Boda na walimu wamemaliza mdahalo, Sasa ni zamu ya MahengeWanakera sana nawazoom tu, ujinga ujinga tu umewajaa, sisi tunataka vituki vya lodge wao wanaleta habari za mahenge sijui agness utumbo mtupu. Wapelekane PM huko kama hawana shuhuda wutulie. Wanaboa
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]Nafika Dar usiku mida ya saa 5 mbezi stend ya magufuli. nachukua boda anipeleke lodge isiwe mbali sana. ananipeleka lodge (sikumbuki vzuri nadhani ni hotel) iko upande wa juu wa round about ya kwenda Goba. Jina naliweka kapuni ila
[emoji1787][emoji1787]
Mwamba alikua anafuatilia mtanange kwa ukaribu[emoji23][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katika harakati za kutafuta maissha nikajikuta nipo ifakara [emoji3][emoji3]
nimepumzika lodge na mtoto kumbe dirishani kuna mtu anakula chabo, taa ilikuwa inawaka basi nikaizima na kurekebisha pazia na kisha nikaacha pazia mahali lipo wazi.
Chumbani kuna jagi la umeme la kichemsha maji nikachemsha nikaingia bafuni kama naoga,
Nikapanda juu ya choo cha kukaa na na kuchungulia kwa nje kwenye kadirisha kadogo ambako halana wavu wala nondo nikamuona yule jamaa aliekuwa akipiga chapo akiwa ameweka ndala chini kapiga magoti Akiendelea kula chabo.
nilimimina maji ya moto kwenye kikombe cha kuogea na kumwagia jamaa mgongoni
Jamaa alipiga kelele za hatari [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watu wote wa ule upande nilio lala wakaamka
Sio bongole bar hiyo mkuu [emoji23]Kigogo Dar.
Enzi zile Niko bandari, tulikua tunakunywa maeneo ya Kigogo. Huku nje bar ndani gesti, katika hiyo team alikuwako Dem mmoja, utani utani jamaa mmoja muendesha fok lift akamtongoza yule Dem, Mara wakachukuana Hadi gesti, yule Dem alipotoka kunyanduliwa aliondoka moja kwa moja Ila mshkaji alirudi kwenye kikao. Dakika tano nyingi mhudumu wa gesti kaja anamtaka jamaa yetu aliyetoka gesti akasafishe chumba na kufua mashuka.
Jamaa naye hakua mbishi maana tabia yake ya kupenda barabara za vumbi inafahamika.
Kuna wenzangu wa Kigogo humu? Mwenzio nilishajikita Kimara halafu Kigogo ya enzi zile sio hii ya Leo ya panya road.Sio bongole bar hiyo mkuu [emoji23]
[emoji16][emoji23]unajua kuna vitu vipo automatically kama icho kilichomkuta mwamba shetan ananguvu sanaMwamba alikua anafuatilia mtanange kwa ukaribu[emoji23]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Daah huyo demu aliendelea na kazi???Kigogo Dar.
Enzi zile Niko bandari, tulikua tunakunywa maeneo ya Kigogo. Huku nje bar ndani gesti, katika hiyo team alikuwako Dem mmoja, utani utani jamaa mmoja muendesha fok lift akamtongoza yule Dem, Mara wakachukuana Hadi gesti, yule Dem alipotoka kunyanduliwa aliondoka moja kwa moja Ila mshkaji alirudi kwenye kikao. Dakika tano nyingi mhudumu wa gesti kaja anamtaka jamaa yetu aliyetoka gesti akasafishe chumba na kufua mashuka.
Jamaa naye hakua mbishi maana tabia yake ya kupenda barabara za vumbi inafahamika.
Siku nyingine akienda Lodge sidhani kama ataenda mwenyewe [emoji28][emoji28][emoji16][emoji23]unajua kuna vitu vipo automatically kama icho kilichomkuta mwamba shetan ananguvu sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila aliyepita alikuw anaona obvious kwa tukio lile lazima mpita njia aogope mana anawaza hili jitu humu ndani linaweza kuwa limerukwa na akili [emoji1787]
Bongole iko toka 1990sKuna wenzangu wa Kigogo humu? Mwenzio nilishajikita Kimara halafu Kigogo ya enzi zile sio hii ya Leo ya panya road.
[emoji23][emoji23][emoji23]Msoma ilikiwa 2013 nimeshuka usiku kama saa 6 hivi kutafuta lodge nyingi zimejaa, nikabahatisha moja nikalipia naingia kumbe choo kimejaa mzigo unafulimia juu daah nilikunya mtaloni siku hiyo stasahahu.
HahahahaNipo Lodge moja apa Mtwara sahivi kuna kiharufu nakisikia kinanikereketa na sijabeba spray wala perfume nmejifikiria kununua udi nmeogopa uyu dada hatujuani asijepandisha mashetani akaninyonga acha nipambane.