Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Riverside Mikasa iko chini ya level yangu. Nitakwenda Mombasa kuona mijitu ikifanyana kwenye casino ndani ya casino.
Yaani ndani ya casino Kuna kule ndaani ndani wanakokaa wazee ambao Wana nguvu duni za kiume lakini wanataka waone vijana wanavyofanya ili nao labda huenda ninihii zikastuka.
Najua Hawa wa Dar hawawezi kuchukua hotel za Sinza ambazo ndio saizi yangu.
Hii dunia ..ukisema hapa sasa nimemaliza doh. Vinaibukaa vipyaaa sasa hii ni aina gani sijui ya starehe..
 
Ila tuache utan huwa ni raha na ushindi wa nafsi kwa mwanaume asiye mlafi wa k. kumhudumia mwanamke anayejiona ni pisi na usimwombe kitu hata namba!
Si lazma kila fursa uitumie kungonoka Kisa pesa imekutoka!
Wakat anadhan amekuchuna we uko huru ukijua umesaidia tu.
Nadhan ndo hao tunaitwa gentlemen.

......LIVE RESPONSIBLY! SEX RESPONSIBLY!
Nice men finish last

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji851][emoji851]mkuu hukuwa na option nyingine ? Mm kabla sijalipia lodge/hotel lazima nimuambie mhudumu anionyeshe chumba kwanza nijiridhishe ,,,,

Kutokana na lifestyle niliyokuwa nayo enzi hizo hapo palikuwa Poa tu. Hata hivyo Nilikuwa naenda kulala tayari Nina viroba si chini ya vitano kichwani achana na za mchana.
 
Nilikuwa lodge siku moja na demu wangu baada ya kumtomba kama goli tatu hivi .. tukawa tunajiandaa kuondokaa ghafla chumba cha jirani wakaanza kulana yule manzi anapiga kelele za hatari anamuomba mchizi amkojolee!!! ”” Isa nikojolee jmn..isa nikojolee !!!nikojolee”” dah nikamgeukia manz wangu nikamwambia mama tuendelee !
 
Nilikuwa lodge siku moja na demu wangu baada ya kumtomba kama goli tatu hivi .. tukawa tunajiandaa kuondokaa ghafla chumba cha jirani wakaanza kulana yule manzi anapiga kelele za hatari anamuomba mchizi amkojolee!!! ”” Isa nikojolee jmn..isa nikojolee !!!nikojolee”” dah nikamgeukia manz wangu nikamwambia mama tuendelee !
Shenzi nyie[emoji1787]
 
Nilikuwa lodge siku moja na demu wangu baada ya kumtomba kama goli tatu hivi .. tukawa tunajiandaa kuondokaa ghafla chumba cha jirani wakaanza kulana yule manzi anapiga kelele za hatari anamuomba mchizi amkojolee!!! ”” Isa nikojolee jmn..isa nikojolee !!!nikojolee”” dah nikamgeukia manz wangu nikamwambia mama tuendelee !
Hii ilinikuta siku ya kwanza naenda kupewa tunda na shemeji yenu, tukaingia lodge fulani maeneo ya msamvu, nimechakata mpaka inafika saa nane usku tupo hoi tukaamua tupumzike sas maana ilifika wakat bao nikawa nalihisi tu hakuna kinachotoka.

Ile usingizi unaanza akaingia jamaa na demu tunawasikia wanavopita kordoni mpaka room kama robo saa hvi shughuli ikaanza huko, yule demu alikua analia aiseee na jamaa alikua anakita kwelikweli maana guest nzima n zile kelele za pa pa pa pa pa na kilio cha demu, ilifika wakat mpaka unahis huyu demu anaumia kweli sasa maana sio kwa zile unaniumiza na mama nakufa.

Bwana boloyank sijui alipata wapi zile nguvu akachachamaa kwa zile kilele za majirani game ikaanza upya tukaja kulala alfjiri tena

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Gesti mmh siwezagi kusimuliaga hapana ila ninachoweza kusema nilikuwa na mzimikia mwanaume mmoja hivi nikashangaa hanipapatiko nikasema ngoja nijitahidi manjonjo kwenda naye guest nilijuta kupenda watu bila yakuwajua yaani mashine kama kidole basi ikabidi tuangaliane na hadi naleo tuliachana naitakuwa mkewe wanamsaidia

Kingine nilicheka sana siku hiyo tulieenda lodge nzuri tu mie na kipenzi changu . Sasa tulipoenda ile anza kwenda chumbani anza weee kwa aibu kidogo yule maza wa counter katuaibisha hebu chukueni kinga muende mkafanyane kwani munamuogopa nani hapa naumelipa chumba dah hatari tokea hapo niliamua kutulia zangu nakama nimpenzi wangu kama hana geto aache tu
Ndio shida ya mapenzi ya utotoni. Yaani mmepata ujasiri kuingia guest na mmelipa lakini mnaogopa kuingia room
 
Nilifika Njombe, kutoka nilikotoka. Nikachukua chumba. Ilikuwa kama saa 6 mchana. Kufika saa 10 hivi nikapata usafiri kwenda nilikopanga kuelekea.

Nikamwomba mhudumu anirudishie japo nusu ya bei ya chumba. Alikataa katakata.

Niliiingia chumbani, nilivua foronya ya godoro, sambaratisha vitu hovyohovyo. Niligeuza kitanda upside down na chaga weka kule. Mashuka nilifutia viatu kisha nikayanyagakanyaga.

Nilibeba begi nikaaga kwa mhudumu kisha nikasepa zangu nikiwa na uhakika kuwa atapata kazi kurudishia chumba katika hali ya awali. [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Wewe jamaa bangi Sana hahahahaha
 
No 5[emoji378]
JamiiForums1821098343.jpg
 
Back
Top Bottom