Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Hahah long long memory best !!!!!!

Mlima unaitwa ndororo!

Kipindi nilimaliza six, nilipata tempo flani huko,,,, ! Dah! Maisha ya kule achaaa !!!!!! Naikumbuka mitaa ya mahenge , nawenge,,, uponera n.k!


Mabus ya huko kipnd hicho Ni Moro best ,,, alsaedy na kidinilo ndo zinaingia ingia !!! [emoji2][emoji2][emoji1]!


Samaki wa motooo na ndz kivukoni pale,,,, Bei maandazi kabisa [emoji2][emoji1][emoji2]
Mkuu mwaka gani iyo ..

Nilikua kwiro pale 2007-2010.. tumepanda sana mafuso..

Mabasi machache afu kipindi cha mvua hayaendi. Nakumbuka moro best na ile chimpanzee [emoji2]
 
Mkuu mwaka gani iyo ..

Nilikua kwiro pale 2007-2010.. tumepanda sana mafuso..

Mabasi machache afu kipindi cha mvua hayaendi. Nakumbuka moro best na ile chimpanzee [emoji2]
Kipindi hicho nasoma pale KWIRO HIGH SCHOOL 2008--2010 nilikuwa naogopa sana pale kivukoni na ule mlima Ndololo ,ila kipindi nasoma pale vijana wengi walikuwa na videmu ST.AGNES SEKONDARI na REGNAMUND ila kuna mwanafunzi tulikuwa tunasoma darasa moja ,alikuwa anasoma HKL alimpa mimba mwalimu mmoja ,mwalimu KIMBUNGA akasuspend mpaka siku ya mtihani wa Taifa
 
Juzi tumesafiri watu sita kwenda huko Singida ndani ndani kuna sehemu inaitwa Londoni. Imefika muda wa kulaza ubavu tukaona tutafute guest house tutulie, ila ndio tukakutana na kituko hiki. Na kiukweli hatukuwa na namna ikabidi tulipe elfu 8 kwa kila chumba.

NB: Na kimasihara ikatokea na nikala kama kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2495618View attachment 2495620View attachment 2495622View attachment 2495623View attachment 2495624View attachment 2495625
Duuh mademu wa huko ni wale wa kienyeji kabisa
 
Kipindi hicho nasoma pale KWIRO HIGH SCHOOL 2008--2010 nilikuwa naogopa sana pale kivukoni na ule mlima Ndololo ,ila kipindi nasoma pale vijana wengi walikuwa na videmu ST.AGNES SEKONDARI na REGNAMUND ila kuna mwanafunzi tulikuwa tunasoma darasa moja ,alikuwa anasoma HKL alimpa mimba mwalimu mmoja ,mwalimu KIMBUNGA akasuspend mpaka siku ya mtihani wa Taifa
[emoji23][emoji23] kimbunga alikuja 2009, kabla alikuwepo mwingira.

Yule kimbunga hatatusahau, kuna siku tulileta mgomo akakimbilia polisi.
 
Ile ya mzee Samwel mwenyewe ya mwishoni kabisaa et ndio ilikuwa inaonekana nzuri kuliko zote kwa Shirima, japo kwanzia hapo Hungumalwa ,Mwamashimba, na Shirima kuna umalaya utadhani sio kijijini duuuh
Malori ndio maana. Hungumalwa yanasimama sana.
 
[emoji23][emoji23] kimbunga alikuja 2009, kabla alikuwepo mwingira.

Yule kimbunga hatatusahau, kuna siku tulileta mgomo akakimbilia polisi.
Vujana wa Kwiro mlikuaga wakorofi huo mgomo niliusikiaga! Afu mlikua huru sana mnaachiwa sana pale sijajua sikuhizi!
 
Back
Top Bottom