoji16][emoji16]Pole sana mkuu, kama tulikukwaza! Wala hata hatukuwa mbali, tulikuwa kwenye kona moja ya nyumba tunakucheki tu unavyohaha [emoji28][emoji28] Ulivyoondoka, na sisi tukaanza safari twaratwiibu! Kelsea tulimkera sana mhudumu[emoji1787]
 
Lodge za bongo za kisenge[emoji3][emoji3]unaingia saa 10 usiku, unagongewa mlango asubuhi saa 4 unaambiwa muda wako umeisha, sijui lodge bongo wamekariri ni sehemu ya kunyanduliana[emoji3][emoji3]
Mi kuna siku nimebook hotel saa 10 jioni, nikaingia pale saa 6 usiku, wakanambia natakiwa toka kesho kutwa yake ingekuwa hizi lodge zetu hakika kesho saa 4 wangegonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…