Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Dah kuna gesti nililala Masumbwe mbele kidogo ya kahama hazina cilling board alafu kuta fupi jamaa chumba cha pili aliopoa limdada lina makalio alafujamaa kama njiti mungu sikulala jamaa alikuwa anapiga mzigo dada analia kwanguvu mpaka mashine inasimama niliteseka sana.Alisababisha nimtamani huyo dada asubuhi
Ikawaje mkuu,,,,ulimuungia auu
 
Juzi tumesafiri watu sita kwenda huko Singida ndani ndani kuna sehemu inaitwa Londoni. Imefika muda wa kulaza ubavu tukaona tutafute guest house tutulie, ila ndio tukakutana na kituko hiki. Na kiukweli hatukuwa na namna ikabidi tulipe elfu 8 kwa kila chumba.

NB: Na kimasihara ikatokea na nikala kama kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2495618View attachment 2495620View attachment 2495622View attachment 2495623View attachment 2495624View attachment 2495625
Hapa mliupalamia mtumbwi
 
Katika harakati za kutafuta maissha nikajikuta nipo ifakara [emoji3][emoji3]

nimepumzika lodge na mtoto kumbe dirishani kuna mtu anakula chabo, taa ilikuwa inawaka basi nikaizima na kurekebisha pazia na kisha nikaacha pazia mahali lipo wazi.

Chumbani kuna jagi la umeme la kichemsha maji nikachemsha nikaingia bafuni kama naoga,

Nikapanda juu ya choo cha kukaa na na kuchungulia kwa nje kwenye kadirisha kadogo ambako halana wavu wala nondo nikamuona yule jamaa aliekuwa akipiga chapo akiwa ameweka ndala chini kapiga magoti Akiendelea kula chabo.

nilimimina maji ya moto kwenye kikombe cha kuogea na kumwagia jamaa mgongoni

Jamaa alipiga kelele za hatari [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watu wote wa ule upande nilio lala wakaamka
Hahaha!!
 
Juzi tumesafiri watu sita kwenda huko Singida ndani ndani kuna sehemu inaitwa Londoni. Imefika muda wa kulaza ubavu tukaona tutafute guest house tutulie, ila ndio tukakutana na kituko hiki. Na kiukweli hatukuwa na namna ikabidi tulipe elfu 8 kwa kila chumba.

NB: Na kimasihara ikatokea na nikala kama kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2495618View attachment 2495620View attachment 2495622View attachment 2495623View attachment 2495624View attachment 2495625
Huko kuna machimbo na hizo ndo lodge zao[emoji23][emoji23].... sema kuna pisi za kisandawe acha kabisa wana mikia sana
 
Hahah long long memory best !!!!!!

Mlima unaitwa ndororo!

Kipindi nilimaliza six, nilipata tempo flani huko,,,, ! Dah! Maisha ya kule achaaa !!!!!! Naikumbuka mitaa ya mahenge , nawenge,,, uponera n.k!


Mabus ya huko kipnd hicho Ni Moro best ,,, alsaedy na kidinilo ndo zinaingia ingia !!! [emoji2][emoji2][emoji1]!


Samaki wa motooo na ndz kivukoni pale,,,, Bei maandazi kabisa [emoji2][emoji1][emoji2]

Me niliajiriwa kama ticha Nawenge aisee nilifanya kazi mwaka mmoja nikaahangaika uhamisho ukahoma nikaacha kazi

Ila nakumbuka mitaa ile kitimoto bei chee aisee [emoji23] nilikuwa na kadem nesi nilikuwa natiana nako popote mpk migombani [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Me niliajiriwa kama ticha Nawenge aisee nilifanya kazi mwaka mmoja nikaahangaika uhamisho ukahoma nikaacha kazi

Ila nakumbuka mitaa ile kitimoto bei chee aisee [emoji23] nilikuwa na kadem nesi nilikuwa natiana nako popote mpk migombani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kitimoto Bei poa sana huko, kule sokon karibu na ule uwanja Kuna vibanda vimefatana wanauza ,,,,,

Nawenge sec, naikumbuka, kule maisha magumu mzunguko wa hela mdogo sana !

Kuna ukumbi unitwa UDEKO unaukumbuka, ndo kiwanja chao maarufu enzi hizo madisko karbia kila weekend! kuna katempo nilikuwa nafanya pale halmashauri, sasa siku nikakutana night disko na madam mfanyakaz wa hapo halmashauri mkubwa kwangu kimtindo nikaenda kula mzigo gizan gizan huko [emoji2][emoji1]

Mda Sana sijawahi kwenda huko kabla hata hawajaweka daraja pale kivukoni
 
Tena bora hata mashuka na mataulo wengi wanajitahidi kufua ila mabranketi mteja akitoka linaanikwa tu juani ili jasho likauke na ile harufu ipungue then linakunjwa na kurudishwa kitandani
Bor umenikumbusha trip yangu ya Njombe, mieenda ile wilaya inapakana na Nyasa sjui ni Ludewa skumbuki vizuri. Nimefika njombe mjini late nikaulizia nawezaje kufika huko wakaniambia gari ya mwisho ndo inaondoka hivyo wahi. Mwanaume fasta nikadaka mchuma tumesafiri barabara mbovu then inapita milimani hadi tunafika ni saa sita alafu hata stand yenyewe haieleweki.

Nikamchukua boda tukaanza kutafta hotel au lodge, zote zikawa zimejaa plus wengine hakutaka kufungua mlango kutusikiliza. Baada ya mzunguko sana tukapata lodge. Ile napanda kitandani naskia harufu kari kuangalia vizuri ni blanket alafu kulikuwa na baridi hatari, ikabidi nilitoe nje bado net nayo ikawa inatema.

Loooh niliomba kukuche haraka, na ilibidi nipige mishe zangu fasta na zingine kulazimisha ile nitoke kule
 
Huko kuna machimbo na hizo ndo lodge zao[emoji23][emoji23].... sema kuna pisi za kisandawe acha kabisa wana mikia sana
Exactly chief bila shaka unapajua..... mie kuna moja ikanielewa yenyewe ikanitunuku kimasihara. [emoji1][emoji1][emoji1]
Screenshot_20230126-074722_Messages.jpg
 
Hivi ile njia ya kwenda ulanga ule mlima walishaurekebishaga???? lol Moro best kitambo sana mahenge ile milima milima na mawe tu[emoji119][emoji119]! Nimekumbuka samaki na ndizi za pale kilombero kivukoni kumbe sikuhizi ndio mnaita darajani duhh kitambo sana!

Pindi nimemaliza four huku nasubiria majibu nipo mahenge nilikuaga na kiboy kilikua six kwiro boys lol![emoji16][emoji16]
Sasa hivi una lami kuanzia chini tatizo pembamba sana kupishana na gari kubwa mtihani...kimtindo haswa wkt wa kupanda unaitwa mlima Ndololo.
 
Hivi pale ulanga mjini wameshapatanua??? Padogo pamebanana sana kaeneo kadogooo hapohapooo ndio halmashauri ukigeuka gerezaa mara sijui ofisi za nini mara maduka ya wafanyabiashara doh!!
Pako vilevile...
 
Hivi ile njia ya kwenda ulanga ule mlima walishaurekebishaga???? lol Moro best kitambo sana mahenge ile milima milima na mawe tu[emoji119][emoji119]! Nimekumbuka samaki na ndizi za pale kilombero kivukoni kumbe sikuhizi ndio mnaita darajani duhh kitambo sana!

Pindi nimemaliza four huku nasubiria majibu nipo mahenge nilikuaga na kiboy kilikua six kwiro boys lol![emoji16][emoji16]
We umesoma wapi ifakara girls au st. Agness [emoji2]
 
Back
Top Bottom