MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,929
- 3,710
Nipo advance nasoma mbeya miaka hiyo ila ili ufike shule kutokea mikoan huku lazima ulale mbeya mjini kwanza.
Siku hiyo nimefika nimechukua chumba gest mitaa ile ya karibu na dox mwanjelwa kama unarudi block t hivi, usiku nimelala nasikia miguno mwanamke analalama ananyanduliwa kutoka kwenye korido sauti ipp juu gest nzima.
Kidume usingizi ukakata genye zikanipanda ikabidi nitoke niende hadi kaunta kufika nakuta wanawake wapo wengi lakini ni ambao wamenizidi umri(kumbuka nipo advance na hapo nimezoea kumega madent wenzangu tu) lakini cha ajabu wamama wananiangalia kwa jicho la matamanio.
Baadae kuja kugundua ni kuwa ile gesti ina wanawake wanaojiuza hivyo atakaetangulia kupata mteja anapiga kelele za mahaba anahakikisha hakuna mwanaume rijali atakaeweza kulala bila mwanamke.
sikurudi tena ile gest nkaamia lodge za uhindini usiku naenda ruka disco pamodzi.
Siku hiyo nimefika nimechukua chumba gest mitaa ile ya karibu na dox mwanjelwa kama unarudi block t hivi, usiku nimelala nasikia miguno mwanamke analalama ananyanduliwa kutoka kwenye korido sauti ipp juu gest nzima.
Kidume usingizi ukakata genye zikanipanda ikabidi nitoke niende hadi kaunta kufika nakuta wanawake wapo wengi lakini ni ambao wamenizidi umri(kumbuka nipo advance na hapo nimezoea kumega madent wenzangu tu) lakini cha ajabu wamama wananiangalia kwa jicho la matamanio.
Baadae kuja kugundua ni kuwa ile gesti ina wanawake wanaojiuza hivyo atakaetangulia kupata mteja anapiga kelele za mahaba anahakikisha hakuna mwanaume rijali atakaeweza kulala bila mwanamke.
sikurudi tena ile gest nkaamia lodge za uhindini usiku naenda ruka disco pamodzi.