Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
[emoji23][emoji23][emoji23] Wewe Antonnia lini mi nilikua mdogoWee Antonio sikuhizi ndio umekua kiasi hikiii lol[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]!
Inaonekana wanapenda mijegeje sanaNdio mkuu, wana chuchu konzi na mikia ya maana.
Noma mkuu... wasandawe hawavumi lakini wamo yani ukiona hizo pisi za huko, huwezi amini kama ndio wale tunaowaonaga kwenye "THE GODS MUST BE CRAZY" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alafu nyuchi zinanukia ile harufu yake natural[emoji39][emoji39]
Daaa, si mchezo inaonekana jamaa ni tabia yake tangu utotoKatika harakati za kutafuta maissha nikajikuta nipo ifakara [emoji3][emoji3]
nimepumzika lodge na mtoto kumbe dirishani kuna mtu anakula chabo, taa ilikuwa inawaka basi nikaizima na kurekebisha pazia na kisha nikaacha pazia mahali lipo wazi.
Chumbani kuna jagi la umeme la kichemsha maji nikachemsha nikaingia bafuni kama naoga,
Nikapanda juu ya choo cha kukaa na na kuchungulia kwa nje kwenye kadirisha kadogo ambako halana wavu wala nondo nikamuona yule jamaa aliekuwa akipiga chapo akiwa ameweka ndala chini kapiga magoti Akiendelea kula chabo.
nilimimina maji ya moto kwenye kikombe cha kuogea na kumwagia jamaa mgongoni
Jamaa alipiga kelele za hatari [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watu wote wa ule upande nilio lala wakaamka
2013,,Nlikua na tempo pale halmashauri, kipindi nasubiri matokeo niende chuo !Mkuu mwaka gani iyo ..
Nilikua kwiro pale 2007-2010.. tumepanda sana mafuso..
Mabasi machache afu kipindi cha mvua hayaendi. Nakumbuka moro best na ile chimpanzee [emoji2]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣![emoji23][emoji23][emoji23] Wewe Antonnia lini mi nilikua mdogo
kimbunga alikuja 2009, kabla alikuwepo mwingira.
Yule kimbunga hatatusahau, kuna siku tulileta mgomo akakimbilia
😂😂😂[emoji23][emoji23] kimbunga alikuja 2009, kabla alikuwepo mwingira.
Yule kimbunga hatatusahau, kuna siku tulileta mgomo akakimbilia polisi.
Aisee nilishawahi kuwabeba nikapeleka kwangu. Nilipata shida sana na ilinichukua kipindi kirefu sana kuwaagamiza.Htr Sana, unaweza kuwabeba na kuwapeleka Kwako
AiseeeMazingira ya baridi kali ukimwi uwa ni wa kugusa
Kazi kweli kweli chief! Tena bora huyo, kuna wengi tu hawajui kusoma na kuandika kabisaa.Serikali ina kazi sana kusababisha Taifa liwe la waliosoma
Wanakera sana nawazoom tu, ujinga ujinga tu umewajaa, sisi tunataka vituki vya lodge wao wanaleta habari za mahenge sijui agness utumbo mtupu. Wapelekane PM huko kama hawana shuhuda wutulie. WanaboaUzi umeingiliwa na masela wanaomchatisha binti aliyewahi kuishi mahenge kwa dada yake. Tunawazoom mnavyopambana kumchatisha ili mpate kumla kimasihara.
Ikiwapendeza tungeomba mmalizane PM ili na sie tushushe shuhuda zetu za vituko vya lodge kama uzi unavyojieleza.
Naomba kuwasilisha [emoji1666]
Ghaiiii 😂😂Kuna watu hamna akili na mnaonyesha n jinsi GANI uelewa kwenu n mdogo yan ujinga umewatawala alafu kuna mwingine kila Uzi lazima alete kujuana na watu.
ELEKEZO - elewa mada husika changia kama mada inavyosema huna cha kuchangia Kaa kimya mambo ya kijinga ya kujuana na kukumbushana ujinga wenu angalia juu ya simu Yako kulia kuna kibahasha bonyeza hicho na umwandikie huo ujinga mwenzako.
Hadi kwenye uzinifu mnamuomba Mungu?Kipindi hicho anazivuta kama zina spring. Kimoyo moyo naombq Mungu anitoe salama humo ndani.
Utastaajabu hata muuaji kabla ya kuua huomba Mungu.Hadi kwenye uzinifu mnamuomba Mungu?
mambo yako hayo uyapendayoAlafu nyuchi zinanukia ile harufu yake natural[emoji39][emoji39]
Hiyo ipo Bagamoyo Stela Maris Hotel kulala 100k na ukiwa na mtu wako ni 170k.Tulienda ukerewe 2018 kwenye ishu flan kama group hv, bahati mbaya siku tuliyofika kulikuwa na ziara ya uncle Magu, lodge na guest zote kwa pale mjin zilikuwa zimejaa, zunguka kila sehemu holaa.
Baadae kabisa tukapata moja inaonekana ya muda mrefu sana, kuulizia bei elfu 3, ikabidi tulipie kibishi tu tukalala room moja watu watatu muhudumu alitutafutia na godoro tukaweka chini ili tutoshe, toilet ni ya nje, mlango wa kuhamisha, ukiingia unauegesha mlangon ukimaliza unauweka pembeni.
Nyingine ni Arusha, lodge inaangaliana na hospital ya selian ile ya pale town, ipo classic kabisa ina had cctv, walinishangaza tu nimeuliza bei wakaniambia ukilala mwenyewe 40k, ukilala na mtu 50k, sijawah kuikuta sehemu zote nilizotembea hyo...
Nilikuwa mwezi wa kumi Ludewa kidogo guest nzuri wamejenga na barabara imepgwa lami bado kidogo wamalize, stendi ipo vilevile, wakat wa kurudi nilipita manda, lituhi ziwani uko then nikaibukia songeaBor umenikumbusha trip yangu ya Njombe, mieenda ile wilaya inapakana na Nyasa sjui ni Ludewa skumbuki vizuri. Nimefika njombe mjini late nikaulizia nawezaje kufika huko wakaniambia gari ya mwisho ndo inaondoka hivyo wahi. Mwanaume fasta nikadaka mchuma tumesafiri barabara mbovu then inapita milimani hadi tunafika ni saa sita alafu hata stand yenyewe haieleweki.
Nikamchukua boda tukaanza kutafta hotel au lodge, zote zikawa zimejaa plus wengine hakutaka kufungua mlango kutusikiliza. Baada ya mzunguko sana tukapata lodge. Ile napanda kitandani naskia harufu kari kuangalia vizuri ni blanket alafu kulikuwa na baridi hatari, ikabidi nilitoe nje bado net nayo ikawa inatema.
Loooh niliomba kukuche haraka, na ilibidi nipige mishe zangu fasta na zingine kulazimisha ile nitoke kule
Pumba?Linapokuja swala kuomba Mungu hilo daima huwa ni la Mola na muumba wake, maana hata Mungu alisema ni yeye pekee anaemjua zaidi mbora baina yetu. Hivyo sheikh/askofu hukumu tumuachie maulana.