Mikasa/vituko vya lodge

Hii dunia ..ukisema hapa sasa nimemaliza doh. Vinaibukaa vipyaaa sasa hii ni aina gani sijui ya starehe..
 
Nice men finish last

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji851][emoji851]mkuu hukuwa na option nyingine ? Mm kabla sijalipia lodge/hotel lazima nimuambie mhudumu anionyeshe chumba kwanza nijiridhishe ,,,,

Kutokana na lifestyle niliyokuwa nayo enzi hizo hapo palikuwa Poa tu. Hata hivyo Nilikuwa naenda kulala tayari Nina viroba si chini ya vitano kichwani achana na za mchana.
 
Nilikuwa lodge siku moja na demu wangu baada ya kumtomba kama goli tatu hivi .. tukawa tunajiandaa kuondokaa ghafla chumba cha jirani wakaanza kulana yule manzi anapiga kelele za hatari anamuomba mchizi amkojolee!!! ”” Isa nikojolee jmn..isa nikojolee !!!nikojolee”” dah nikamgeukia manz wangu nikamwambia mama tuendelee !
 
Shenzi nyie[emoji1787]
 
Hii ilinikuta siku ya kwanza naenda kupewa tunda na shemeji yenu, tukaingia lodge fulani maeneo ya msamvu, nimechakata mpaka inafika saa nane usku tupo hoi tukaamua tupumzike sas maana ilifika wakat bao nikawa nalihisi tu hakuna kinachotoka.

Ile usingizi unaanza akaingia jamaa na demu tunawasikia wanavopita kordoni mpaka room kama robo saa hvi shughuli ikaanza huko, yule demu alikua analia aiseee na jamaa alikua anakita kwelikweli maana guest nzima n zile kelele za pa pa pa pa pa na kilio cha demu, ilifika wakat mpaka unahis huyu demu anaumia kweli sasa maana sio kwa zile unaniumiza na mama nakufa.

Bwana boloyank sijui alipata wapi zile nguvu akachachamaa kwa zile kilele za majirani game ikaanza upya tukaja kulala alfjiri tena

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Ndio shida ya mapenzi ya utotoni. Yaani mmepata ujasiri kuingia guest na mmelipa lakini mnaogopa kuingia room
 
Wewe jamaa bangi Sana hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…